Kenya Police Special Forces raid Alshabaab camp in Lamu

Hawa Waganda pia walisaidia sana kuliberate Somalia
 
Hyo video yake full nlikua nayo before ni factory reset simu yangu..
Jamaa anakupigia target within a period of 2sec tena hatoi nje..

Ana uwezo wa kutoa target tano ndani ya sekunde kumi
Mbona KAPEDO wanapaogopa
 
Hyo video yake full nlikua nayo before ni factory reset simu yangu..
Jamaa anakupigia target within a period of 2sec tena hatoi nje..

Ana uwezo wa kutoa target tano ndani ya sekunde kumi
Hio video inaweza kuwa youtube? Maana ningependa kuisearch. Amenishangaza sana. Huyo ni hatari. Angepelekwa westgate peke yake angeangusha hao magaidi akiwa peke yake maana reaction time yake ni faster kushinda ya adui, na pia yupo accurate.
 
Tangu wakenya mlipomuamini Mungu wenu kisha akaja kufa mlianza kuchanganyikiwa wallah

Na mkiendelea kujisifu hivi mtapata tabu sana

Endeleeni kumuamini Marehemu Jehovah Wanyonyi Mungu wenu

 
Hio video inaweza kuwa youtube? Maana ningependa kuisearch. Amenishangaza sana. Huyo ni hatari. Angepelekwa westgate peke yake angeangusha hao magaidi akiwa peke yake maana reaction time yake ni faster kushinda ya adui, na pia yupo accurate.
KAPEDO mbona hawapelekwi...
 
KAPEDO mbona hawapelekwi...
Kapedo ni hatari mzee. Basically ni msitu. Huoni anayekufyatulia risasi. Hata kama wewe ni sharpshooter, lazima uone target kwanza ndio uweze kushoot.
 
Kapedo ni hatari mzee. Basically ni msitu. Huoni anayekufyatulia risasi. Hata kama wewe ni sharpshooter, lazima uone target kwanza ndio uweze kushoot.
So mmeamua kuhepesha special force wenu
 
Kapedo ni hatari mzee. Basically ni msitu. Huoni anayekufyatulia risasi. Hata kama wewe ni sharpshooter, lazima uone target kwanza ndio uweze kushoot.
So mmeamua kuhepesha special force wenu
 
Hio video inaweza kuwa youtube? Maana ningependa kuisearch. Amenishangaza sana. Huyo ni hatari. Angepelekwa westgate peke yake angeangusha hao magaidi akiwa peke yake maana reaction time yake ni faster kushinda ya adui, na pia yupo accurate.
Youtube niliisaka nikaikosa m pia, then nilikua na ingine alpha wanapiga live bullets katika field yani utapenda..
Jamaa wanapiga mmoja hku wakiwa katika mstari mmoja..
Jamaa yangu flani wa hko kasema hyo ni ile ya kusawazisha
 
Hio video inaweza kuwa youtube? Maana ningependa kuisearch. Amenishangaza sana. Huyo ni hatari. Angepelekwa westgate peke yake angeangusha hao magaidi akiwa peke yake maana reaction time yake ni faster kushinda ya adui, na pia yupo accurate.
Jamaa hatari sana, yani we ukimgusa anajeuka nakupiga target..
Wazee wanatabasamu kimya kimya
 
Hapana chezea hyo kijana wa Alpha, atakupasua ubongo ndani ya sekunde mbili..
Tena huyo alikua mafunzoni
Ndo jibu hili la kwann hamuwapeleki KAPEDO..it seem like you have useless army if hamuwezi control some part of land inside ur own country
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…