Kenya, Pakistan, Peru, Djibouti, Ethiopia, USA, Somaliland waliwafukuza DP World kama mbwa

Kenya, Pakistan, Peru, Djibouti, Ethiopia, USA, Somaliland waliwafukuza DP World kama mbwa

Breach clause is a must within contract incase of low performance, Govt tax theft / eviction and like unsocial act that endangered our national security!
 
Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi

Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Halafu tusifikiri usalama ni kushika bunduki tu!
 
Naona amani na utulivu unapotea kwa kasi nchini.Kisa waarabu.
 
Kwenye hili, pamojana kwamba umri wangu si haba. Yeyoteakiitishamaandamano yakupinga huu mkataba wa kishenzi, nami nikiwepo nchini, nami nitashiriki, liwalo na liwe.

Swela hela. Miaka 55 si haba. Mkwawa aliondoka bila kufikia hata umri huu. Aliona aheri kimtokee chochote kuliko kudhalilishwa.

Vanyalukolo va Kulilinga, watani zangu Nyumbihi bombihi,na wananzengo wa pale Tabora, ule ujasiri wa baba zetu akina Mkwawa, Chabruma na Isike, tumeutupia wapi hata tukabakia mapakacha tu?

Baba zetu, kukiwa hakuna duka la simu, duka la panga wala nyu do wala sululu, mzungu akiwa ana bunduki mpaka mizinga, bado walipambana mpaka kufa kulinda rasilimali zao, utu wao na heshima yao. Leo tukiwa na kila kitu, tunaogopa rungu la polisi au mahabusu! Tumerogwa na nani? Yaani hata ile tofauti ya mwanaume na mtoto, tofauti ya mwanaume na mwanamke, i.ebakia tu kwenye mavazi, lakini siyo vitendo.

Wanaume kamili kabisa, 10,000 tu wakisema huu mkataba wa kijinga hautekelezwi kwenye ardhi hii ya akina Mkwawa, Isike, Chabruma na Mirambo, huo upuuzi hautafanyika. Tumekuwa legelege mno, kiasi mpaka cha kugikia kuchezeshwa shere na akina mama, na sisi tukiogopa, eti tutawekwa mahabusu.

Mbowe alisema akirudi tu atalianzisha. Arudi haraka, atangaze maandamano ya kupinga mkataba wa kishenzi ni lini, tujiandae.
Maandamano kwa sasa ccm imeshayazidi. Njia pekee ni viongozi wote waliohusika wale hizo rushw wakiwa shimon. Na hao waarab waendeshe bandari kweye bahari ya beseni sio Hindi.
Nchi ikae mikonon mwa Jwtz kwa muda.
Turudi kwenye kutumia consultants au wabia.
Mchango wa hali na mali na uanze kwa ajiri ya snipers, manati, mbombombo, mabom ya petrol, hijacking na majini.
List of shame tuanze na wabunge waliokataa shule kama msukuma na kibajaji.
 
Bila ridhaa ya Watanganyika Mwarabu haji Bandarini.
Akija atajuta na washirika wake.
 
Mkuu wa majeshi nae yupo bado ofisini ,kweli?

Mipaka ya nchi inavamiwa ,yeye yupo kakaa au alitaka waarabu waje na manuari zakijeshi ndipo washituke

Mkataba huu ,tayari ni manuari

ashituke
 
Halafu yupo mpuuzi moja kakazana kuwapotosha wavivu wa akili ndani ya chama chakavu kuwa DP wanaendesha bandari za USA na wao wanameza tu!
 
Bora waarabu wale pesa za bandari kuliko sirikali ya ccm kula pesa za bandari
 
Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi

Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Mkatataba utakuwa hai mpaka muda utakapoisha
 
Wapewe muda tuwatazame. Mwamaume usiogope vita ambayo bado haijapiganwa. Mbona kagame kawachukua na wanoperate big dry Port kule tangu 2019?

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Je wana operate kwa Mkataba wenye vigezo na masharti kama yetu???

Ishu ya msingi sio watu wanawakataa ishu ni condition za mkataba wanazokuja nazo
 
Hili halisameheki....Mungu atatuamulia WATANZANIA
Kwa hili tutamchosha Mwenyezi Mungu. Tunaliweza kwa kuendelea kushauri, kuandika, kuwa na msimamo, kuwakumbusha WABUNGE wetu jukumu lao la kutuwakilisha na siyo KUJIWAKILISHA
 
Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi

Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Wee jamaa muongo sana Ethiopia wana bandari upande gani ?
 
Akitoka madarakani atakuja kuomba msamaha kuwa alikosea
Wakulaumiwa nikina Lusinde na kina Msukuma+ jumlisha ma ccm yote. YALIKATAA RASIMU YA KATIBA YA WARIOBA ILIYOPENDEKEZA MBUNGE AWE NA ELIMU JAPO YA FORM 4
 
Back
Top Bottom