Kenya plans fees on TZ firms

Kenya plans fees on TZ firms

Unyang'au wenu umewacost na kuwainua kwa kiasi kikubwa... Afrika mashariki mliitia kwapani na si kwa sababu mlikuwa mna uwezo mkubwa wa kiakili bali usingizi wa nchi nyingine zilizowazunguka , mlikuwa MONOPOLY kwa FOUL PLAY

Kwa sasa zama zimebadilika, kila nchi inachangamka na hili linatokea zaidi Tz..yeap mliita SLEEPING GIANT na matokeo ya ukuaji wake ni lazma myahisi.. it's natural mzee

Kuna kitu huwa hamkielewi aidha kwa kujitakia au muna kaumbumbubu fulani, ifahamike kadiri mataifa yaliyotuzunguka yanaamka, na sisi tunasonga mbele, hatupo sehemu moja tunawasubiri. Leo hii Kenya ndio taifa pekee ukanda wote huu ambayo haipo ndani ya orodha ya mataifa maskini wa kutupwa, sisi tu ndio tumekidhi uchumi wa kati, ilhali Tanzania na ukubwa wake wote, na raslimali zake zote ipo imetajwa kama nchi maskini sana.
Kingine ambacho huwa hamkioni ni kwamba tofauti ya uchumi baina yetu imezidi kuongezeka, yaani Tanzania ya miaka ishirini iliyopita ilikua nafuu kuliko hii ya sasa maana tunazidi kuiacha mbali.
Ni kweli mataifa majirani wanazidi kuboreka, lakini kwa nyie itawachukua muda sana maana bado mumelemazwa na ujamaa wa Nyerere, japo mumejaribu kujitoa kutoka kwa hiyo laana lakini masalia yake bado yamewang'ang'ania na hapo ndipo mtihani ulipo, kabla mje kufaulu kutoka, mtakua mumechelewa sana.

Tanzania ya wakati wa Kikwete, kidogo mlikua na kamuamko fulani na kwa kweli hatua mlizokua mnaenda nazo haingechukua muda mrefu kabla hamjaanza kutunusia nusia nyuma yetu, lakini huu utawala wa leo full visasi na mikwara na matamko, utawachelewesha sana, maana hatua moja mbele halafu mbili nyuma, ndio mwendo wenu wa sasa.
 
Kenya is considering charging a business visa fee of Sh25,000 for Tanzanian nationals coming to Kenya for business purposes.

The fee, currently imposed by Tanzania to all East Africa Community partner states residents, is meant for the issuance of a certificate of temporary assignment.

The move, viewed by the six EAC partner states as a non-tariff barrier is a hit back on Tanzania for consistently imposing the fee to other EAC residents.

Tanzania has remained adamant to drop the charges despite directives by the EAC council of ministers to waive it as per Regulation five of the EAC Common Market Protocol.

According to Industrialisation CS Peter Munya, Kenya will continue pursuing the discriminative visa or pass fee until Tanzania drops the charges.

"We consider charging the same to Tanzania for the purposes of harmonisation and reciprocity,” documents seen by the Star read.

Despite complains from EAC states, Tanzania told the Sectoral Council on Trade, Industry, Finance and Investment last week that the charge is not for Visa but it is a fee on a pass.

The council was told that the fee is charged on persons coming in to perform economic activities and professional services such as consultancies.


Currently, EAC residents are allowed free movement within the five partner states with no VISA requirements.

The 35th EAC Council of Ministers meeting in April 2017 directed member states to start issuing regional e-passport by January 2018.

Kenya rolled out the e-passport in September 2017 while Tanzania launched its own in January this year. In September this year, Tanzanias Labour commission declined a work permit application for Safaricom chief customer officer Sylvia Mulinge.

While the commission did not make it clear why her permit was rejected, Labour Minister Gaudensia Kabaka said the applicant had not satisfied all requirements for a work permit.

Mulinge had been appointed by Tanzania's largest telecom Vodacom as its managing director but was re-hired by Safaricom last month as her comeback cast doubt on EAC integration bid.

The move by Labour Commission raised eyebrows on the disappointment of thousands of professionals across East Africa as a result of national interests.

This is besides national interests being incompatible with the region's policies that allow for free movement of persons, labor and services under article 104 of the 1999 treaty.

The treaty re-established the East African Community after 22 years of disintegration due to due to political differences between Partner States.

EAC common market in trouble as Kenya plans fees on TZ firms
Labor Minister Gaudensia Kabaka?

Naomba mwandishi kwa nia njema achunguze andiko hili maana , Gaudensia Kabaka anaondoa uhalali wa andiko zima
 
Kuna kitu huwa hamkielewi aidha kwa kujitakia au muna kaumbumbubu fulani, ifahamike kadiri mataifa yaliyotuzunguka yanaamka, na sisi tunasonga mbele, hatupo sehemu moja tunawasubiri. Leo hii Kenya ndio taifa pekee ukanda wote huu ambayo haipo ndani ya orodha ya mataifa maskini wa kutupwa, sisi tu ndio tumekidhi uchumi wa kati, ilhali Tanzania na ukubwa wake wote, na raslimali zake zote ipo imetajwa kama nchi maskini sana.
Kingine ambacho huwa hamkioni ni kwamba tofauti ya uchumi baina yetu imezidi kuongezeka, yaani Tanzania ya miaka ishirini iliyopita ilikua nafuu kuliko hii ya sasa maana tunazidi kuiacha mbali.
Ni kweli mataifa majirani wanazidi kuboreka, lakini kwa nyie itawachukua muda sana maana bado mumelemazwa na ujamaa wa Nyerere, japo mumejaribu kujitoa kutoka kwa hiyo laana lakini masalia yake bado yamewang'ang'ania na hapo ndipo mtihani ulipo, kabla mje kufaulu kutoka, mtakua mumechelewa sana.

Tanzania ya wakati wa Kikwete, kidogo mlikua na kamuamko fulani na kwa kweli hatua mlizokua mnaenda nazo haingechukua muda mrefu kabla hamjaanza kutunusia nusia nyuma yetu, lakini huu utawala wa leo full visasi na mikwara na matamko, utawachelewesha sana, maana hatua moja mbele halafu mbili nyuma, ndio mwendo wenu wa sasa.
Bhasi wewe ndo hauna uelewa

Kenya ilikua kwa kuwatumia majirani zake na haikuwahi kukua kutokana na sababu za ndani yake na hivyo ukuaji wa majirani zake unatengeneza SUBSTITUTE YAKE... unadhani hii hali ni nzuri kwa Kenya

1. Tanzania ikiwa na national airline na watalii na bidhaa za Tanzania zikaacha kupitia jomo Kenyatta, unadhani Kenya inafaidika na ukuaji huu

2. Tanzania kukuza barabara na miundombinu yake hadi Uganda ikaanza kupata alternative route ya kutokupitia mombasa.. unadhani hii ni bora kwa KENYA

3. Tanzania ikikuza viwanda vyake na kupelekea kupungua kwa importation ya bidhaa za Kenya..unadhani hii ni faida kwa KENYA


na mifano inaendelea na kuendelea . Ni suala la muda tu ila nawasifu wakenya kwa kuendelea kuwekeza katika labour force hii ni nzuri sana na itawapa advantage zaidi kwa miaka ijayo
 
Bhasi wewe ndo hauna uelewa

Kenya ilikua kwa kuwatumia majirani zake na haikuwahi kukua kutokana na sababu za ndani yake na hivyo ukuaji wa majirani zake unatengeneza SUBSTITUTE YAKE... unadhani hii hali ni nzuri kwa Kenya

1. Tanzania ikiwa na national airline na watalii na bidhaa za Tanzania zikaacha kupitia jomo Kenyatta, unadhani Kenya inafaidika na ukuaji huu

2. Tanzania kukuza barabara na miundombinu yake hadi Uganda ikaanza kupata alternative route ya kutokupitia mombasa.. unadhani hii ni bora kwa KENYA

3. Tanzania ikikuza viwanda vyake na kupelekea kupungua kwa importation ya bidhaa za Kenya..unadhani hii ni faida kwa KENYA


na mifano inaendelea na kuendelea . Ni suala la muda tu ila nawasifu wakenya kwa kuendelea kuwekeza katika labour force hii ni nzuri sana na itawapa advantage zaidi kwa miaka ijayo

Hayo yote unataja maneno ambayo yametumika na Watanzania tangu enzi za mababu zenu, kila siku huwa mnasema 'Tanzania ikiwa' tukifanya, tutafanya, tukitimiza, tutatimiza......
Sisi tunaendelea kutanua, tunafungua masoko mapya kwa bidhaa zetu, kila hatua tunaipiga kwa kutumia mahesabu ya kinyang'au kwa kuangalia mbali sana.
Leo hii hatuwazi EAC pekee maana Afrika na dunia imekua kijiji na shamba la bibi, tumenyoosha na kurusha ndoana zetu mbali, kwa watu wa ujamaa hili hamuwezi kulielewa maana wengi mumedumazwa na kuwaza ndani. Bado mumedanganywa kwamba mtapiga hatua kwa kasi kwa kujifungia ndani.
 
Hayo yote unataja maneno ambayo yametumika na Watanzania tangu enzi za mababu zenu, kila siku huwa mnasema 'Tanzania ikiwa' tukifanya, tutafanya, tukitimiza, tutatimiza......
Sisi tunaendelea kutanua, tunafungua masoko mapya kwa bidhaa zetu, kila hatua tunaipiga kwa kutumia mahesabu ya kinyang'au kwa kuangalia mbali sana.
Leo hii hatuwazi EAC pekee maana Afrika na dunia imekua kijiji na shamba la bibi, tumenyoosha na kurusha ndoana zetu mbali, kwa watu wa ujamaa hili hamuwezi kulielewa maana wengi mumedumazwa na kuwaza ndani. Bado mumedanganywa kwamba mtapiga hatua kwa kasi kwa kujifungia ndani.
Ndoana gani mnazozirusha labda njaa, ukabila na Wizi. [emoji14] [emoji14]
 
Hayo yote unataja maneno ambayo yametumika na Watanzania tangu enzi za mababu zenu, kila siku huwa mnasema 'Tanzania ikiwa' tukifanya, tutafanya, tukitimiza, tutatimiza......
Sisi tunaendelea kutanua, tunafungua masoko mapya kwa bidhaa zetu, kila hatua tunaipiga kwa kutumia mahesabu ya kinyang'au kwa kuangalia mbali sana.
Leo hii hatuwazi EAC pekee maana Afrika na dunia imekua kijiji na shamba la bibi, tumenyoosha na kurusha ndoana zetu mbali, kwa watu wa ujamaa hili hamuwezi kulielewa maana wengi mumedumazwa na kuwaza ndani. Bado mumedanganywa kwamba mtapiga hatua kwa kasi kwa kujifungia ndani.
Forest of words ,desert of points...
Najua umenielewa ila Suit yourself mzee
 
Mkuu usiwe na kawaida ya kujumuisha watu katika majanga yako,mwenye uwezo wa kufikiri wenye shaka ni wewe labda na ukoo wako.

Kule kwenye korosho,serikali imezinunua bado mnapanua mamidomo na makelele,sijui mpewe mimba ndio mridhike???unalima mahindi gunia 60 unataka kuuza,ukiruhusiwa unauza zote mpaka unakosa chakula,what a f*ck!!!
Mkuu Nani kakwambi kuwa lazima ule unacholima? kwani hela ulizopata haziwezi kununulia chakula? Hebu kwanza niambie gunia moja la mahindi(90kg) mkulima anapata shilingi ngapi?
 
Mkuu Nani kakwambi kuwa lazima ule unacholima? kwani hela ulizopata haziwezi kununulia chakula? Hebu kwanza niambie gunia moja la mahindi(90kg) mkulima anapata shilingi ngapi?
Sasa mbona mnapokea chakula cha msaada toka Uarabuni, kwani wao wanalima?. Wao wana pesa tu, ninyi hizo pesa za chai ziko wapi?
 
Kuna kitu huwa hamkielewi aidha kwa kujitakia au muna kaumbumbubu fulani, ifahamike kadiri mataifa yaliyotuzunguka yanaamka, na sisi tunasonga mbele, hatupo sehemu moja tunawasubiri. Leo hii Kenya ndio taifa pekee ukanda wote huu ambayo haipo ndani ya orodha ya mataifa maskini wa kutupwa, sisi tu ndio tumekidhi uchumi wa kati, ilhali Tanzania na ukubwa wake wote, na raslimali zake zote ipo imetajwa kama nchi maskini sana.
Kingine ambacho huwa hamkioni ni kwamba tofauti ya uchumi baina yetu imezidi kuongezeka, yaani Tanzania ya miaka ishirini iliyopita ilikua nafuu kuliko hii ya sasa maana tunazidi kuiacha mbali.
Ni kweli mataifa majirani wanazidi kuboreka, lakini kwa nyie itawachukua muda sana maana bado mumelemazwa na ujamaa wa Nyerere, japo mumejaribu kujitoa kutoka kwa hiyo laana lakini masalia yake bado yamewang'ang'ania na hapo ndipo mtihani ulipo, kabla mje kufaulu kutoka, mtakua mumechelewa sana.

Tanzania ya wakati wa Kikwete, kidogo mlikua na kamuamko fulani na kwa kweli hatua mlizokua mnaenda nazo haingechukua muda mrefu kabla hamjaanza kutunusia nusia nyuma yetu, lakini huu utawala wa leo full visasi na mikwara na matamko, utawachelewesha sana, maana hatua moja mbele halafu mbili nyuma, ndio mwendo wenu wa sasa.
Ujamaa sio laana kama ulivyofindishwa na mzungu. Ni ujima uliokuwepo kabla ya mkoloni kuja. Una faida zake na hasara zake. Mlioamua ubepari kuna mambo mmepungukiwa na sie ujamaa kuna mambo tumepungukiwa. Msiwe kama wavietnam waliaminishwa ukomunisti ni mmbaya wakauna ili kuua ideology hiyo. Be smart by african brother
 
Mi nadhan tz is not the problem bali rais wetu magufuli is
But anyway lets wait and see
...

Wakenya wanauza bidhaa zao hapa Tz kwa wingi mno, tit for tat kenya will suffer Tz also will suffer but not as them. U can compare this with China vs US trade war china sells about $500 B while US only $130 B. US is suffering but china is seriously suffers the same applied to Kny vs Tz
 
Our Agriculture is what makes Kenya a dominant economy in east Africa. Kenya has to feed its Citizens and also war torn Nations like Somalia, Sudan and Ethiopia! They run to us during hard times!
You import maize every other year, and when TZ bans exportation of the same prices skyrocket, what is wrong with your agriculture?
 
Sisi sio wazungu. Sisi ni Manyangau.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uliza Majirani wenzako kenya ndio kina nani. Infact Tanzania ni Maskini sana. Kenya is only dealing with Dar es salaam. Hio ndio Inchi ndogo inafaa kushugulikiwa, lakini sio kivita, Kiaiili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulimliza mzungu akaja na ndege yake akataka yaishe itakua wewe masikini mweusi
 
Yan sasa hiv kma unatoka tz unaenda kenya unapita bila vikwazo vingi. Kwenye kurudi sasa kwenye mpaka wetu unapekuliwa kama gaidi vile.
 
Our Agriculture is what makes Kenya a dominant economy in east Africa. Kenya has to feed its Citizens and also war torn Nations like Somalia, Sudan and Ethiopia! They run to us during hard times!
That's why you die of hunger, without food aid eve you wouldn't be alive to date.
 
Back
Top Bottom