Tetesi: Kenya na Uganda zinapenyeza majasusi kupitia shule za binafsi Tanzania

Tetesi: Kenya na Uganda zinapenyeza majasusi kupitia shule za binafsi Tanzania

Mkuu unachosema hakina ukweli, mm ni mwalimu kwenye shule kubwa na bora mkoa wa Pwani, tupo Watanzania na wageni pia, sijaona kubwa wanalofanya kutuzidi zaidi ya unyenyekevu na kujipendekeza kwa wakuu kwasababu wengi wanaishi bila vibali.
Swala la Episonage sijui lakin wao sio bora kuliko Sisi.
Ulichoongea ni sahihi. Hata hapa kwetu kuna wachache mnaoweza kuwa mnajituma na shule ikafaulisha vizuri. Hata mimi nina mifano ya shule zinazofaulisha vizuri na hazina walimu wa kutoka huko nje. Hoja yangu ya kusema kauli ya mwanzilishi wa mjadala ni sehemu ya propaganda za kudhoofisha shule za binafsi ni kutokana na kauli yake kwamba hao walimu wa kigeni ni majasusi. Kitu kizuri ni kwamba hata wewe pamoja na kwamba unafanya nao kazi hao walimu wa kigeni lakini haujakiri kujua chochote kuhusu wao kujihusisha na espionage na badala yake umezungumzia ubora wa walimu.
 
Tukubali ukweli kwamba kwa nchi yetu bado kuna tatizo la uongeaji fasaha wa kiingereza na wenye shule binafsi wanalazimika kuajiri hao walimu wa kutoka Kenya na Uganda kutokana na uwezo wao wa kuongea kiingereza chenye kueleweka ili kuunganisha nguvu na hao walimu wengine wa kitanzania waliopo shuleni kwake ambao pia kwa kiasi fulani wanakuwa na uwezo wa kuongea hiyo lugha ili kupunguza makosa ya wazi kama "tha's the true". Vinginevyo watanzania tutakalia kuzuliana tu mambo yasiyo na ukweli wala tija ili kuzibiana riziki kutokana na wivu.
 
Hata nchi yako ina majasusi huko nje wacha kulia lia....

Marekani kuna kituo kikubwa cha upelelezi cha Russia.... Atakae kuwa na akili nyingi ndiyo atakae ibuka mshindi
 
Tukubali ukweli kwamba kwa nchi yetu bado kuna tatizo la uongeaji fasaha wa kiingereza na wenye shule binafsi wanalazimika kuajiri hao walimu wa kutoka Kenya na Uganda kutokana na uwezo wao wa kuongea kiingereza chenye kueleweka ili kuunganisha nguvu na hao walimu wengine wa kitanzania waliopo shuleni kwake ambao pia kwa kiasi fulani wanakuwa na uwezo wa kuongea hiyo lugha ili kupunguza makosa ya wazi kama "tha's the true". Vinginevyo watanzania tutakalia kuzuliana tu mambo yasiyo na ukweli wala tija ili kuzibiana riziki kutokana na wivu.
Si kweli.
 
Ninaishangaa sana serikali yetu. Walimu hawana ajira, huku kuna mamia kwa maelfu ya walimu wa kigeni shule binafsi tena wasio na vibali vya kuishi nchini sembuse vya kufanya kazi. Tena ndo maspy hao. Sekta ya utalii nako wamejaa. Ama kweli TZ shamba la bibi.
 
Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
tena wanapewa na ukuu wa shule kabisa. Serikali iwe makina. Selikari iliwahi kusema kazi zinazoweza kufanywa na watanzania. Zisiajili wageni.! Hivi Hakuna watanzania wanaoweza kuwa wakuu wa shule!?
 
Ninaishangaa sana serikali yetu. Walimu hawana ajira, huku kuna mamia kwa maelfu ya walimu wa kigeni shule binafsi tena wasio na vibali vya kuishi nchini sembuse vya kufanya kazi. Tena ndo maspy hao. Sekta ya utalii nako wamejaa. Ama kweli TZ shamba la bibi.
TISS wako wapi!? Wengine ninao kitaani kwangu.
 
Si kweli.
Si kweli nini? Kuhusu tatizo la kiingereza kwetu sisi waTZ? Kama hauamini tukubaliane huu uzi kuanzia post inayofuata au wewe utakaponijibu hii post yangu tuendelee kuchangia kwa kiingereza ndipo utaamini ninachoeleza. Mimi mwenyewe sikijui.
 
Hizo ni chuki kama za wasauzi kule bondeni, wakikosa ajira wanaanza kuwapandikiza chuki wananchi dhidi ya raia wa kigeni kuwa wanachukua nafasi za ajira.


Mbona 2020 wabongo wataitwa south kufundisha kiswahili.


Acha roho mbaya.

Mm mwenyewe mwanangu anafundishwa na mkenye nasari kingereza mtoto anachoongea utashukuru kutoa pesa . ingekuwa mbongo na kingereza cha zeeee zeee zeee animal is eating ze gilasi.


Mtoto kabadili nafuzi kabisa.


Tunaangalia soko la kimataifa kwanza. Siku mtoto akiwa mbunge wa afrika mashariki kingereza kisije kuwa kikwazo kama baba yake
 
Hata nchi yako ina majasusi huko nje wacha kulia lia....

Marekani kuna kituo kikubwa cha upelelezi cha Russia.... Atakae kuwa na akili nyingi ndiyo atakae ibuka mshindi
Mkuu mada niliyoileta ni genuine cc ni wa Tanzania kukitokea lolote ovu dhidi ya jamhuri tutaungana chini ya jpm bila kujali hata kidogo tofauti za itikadi ila napenda kujua hii kitu ya Russia spy wing in USA
 
Hizo ni chuki kama za wasauzi kule bondeni, wakikosa ajira wanaanza kuwapandikiza chuki wananchi dhidi ya raia wa kigeni kuwa wanachukua nafasi za ajira.


Mbona 2020 wabongo wataitwa south kufundisha kiswahili.


Acha roho mbaya.

Mm mwenyewe mwanangu anafundishwa na mkenye nasari kingereza mtoto anachoongea utashukuru kutoa pesa . ingekuwa mbongo na kingereza cha zeeee zeee zeee animal is eating ze gilasi.


Mtoto kabadili nafuzi kabisa.


Tunaangalia soko la kimataifa kwanza. Siku mtoto akiwa mbunge wa afrika mashariki kingereza kisije kuwa kikwazo kama baba yake
Utasifia kingereza cha mtoto wako kwa gharama ya uhai wa taifa?
 
Naikumbusha serikali ifwatilie shule za private zinazofundishwa na wakenya na waganda kuna mashushushu wengi sana wanatupeleleza kutokujua kwetu kingereza ni upenyo wa wenzetu kuingiza majasusi hatari kwa usalama wa taifa letu nimewatambua baadhi ninaoishi nao mtaani wana mienendo isiyo ya kawaida tiss kuweni makini
Why na sisi tusipenyeze wetu huko kwako kwasababu hawajui kiswahili?
 
Woga ni moja ya consequences za uchizi, utaogopa weee hadi mwishowe utamwogopa jirani yako, nduguyo, mkeo, mtoto wako mwenyewe wa kumzaa , then ukishafikia stage ya kuogopa kivuli chako mwenyewe ndio unaitwa full kichaa
 
Kuimalisha usalama Wa Nchi ni kazi kweli kweli, kwa hili nafikiri Hamna utakaloweza kufany Bali ni kuzuia amani yetu tu isivurugwe,
Bila shaka hata TISS nao wanama tycoon ya kutosha huko, so msiwe na wasi wasi
 
Back
Top Bottom