Hii nayo tuna iitaje,View attachment 1682963
Hyo video yake full nlikua nayo before ni factory reset simu yangu..
Mbona KAPEDO wanapaogopaHyo video yake full nlikua nayo before ni factory reset simu yangu..
Jamaa anakupigia target within a period of 2sec tena hatoi nje..
Ana uwezo wa kutoa target tano ndani ya sekunde kumi
Hio video inaweza kuwa youtube? Maana ningependa kuisearch. Amenishangaza sana. Huyo ni hatari. Angepelekwa westgate peke yake angeangusha hao magaidi akiwa peke yake maana reaction time yake ni faster kushinda ya adui, na pia yupo accurate.Hyo video yake full nlikua nayo before ni factory reset simu yangu..
Jamaa anakupigia target within a period of 2sec tena hatoi nje..
Ana uwezo wa kutoa target tano ndani ya sekunde kumi
KAPEDO mbona hawapelekwi...Hio video inaweza kuwa youtube? Maana ningependa kuisearch. Amenishangaza sana. Huyo ni hatari. Angepelekwa westgate peke yake angeangusha hao magaidi akiwa peke yake maana reaction time yake ni faster kushinda ya adui, na pia yupo accurate.
Kapedo ni hatari mzee. Basically ni msitu. Huoni anayekufyatulia risasi. Hata kama wewe ni sharpshooter, lazima uone target kwanza ndio uweze kushoot.KAPEDO mbona hawapelekwi...
So mmeamua kuhepesha special force wenuKapedo ni hatari mzee. Basically ni msitu. Huoni anayekufyatulia risasi. Hata kama wewe ni sharpshooter, lazima uone target kwanza ndio uweze kushoot.
So mmeamua kuhepesha special force wenuKapedo ni hatari mzee. Basically ni msitu. Huoni anayekufyatulia risasi. Hata kama wewe ni sharpshooter, lazima uone target kwanza ndio uweze kushoot.
Huyu anaacha sura huoni anarisk maisha yake maana wanaweza kurevange kwenye family yake.
Youtube niliisaka nikaikosa m pia, then nilikua na ingine alpha wanapiga live bullets katika field yani utapenda..Hio video inaweza kuwa youtube? Maana ningependa kuisearch. Amenishangaza sana. Huyo ni hatari. Angepelekwa westgate peke yake angeangusha hao magaidi akiwa peke yake maana reaction time yake ni faster kushinda ya adui, na pia yupo accurate.
Hapana chezea hyo kijana wa Alpha, atakupasua ubongo ndani ya sekunde mbili..Kwanini wasipelekwe KAPEDO
Jamaa hatari sana, yani we ukimgusa anajeuka nakupiga target..Hio video inaweza kuwa youtube? Maana ningependa kuisearch. Amenishangaza sana. Huyo ni hatari. Angepelekwa westgate peke yake angeangusha hao magaidi akiwa peke yake maana reaction time yake ni faster kushinda ya adui, na pia yupo accurate.
We unajua kwaoHuyu anaacha sura huoni anarisk maisha yake maana wanaweza kurevange kwenye family yake.
Naona mnatumia intellijensia ya maumau
Ndo jibu hili la kwann hamuwapeleki KAPEDO..it seem like you have useless army if hamuwezi control some part of land inside ur own countryHapana chezea hyo kijana wa Alpha, atakupasua ubongo ndani ya sekunde mbili..
Tena huyo alikua mafunzoni
Huko tumetuma GSUSo mmeamua kuhepesha special force wenu
Ni wa GSU au KDF? Wacha nitaisaka tu. Hio video lazima niipate.Jamaa hatari sana, yani we ukimgusa anajeuka nakupiga target..
Wazee wanatabasamu kimya kimya
GSU wanauliwa Kama nzi hukoHuko tumetuma GSU