Kenya: Naibu Rais Rutto apigwa mabomu ya machozi akiwa Kanisani ili kuzuia kuchanganya dini na siasa

Kenya: Naibu Rais Rutto apigwa mabomu ya machozi akiwa Kanisani ili kuzuia kuchanganya dini na siasa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Huko Kenya leo polisi walizingira Kanisa na kupiga mabomu ya machozi ili kuwazuia wafuasi wa Naibu Rais William Ruto kufanya siasa.

Rutto aliyekuwa ndani ya Kanisa ameilaumu serikali yake mwenyewe kwa mashambulizi hayo lakini polisi wamemjibu walikuwa wakitimiza majukumu yao ya kikatiba.

Tusiwajaribu polisi Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hivyo hutaki aende kumwabudu Mungu? Sasa hizo sio siasa
 
Kwani Magufuli haongozani na viongozi wa dini? Hujawaona kwenye mikutano yake?
 
Kwamba mhe rais anapoenda kanisani . Na kufanya siasa madhabauni.. na baadhi ya wapambe akiambatna nao?

Uache double standard
 
Kumbe ushirikiano wa Uhuru na Ruto kutwaa dola ulikuwa wa unafiki?

Ukiona hadi mabomu yametumika ujue Ruto the hustler kaisha pigwa chenga ya mwili.

Nimesikia pia Uhuru anapanga kubadirisha katiba.
 
Hehehe yule anayeshinda makanisani na makamera sio Jiwe hadi anachangisha sadaka za wakrito kujenga mskikiti? Laanaturah
 
Uchochezi huu utawagharimu, mnaentertain mambo ya 'kifala sana mkijua mnaenda kupasuliwa October 28
 
Tundu Lisu amekuwa na kawaida ya kuongozana na wachungaji kwenye mikutano yake ya kampeni kwa mfano askofu Mwamakula.

Huko Kenya leo polisi walizingira Kanisa na kupiga mabomu ya machozi ili kuwazuia wafuasi wa Naibu Rais William Ruto kufanya siasa.
Rutto aliyekuwa ndani ya Kanisa ameilaumu serikali yake mwenyewe kwa mashambulizi hayo lakini polisi wamemjibu walikuwa wakitimiza majukumu yao ya kikatiba.

Tusiwajaribu polisi Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani lissu ni makamu wa rais...?wew lijamaa ukishakunywa viroba hapo lumumba unakua brainless....ushuzi wa jiwe unanukia lakini kwa unanuka...pumbaf sn ww
 
Kumbe ushirikiano wa Uhuru na Ruto kutwaa dola ulikuwa wa unafiki?
Ukiona hadi mabomu yametumika ujue Ruto the hustler kaisha pigwa chenga ya mwili.
Nimesikia pia Uhuru anapanga kubadirisha katiba.
Ni kama huu ushirikiano wa Chadema na ACT wazalendo lazima watazinguana!
 
Back
Top Bottom