Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Huyu mama bure kabisa#MkatabaUendelee
Akitoka madarakani atakuja kuomba msamaha kuwa alikoseaHuyu mama bure kabisa
Hili halisameheki....Mungu atatuamulia WATANZANIAAkitoka madarakani atakuja kuomba msamaha kuwa alikosea
Kisingizio cha kushauriwa vibaya hakitakuwepo maana reaction ya watu ipo wazi....hawataki bandari zimilikiwe na wageni.Akitoka madarakani atakuja kuomba msamaha kuwa alikosea
HhhahahaSamia nikichwa ka mlevi amelewa ulanzi
Hakuna cha Mungu apa tuingie barabarani fullstopHili halisameheki....Mungu atatuamulia WATANZANIA
TumeuzwaKisingizio cha kushauriwa vibaya hakitakuwepo maana reaction ya watu ipo wazi....hawataki bandari zimilikiwe na wageni.
Au atatunga kitabuAkitoka madarakani atakuja kuomba msamaha kuwa alikosea
Ndo tabia yao watawala wanakuw kama Kenge. Na baadae wanaandika kitabu kukiri makosa yao KAMA Ben mkapaAkitoka madarakani atakuja kuomba msamaha kuwa alikosea
Hatari sana, tutajikuta tunaanza kudai uhuru kwa mara nyingine kutoka kwa mwarabu mfanyabiashara ya watumwa aliyegeuka kuwa mnyang'anyi wa bandari.Tumeuzwa
Unakosea sana kumwita mama amri jeshi mkuu hivyo.Huyu mama bure kabisa
Sio yeye ni Rost Tamu na genge lakeHuyu mama bure kabisa
Tuuzwe mara ngapi?Tumeuzwa
Endelea kumsubiri Mungu.Mungu hawezi kuacha kufanya mambo yake ya msingi akaangaika na viumbe wasiojielewa.Hili halisameheki....Mungu atatuamulia WATANZANIA