We kweli hamnazo,watu wanaingia kwa njia za panja utawazuiaje sasa,hata Marekani kwenyewe wamexico wanaingia kwa njia za panya na hawakamatwi itakuwa sisi,kuhusu idadi fuatilia vizuri, hata hiyo idadi uliyobrainwashiwa na media za ovyo ovyo ipo exergeratedMagaidi waliuwa watu wangapi huko Mtwara? Naomba mupambane nao kabisa. Msiwaruhusu kuingia Tanzania
Serikali yenu ilishakubali kuwa kuna watu walioangamizwa. Serikali yenu ilitoa idadi gani?We kweli hamnazo,watu wanaingia kwa njia za panja utawazuiaje sasa,hata Marekani kwenyewe wamexico wanaingia kwa njia za panya na hawakamatwi itakuwa sisi,kuhusu idadi fuatilia vizuri,hata hiyo idadi uliyobrainwashiwa na media za ovyo ovyo ipo exergerated
Kuzuia ugaidi usitokee ...Kuna njia nyingi.Sisi tumefanya preemptive operation.ambayo ilikuwa intelligence led.ugaidi una mizizi mpaka us,kwenye most powerfully army,swala hapa ni kuuzuia usitokee,huwezi kupambana na magaidi wewe.
sawa.Kuzuia ugaidi usitokee ...Kuna njia nyingi.Sisi tumefanya preemptive operation.ambayo ilikuwa intelligence led.
Wewe ulisikiaje kwani?Serikali yenu ilishakubali kuwa kuna watu walioangamizwa. Serikali yenu ilitoa idadi gani?
Unajua idadi au hujui? Ni swali rahisi tu.Wewe ulisikiaje kwani?
Migaidi yalikuwa yamepewa jukumu la kusafirisha visu , Visu hivyo zilitakiwa kutumiwa na magaidi kuwakata vichwa raia katika maeneo ya North Eastern.sawa.
hakukuwa na haja ya kupiga picha na kuwaringishia namna hiyo.
Weka unayoijua weweUnajua idadi au hujui? Ni swali rahisi tu.
Sijakataa wao kuuwawa..nachozungumzia Ni nyie kufanya vitendo Kama wanavyofanya magaidi... Kuna Sheria za mapigano zinazofuatwa na watu waliostaharabika...yule alifanya akiwa na akili zake timamu..Sasa kwanini muifanyie matendo mabaya mwili ambao hauna uhai Hadi mpige selfie na maiti? Hayo Ni matendo ya watu wasiostaarabika...nawashauri pia muwachome au muingilie kimaumbile hiyo miili au muichome mishikaki if mnaona matendo hayo yanafaa kwakuwa waliwafanyia nyie ubaya.Kwa hivyo unahisi huruma kwa hawa magaidi? Eti humanity? Magaidi wana humanity gani? Magaidi sio watu hao ni mbwa mwitu na wanastahili kuangamizwa bila huruma. Hata hakuna haja ya kuwatia mbaroni, hao wanastahili kupigwa marisasi mara moja. Nyie Watanzania mnapenda kushabikia ugaidi sana. Mnasupport magaidi sana.
Wewe endelea kulia kuhusu miili za mashetani. Kama unazitaka tunaweza kupa maana inaonekana unajali sana hizo miili.Sijakataa wao kuuwawa..nachozungumzia Ni nyie kufanya vitendo Kama wanavyofanya magaidi... Kuna Sheria za mapigano zinazofuatwa na watu waliostaharabika...yule alifanya akiwa na akili zake timamu..Sasa kwanini muifanyie matendo mabaya mwili ambao hauna uhai Hadi mpige selfie na maiti? Hayo Ni matendo ya watu wasiostaarabika...nawashauri pia muwachome au muingilie kimaumbile hiyo miili au muichome mishikaki if mnaona matendo hayo yanafaa kwakuwa waliwafanyia nyie ubaya.
CNN ilionyesha picha ya shambulio la kigaidi Nairobi, wakenya wote wakapiga kelele na kutaka CNN waombe radhi, hawa jamaa ni wanafiki sanaSijakataa wao kuuwawa..nachozungumzia Ni nyie kufanya vitendo Kama wanavyofanya magaidi... Kuna Sheria za mapigano zinazofuatwa na watu waliostaharabika...yule alifanya akiwa na akili zake timamu..Sasa kwanini muifanyie matendo mabaya mwili ambao hauna uhai Hadi mpige selfie na maiti? Hayo Ni matendo ya watu wasiostaarabika...nawashauri pia muwachome au muingilie kimaumbile hiyo miili au muichome mishikaki if mnaona matendo hayo yanafaa kwakuwa waliwafanyia nyie ubaya.
Mbona ninyi mlilalamika pale picha za miili ya watu waliouliwa na magaidi Nairobi zilipoonyeshwa na media za nje?Wewe endelea kulia kuhusu miili za mashetani. Kama unazitaka tunaweza kupa maana inaonekana unajali sana hizo miili.
Ichomeni mishikaki..au muile mande ili hasira zenu ziisheWewe endelea kulia kuhusu miili za mashetani. Kama unazitaka tunaweza kupa maana inaonekana unajali sana hizo miili.
Hiyo ilikuwa miili za watu innocent wasio na makosa. Hii hapa ni miili za magaidi. Kuna tofauti kubwa hapo. Endeeleeni kulia kuhusu miili za magaidi. Zinastahili zinyofolewe uume kisha uume utupiwe umbwa.Mbona ninyi mlilalamika pale picha za miili ya watu waliouliwa na magaidi Nairobi zilipoonyeshwa na media za nje?
Hawa bongolalas are a funny lot, mara al shabaab are defeating us, now if we show them evidence wanaanza kua sympathetic na al shabaab, this are AP Special forces and not military, hizo mshikaki si wakule wenyeweWewe endelea kulia kuhusu miili za mashetani. Kama unazitaka tunaweza kupa maana inaonekana unajali sana hizo miili.
Hivi ni Hawa,au!?Vikosi vya Kenya Police Special forces ( AP SOG and BPU) vilivamia kambi ya wanamgambo wa Alshabaab huko Boni forest,Lamu county.
Magaidi hawa hutumia upana wa msitu huu kufanya mashambulizi yao katika huu msimu wa Krismasi na January kisha kukimbilia Somalia na kurudi wakati wa Iddi tena huko June/July.
Tuliwaambia nyinyi mataga wa ccm na kwamba hamko combat tested, combat experienced or combat proven. Vita vya Kagera visiwadanganye kwamba mwaeza tisha yeyote hapa East Africa.
Mkishindwa huko Mtwara, mtuite tumalize hio kazi
Wanajivunia njaa na CoronaSasa Kenya Ina Mimi Cha kujivunia?
Tutawatwanga kama waganda tuliwapasuaSi mtushambulie, baradhuli nyinyi[emoji849]