All truth23
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 1,215
- 1,401
Mmmmh kumbe ikon m ivoHizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Halafu tusifikiri usalama ni kushika bunduki tu!Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
NCHI HII NI YA HOVYO SANAHizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Maandamano kwa sasa ccm imeshayazidi. Njia pekee ni viongozi wote waliohusika wale hizo rushw wakiwa shimon. Na hao waarab waendeshe bandari kweye bahari ya beseni sio Hindi.Kwenye hili, pamojana kwamba umri wangu si haba. Yeyoteakiitishamaandamano yakupinga huu mkataba wa kishenzi, nami nikiwepo nchini, nami nitashiriki, liwalo na liwe.
Swela hela. Miaka 55 si haba. Mkwawa aliondoka bila kufikia hata umri huu. Aliona aheri kimtokee chochote kuliko kudhalilishwa.
Vanyalukolo va Kulilinga, watani zangu Nyumbihi bombihi,na wananzengo wa pale Tabora, ule ujasiri wa baba zetu akina Mkwawa, Chabruma na Isike, tumeutupia wapi hata tukabakia mapakacha tu?
Baba zetu, kukiwa hakuna duka la simu, duka la panga wala nyu do wala sululu, mzungu akiwa ana bunduki mpaka mizinga, bado walipambana mpaka kufa kulinda rasilimali zao, utu wao na heshima yao. Leo tukiwa na kila kitu, tunaogopa rungu la polisi au mahabusu! Tumerogwa na nani? Yaani hata ile tofauti ya mwanaume na mtoto, tofauti ya mwanaume na mwanamke, i.ebakia tu kwenye mavazi, lakini siyo vitendo.
Wanaume kamili kabisa, 10,000 tu wakisema huu mkataba wa kijinga hautekelezwi kwenye ardhi hii ya akina Mkwawa, Isike, Chabruma na Mirambo, huo upuuzi hautafanyika. Tumekuwa legelege mno, kiasi mpaka cha kugikia kuchezeshwa shere na akina mama, na sisi tukiogopa, eti tutawekwa mahabusu.
Mbowe alisema akirudi tu atalianzisha. Arudi haraka, atangaze maandamano ya kupinga mkataba wa kishenzi ni lini, tujiandae.
Anza weweHakuna cha Mungu apa tuingie barabarani fullstop
mambo ya mkapa hayoAkitoka madarakani atakuja kuomba msamaha kuwa alikosea
Mkatataba utakuwa hai mpaka muda utakapoishaHizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Je wana operate kwa Mkataba wenye vigezo na masharti kama yetu???Wapewe muda tuwatazame. Mwamaume usiogope vita ambayo bado haijapiganwa. Mbona kagame kawachukua na wanoperate big dry Port kule tangu 2019?
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
ujinga anao mama akoAcheni kujazana ujinga.
Kwa hili tutamchosha Mwenyezi Mungu. Tunaliweza kwa kuendelea kushauri, kuandika, kuwa na msimamo, kuwakumbusha WABUNGE wetu jukumu lao la kutuwakilisha na siyo KUJIWAKILISHAHili halisameheki....Mungu atatuamulia WATANZANIA
Limemuharibia jina sana sanaHili halisameheki....Mungu atatuamulia WATANZANIA
Wee jamaa muongo sana Ethiopia wana bandari upande gani ?Hizo nchi ziliwakataa hawa waarabu wa Dubai katakata na moja ya sababu kuu ni ulinzi wa nchi Yao kuwa hatarini na kuzuia ugaidi
Mikataba ya DP World niyaukandamizaji ila sisi tumewachukua, ivi hii mikataba ingekuwa ni mizuri Why hizi nchi walikataa kuingia nao mikataba wengine walivunja kabisa mikataba View attachment 2653117View attachment 2653118
Wakulaumiwa nikina Lusinde na kina Msukuma+ jumlisha ma ccm yote. YALIKATAA RASIMU YA KATIBA YA WARIOBA ILIYOPENDEKEZA MBUNGE AWE NA ELIMU JAPO YA FORM 4Akitoka madarakani atakuja kuomba msamaha kuwa alikosea