Watu wanazungumzia democracy na mahakama wewe unaleta masuala ya ukame!!... What's your logic ??? Hii nchi ina misukuleNenda Turkana Kenya - ndipo utaona yote hayo ni mbwembwe huko watu wanaishi kama stone age. Kuna ukame na hawajui msaada wa serikali! Mambo ambayo hayatokei Tanzania. Ni aibu,
asante sanaWatu wanazungumzia democracy na mahakama wewe unaleta masuala ya ukame!!... What's your logic ??? Hii nchi ina misukule
Sent using Jamii Forums mobile app
Apaaiya, supa roi? Koree iyee? Longidoni?Im maasai guy from tz...nawapa hii wamasai wote Wa Kenya hasa waliomo humu jf.
Bila kupindisha maneno Kenya mpo juu na huezi fananisha na nchi zingine za east Africa
Wake up others east africa countries. Kenya inawaacha kwa mbali zaidi..
Nchi angepewa Lowasa I guess tungekuwa tunazungumza lugha moja na Kenyans..
All ze best Kenyan katk ujenzi Wa nchi enu.
Kumbe tuko wengiNashangaa niko obsessed na citizen kila saa moja usiku kind of creepy!Uzalendo unanitoka sijui nifanyeje asee!
Endelea na upimbi wako wakutetea vitu vya ajabu ajabu. 100% ya mawaziri, mahakimu, CJ, IGP na maRC Tz ni makasuku wa chama. Ndio maana mlipigwa na butwaa Maraga na mahakama walipotupilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais Kenya. Unajivunia kwamba hata hukumu kwenye mahakama huwa ni maagizo kutoka juu? Acha longolongo nyingi, leta C.V za IGP na mawaziri wa Tz tulinganishe na za wenzao wa Kenya. Kumbuka huyo Echesa mmoja unayemtaja hayupo tena kwenye orodha ya mawaziri.