HAKIKA halisameheki. Wala pesa haitoshi kufuta kosa Hilo.Hili halisameheki....Mungu atatuamulia WATANZANIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKIKA halisameheki. Wala pesa haitoshi kufuta kosa Hilo.Hili halisameheki....Mungu atatuamulia WATANZANIA
Akwende zakeUnakosea sana kumwita mama amri jeshi mkuu hivyo.
Samia hajielewiMpaka Somaliland waliwafukuza hawa ajabu sisi tunawapa bandari bila ukomo!.
Samia ni shetani.
Kuvunja mikataba ya namna hii ni LAZIMA tulikabidhi shamba Kwa walinzi halafu baadae tunalirudisha Kwa Jina lililoboreshwa.Hatuwezi kuuza nchi yetu kwa kipande cha karatasi yaani hiyo ni big nooo,.!!
Tutauvunja tu huo muungano wao.
Ipo hivyoBora anae-kuibia gizani. Huyu anae tuibia mchana kweupe ametudharau sana
Mjumbe, unailinganisha Tanzania na Somaliland?Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
BaadaHizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Na ndio maana kila kukicha wanatunga sheria za kuwalinda wao na kumkandamiza mwananchi. Maana wanajua upuuzi wanaofanyaNdo tabia yao watawala wanakuw kama Kenge. Na baadae wanaandika kitabu kukiri makosa yao KAMA Ben mkapa
KabisaaAu atatunga kitabu
Anajua hatuna cha kumfanya kwa hiyo hata akisingizia hana wasiwasiKisingizio cha kushauriwa vibaya hakitakuwepo maana reaction ya watu ipo wazi....hawataki bandari zimilikiwe na wageni.
Wapewe muda tuwatazame. Mwamaume usiogope vita ambayo bado haijapiganwa. Mbona kagame kawachukua na wanoperate big dry Port kule tangu 2019?Tumeuzwa
Sasa Somaliland si wana matatizo tangia kuzaliwa?Mpaka Somaliland waliwafukuza hawa ajabu sisi tunawapa bandari bila ukomo!.
Samia ni shetani.
Na Uingereza nao wamewafukuza?Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Ngoja waje jamaa wa hashtag na payroll ya hii mamb!!Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Kwenye hili, pamojana kwamba umri wangu si haba. Yeyoteakiitishamaandamano yakupinga huu mkataba wa kishenzi, nami nikiwepo nchini, nami nitashiriki, liwalo na liwe.Hakuna cha Mungu apa tuingie barabarani fullstop