steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Guseni mnate,Mtwara hali ni shwari tu sanaMalizeni ya mtwara, wavunja matofali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guseni mnate,Mtwara hali ni shwari tu sanaMalizeni ya mtwara, wavunja matofali
Sisi tulishamalizana nao ndani ya wiki mbili, magaidi Msumbiji imekua ni historia, ninyi huu ni mwaka wa kumi bado magaidi wanaingia Kenya, hovyo sana KDF.Malizeni ya mtwara, wavunja matofali
Wanafikiri sisi tuna mzaha na wanaochezea usalama wa nchi yetu kama wao walivyo madhaifuSisi tulishamalizana nao ndani ya wiki mbili, magaidi Msumbiji imekua ni historia, ninyi huu ni mwaka wa kumi bado magaidi wanaingia Kenya, hovyo sana KDF.
Hamna shida hata tukielekea njia ya wayahudi😄sisi tunapambana kuzia visitokee,ndio sababu tunaimarisha upelelezi na ushushushu.
nyinyi mnajiandaa kupigana nao,hamtawezana nao hao wafia dini daima watawapa hasara.
Mtwara mtapokea kichapo tena na tena na tena.Yanafikiri sisi tuna mzaha na wanaochezea usalama wa nchi yetu kama wao walivyo madhaifu
Ugaidi una mizizi mpaka us, kwenye most powerful army, swala hapa ni kuuzuia usitokee, huwezi kupambana na magaidi wewe.Hamna shida hata tukielekea njia ya wayahudi[emoji1]
Difficulty breeds the best, tutapambana nao...ila msisahau kwamba mizizi ya ugaidi bado ipo bongoland.
Soon mtavuna tu
Hiyo labda ni Mtwara ya kibera huko nairobi, mimi nipo huku huku Mtwara hali ni shwari na sasa hv nipo bar nakula gambe kwa raha zangu,acheni kulazimisha vitu ambavyo havipo, pambaneni na hali zenu madhaifu nyieMtwara mtapokea kichapo tena na tena na tena.
Nyinyi mmeua wangapi?Kambi nzima mmeua watatu...your hopeless
Sisi hatufanyi selfie na maiti..it's against humanity..yaani nyie inaonyesha how hampo disciplined..mnaofanya Kama magaidi wanavyofanya...tunawatofautishaje sasaNyinyi mmeua wangapi?
Hata mna evidence ya operation huko mtwara
[emoji23][emoji23][emoji23]wana utoto mwingi sana.Sisi hatufanyi selfie na maiti..it's against humanity..yaani nyie inaonyesha how hampo disciplined..mnaofanya Kama magaidi wanavyofanya...tunawatofautishaje sasa
Hiyo bunduki ya huyo AP ni CMZ-4 rifle ambayo imetengenzwa hapa hapa kenya.
These are bad guys trained to be the equivalent of the Army Rangers 75th regiment in the united states. these guys are trained in Kenya, Israel and at Fort Benning in Georgia.
Hapa ndio ninaona umuhimu wa training ya America na Israel kwa vikosi vyetu vya polisi. Yaani saa hii magaidi watapata shida sana. Our police are now well trained and capable of handling any terror incident.
Magaidi waliuwa watu wangapi huko Mtwara? Naomba mupambane nao kabisa. Msiwaruhusu kuingia TanzaniaHiyo labda ni Mtwara ya kibera huko nairobi,mimi nipo huku huku Mtwara hali ni shwari na sasa hv nipo bar nakula gambe kwa raha zangu,acheni kulazimisha vitu ambavyo havipo,pambaneni na hali zenu madhaifu nyie
Kwa hivyo unahisi huruma kwa hawa magaidi? Eti humanity? Magaidi wana humanity gani? Magaidi sio watu hao ni mbwa mwitu na wanastahili kuangamizwa bila huruma. Hata hakuna haja ya kuwatia mbaroni, hao wanastahili kupigwa marisasi mara moja. Nyie Watanzania mnapenda kushabikia ugaidi sana. Mnasupport magaidi sana.Sisi hatufanyi selfie na maiti..it's against humanity..yaani nyie inaonyesha how hampo disciplined..mnaofanya Kama magaidi wanavyofanya...tunawatofautishaje sasa