Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Nachoweza kusema ni kuwa mwaka 2015 walikuwa wapiga debe wakubwa wa Lowassa.
Duh mkuu, umenikumbusha ile ambush pale Kijitonyama maana walidhani hawakuwa wamegundulika.
Tanzania ina vijana makini na wapo kazini masaa 24.
Tuendelee kuwaamini vijana wetu.