Kenya: Naibu Rais Rigathi Gachagua Aomba Rais Ruto Amsamehe

Kenya: Naibu Rais Rigathi Gachagua Aomba Rais Ruto Amsamehe

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Naibu Rais Rigathi Gachagua amemuomba Rais William Ruto amsamehe iwapo amemkosea kwa namna yoyote. Akihutubia kwenye ibada ya maombi ofisini kwake Karen, Gachagua pia aliwaomba radhi wabunge wote, siku moja kabla ya kuanza kwa mchakato wa kumtimua kwenye Bunge la Taifa la Kenya.
 
Aisee...
Kenya Kuna kazi ya kazi ..
!!🤔🤔🤔
 
Hivi mwanasiasa gani hapa tanzania alishawahi kuwaomba msamaha watanzania kwa upumbavu alioufanya
 
Hapa ndipo alipojichanganya....
UKiomba radhi tu maana yake ume-admit!!!
Alooooh kwishney
 
Back
Top Bottom