Asante kwa taarifa, naamini litawafikia wahusika.Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Umenifanya nimkumbeke zitto hapa aliongea hivihiviNaikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Asante. Nadhani wanalifanyia kazi.Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Hofu yako ni kuachwa nyuma .Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Halfu wakati wa uchaguzi wa 2015 wote waligeuka wapiga debe wa Lowassa. Pamoja na hawa wanaokuja kwa kivuli cha dini! Hata magazeti mengi ya Kenya na wachambuzi wao wanapenda kurusha madongo sana kwa rais wetu.Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Nachoweza kusema ni kuwa mwaka 2015 walikuwa wapiga debe wakubwa wa Lowassa.Wana mienendo gani hao uliokutana nao? Ili na sisi tukikutana na wengine maeneo yetu huku tuweze ku connect dots na kuwabaini.
Oh nimekupata, kwa hiyo wote waliomuunga mkono lowasa 2015 ndio hao majasusi wa kigeni?Nachoweza kusema ni kuwa mwaka 2015 walikuwa wapiga debe wakubwa wa Lowassa.
Oh hujanipa! Inaelekea ''unaelewa'' kwanza ndiyo unasoma baadae.Nimesema hivi: mwka 2015 kulikuwa na wakenya wengi wako Tanzania kwa shughuli za dini n.k halafu wakageuka wapiga debe wa Lowassa. i.e. kumfanyia kampeni wakati wao siyo raia na hawaruhusiwi!Oh nimekupata, kwa hiyo wote waliomuunga mkono lowasa 2015 ndio hao majasusi wa kigeni?
Hahaha mkuu Mada ni hao wageni, Sasa ulivyosema waliunga mkono sikuona haja ya kuwataja watokako.Oh hujanipa! Inaelekea ''unaelewa'' kwanza ndiyo unasoma baadae.Nimesema hivi: mwka 2015 kulikuwa na wakenya wengi wako Tanzania kwa shughuli za dini n.k halafu wakageuka wapiga debe wa Lowassa. i.e. kumfanyia kampeni wakati wao siyo raia na hawaruhusiwi!
Huyu hana hoja!! Boresheni government schools uone kama hao waKenya na waUganda watapata soko!!!!Crap!!! Unafikiri kila mgeni ni jasusi???