Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama huu muda wa kulala na wajukuu zako tafadhariU
Nalalamikia sana sukari, wewe mpika gongo?
Kenya Airways wamevuna sana abiria wa South Africa toka Tanzania, baada ya SAA kufa. Japo ni safari za kuungia JKIA.kwakweli sikutegemea Kenya wasalimu amri mapema kiasi hiki
View attachment 2873623View attachment 2873624
Bro,siku hazigandi,kadiri siku zinavyozidi kwenda angalau watu wenye weledi wanazidi kuongezeka,Tanzania ya Sasa siyo sawa na ya miaka iliyopita na haitakuwa sawa na ijayo.kwakweli sikutegemea Kenya wasalimu amri mapema kiasi hiki
View attachment 2873623View attachment 2873624
How come useme unprofessional wakati wao ndio waliotaka kukiuka makubaliano? Miaka inaenda hakuna mjinga tenaYaani Tanzania mambo yetu yanafanyika very unprofessiona. But so far it's working to our advantage ..... Uzuri Kenya wanatuelewa hvyo inabidi twende tu.
Yaani Kenya na Tanzania imekuwa kama vile ni mtu na mkewe waliochokana kila siku vurugu tu.....!!