Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni uoga legelege wewe.Aisee! Mimi nadhani itakuwa busara kama Tanzania itatoa majeshi yetu Kongo.
Otherwise tutajikuta jeshi letu linapambana na US na washirika wake Kongo tukidhani linapambana na M23!
Lutalala Junior mchambuzi wa siasa kahojiwa leo BBC Swahili, kazungumza yote hayoUmetupeleka chaka mkuu. Lakini siyo mbaya
Kumbuka Wamarekani hao hao wanaishutumu Rwanda kwa kuisaidia M23Aisee! Mimi nadhani itakuwa busara kama Tanzania itatoa majeshi yetu Kongo.
Otherwise tutajikuta jeshi letu linapambana na US na washirika wake Kongo tukidhani linapambana na M23!
Hawataweza kujiunga na NATO kwasababuZiara ya Rais wa Kenya William Ruto nchini Marekani imeibua jambo. Ruto kapokelewa na mwenyeji Rais Joe Biden na kuzungumzia Mengi.
Biden kamuomba Ruto waanzishe ushirikiano kabambe ikiwa ni pamoja na kujiunga na NATO. Pia kuna tetesi kuwa Rais wa Rwanda atafuata mkumbo huo mwezi July mwaka huu.
Mpango huu ukifanikiwa NATO itakuwa na wanachama wanne nje ya bara la ulaya ambao ni USA, Canada, Kenya na Rwanda.
Source: BBC Swahili
Maswala ya jirani kufuga nyoka siyo mazuri.inatakiwa na sisi tuwapige mapema kabla hawajawa imara,yaani tufanye kama PutinMungu ibaririki Tanzania...hii habari sijaipenda iwe kwelii ama uongo.
Nani alikuambia NATO ni kwa ajili ya bara la ulayaZiara ya Rais wa Kenya William Ruto nchini Marekani imeibua jambo. Ruto kapokelewa na mwenyeji Rais Joe Biden na kuzungumzia Mengi.
Biden kamuomba Ruto waanzishe ushirikiano kabambe ikiwa ni pamoja na kujiunga na NATO. Pia kuna tetesi kuwa Rais wa Rwanda atafuata mkumbo huo mwezi July mwaka huu.
Mpango huu ukifanikiwa NATO itakuwa na wanachama wanne nje ya bara la ulaya ambao ni USA, Canada, Kenya na Rwanda.
Source: BBC Swahili
Wanageuzwa kambi za NATO kwa Africa,ili kukabiliana na ushawishi wa urusi na china,hakuna lolote la maana zaidi ya kukaribisha maafa Mlangoni,ukizongatia tabia ya Vita Vita ya wakuu wa NATONiliposikia hii habari BBC Swahili, nikajua kumekucha. Nini hatma ya Tanzania na majirani hawa haswa taifa chokozi kama Rwanda? Uganda, Burundi, congo na Tanzania tutakipata kisawasawa. Just the matter of time.
"Biden pledges to designate Kenya as ‘non-NATO ally’ during Ruto visit | Politics News | Al Jazeera" Biden pledges to designate Kenya as ‘non-NATO ally’ during Ruto visitAisee! Mimi nadhani itakuwa busara kama Tanzania itatoa majeshi yetu Kongo.
Otherwise tutajikuta jeshi letu linapambana na US na washirika wake Kongo tukidhani linapambana na M23!
Iran kakita wapi mizizi yake tz!?..hebu onesha mzizi mmoja, marekani anamuogopa china na urusi,china na belt yake urusi asifanye Kama Africa magharibi,we unawaza dini tu,acha ujingaUsa ana hofu na iran kukita mizizi Tanzania
Iran na nchi nyingine za kiarabu zimeiteka Tanzania
USA anakuja kichunguza kiundani kupitia ushirikiano wake na kenya
Hawajui kuna mchango( annual contribution) ya percentage kulingana na annual budget ya wizara ya ulinzi ya nchi husikaUkraine mpaka leo haijafanukiwa kujiunga na NATO, au wanadhani NATO ni sawa EAC.
Northern Atlantic Treaty Organization.Nani alikuambia NATO ni kwa ajili ya bara la ulaya
Unajua kirefu cha NATO
Hawa viongozi wapumbavu tulio nao sasa watatuponza ....ndiyo maana nilimkubali sana JPM alikuwa ana angaika na mambo ya ndani tu siyo huyu mpuuzi tuliye naya sasa ambaye ana abudu waarabu na mabeberu ....hadi kufikia kuchinja wamasai kwa kumrudisha muarabu kwenye nchi yetu tukufu ya tanganyika .....kama hawa viongozi wa sasa wanaona damu za watanganyika si kitu basi na damu zao ziwe si kitu vivyo ivyo. Muarabu kaua sana waafrica vipi unammilikisha NCHI. KITENDO ALICHO KIFANYA MWINYI NA SAMIA NI KUMMILIKISHA MUARABU NCHI YETU NI KITENDO HARAMU HARAMU .AMBACHO WATANGANYIKA HATUTA KUBALI ABADANI.Usa ana hofu na iran kukita mizizi Tanzania
Iran na nchi nyingine za kiarabu zimeiteka Tanzania
USA anakuja kichunguza kiundani kupitia ushirikiano wake na kenya