Kenya Police Special Forces raid Alshabaab camp in Lamu

Kenya Police Special Forces raid Alshabaab camp in Lamu

sisi tunapambana kuzia visitokee,ndio sababu tunaimarisha upelelezi na ushushushu.

nyinyi mnajiandaa kupigana nao,hamtawezana nao hao wafia dini daima watawapa hasara.
Hamna shida hata tukielekea njia ya wayahudi😄

Difficulty breeds the best, tutapambana nao...ila msisahau kwamba mizizi ya ugaidi bado ipo bongoland.

Soon mtavuna tu
 
Hamna shida hata tukielekea njia ya wayahudi[emoji1]

Difficulty breeds the best, tutapambana nao...ila msisahau kwamba mizizi ya ugaidi bado ipo bongoland.

Soon mtavuna tu
Ugaidi una mizizi mpaka us, kwenye most powerful army, swala hapa ni kuuzuia usitokee, huwezi kupambana na magaidi wewe.
 
Em9cWMdW8AMD4Zm-1.jpg

EqRBqEqXUAEd6SK.jpg

Warriors .
 
Jamaa wamewahishwa kwenda kula uroda huko sijui kwa mabikira, kama namna huwa wameaminishwa.
 
Sisi hatufanyi selfie na maiti..it's against humanity..yaani nyie inaonyesha how hampo disciplined..mnaofanya Kama magaidi wanavyofanya...tunawatofautishaje sasa
[emoji23][emoji23][emoji23]wana utoto mwingi sana.
 
Hiyo labda ni Mtwara ya kibera huko nairobi,mimi nipo huku huku Mtwara hali ni shwari na sasa hv nipo bar nakula gambe kwa raha zangu,acheni kulazimisha vitu ambavyo havipo,pambaneni na hali zenu madhaifu nyie
Magaidi waliuwa watu wangapi huko Mtwara? Naomba mupambane nao kabisa. Msiwaruhusu kuingia Tanzania
 
Sisi hatufanyi selfie na maiti..it's against humanity..yaani nyie inaonyesha how hampo disciplined..mnaofanya Kama magaidi wanavyofanya...tunawatofautishaje sasa
Kwa hivyo unahisi huruma kwa hawa magaidi? Eti humanity? Magaidi wana humanity gani? Magaidi sio watu hao ni mbwa mwitu na wanastahili kuangamizwa bila huruma. Hata hakuna haja ya kuwatia mbaroni, hao wanastahili kupigwa marisasi mara moja. Nyie Watanzania mnapenda kushabikia ugaidi sana. Mnasupport magaidi sana.
 
Back
Top Bottom