Kenya ni habari nyingine, IGP mtarajiwa ahojiwa na kamati ya Bunge

Kenya ni habari nyingine, IGP mtarajiwa ahojiwa na kamati ya Bunge

Nenda Turkana Kenya - ndipo utaona yote hayo ni mbwembwe huko watu wanaishi kama stone age. Kuna ukame na hawajui msaada wa serikali! Mambo ambayo hayatokei Tanzania. Ni aibu,
Watu wanazungumzia democracy na mahakama wewe unaleta masuala ya ukame!!... What's your logic ??? Hii nchi ina misukule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Im maasai guy from tz...nawapa hii wamasai wote Wa Kenya hasa waliomo humu jf.
Bila kupindisha maneno Kenya mpo juu na huezi fananisha na nchi zingine za east Africa
Wake up others east africa countries. Kenya inawaacha kwa mbali zaidi..
Nchi angepewa Lowasa I guess tungekuwa tunazungumza lugha moja na Kenyans..
All ze best Kenyan katk ujenzi Wa nchi enu.
Apaaiya, supa roi? Koree iyee? Longidoni?
 
Bongo sharti la kwanza uwe kada na kadi ya ccm.tuna safari ndefu sana
 
Endelea na upimbi wako wakutetea vitu vya ajabu ajabu. 100% ya mawaziri, mahakimu, CJ, IGP na maRC Tz ni makasuku wa chama. Ndio maana mlipigwa na butwaa Maraga na mahakama walipotupilia mbali matokeo ya uchaguzi wa urais Kenya. Unajivunia kwamba hata hukumu kwenye mahakama huwa ni maagizo kutoka juu? Acha longolongo nyingi, leta C.V za IGP na mawaziri wa Tz tulinganishe na za wenzao wa Kenya. Kumbuka huyo Echesa mmoja unayemtaja hayupo tena kwenye orodha ya mawaziri.

[emoji16][emoji16][emoji16]but still uhuru alishinda tena.rufaa ilirenga nini!!!

Hivi nikikuita ng'ombe nitakukosea mkuu!!!
 
Back
Top Bottom