Kwa Raila kujitoa maana yake uchaguzi uliopangwa tarehe 26.10.2017 hautafanyika na badala yake uchaguzi mpya utaitishwa baada ya siku 90 utakaotanguliwa na vyama kuchagua wagombea.Nilitegemea kupata athari za odinga kujitoa katika uchaguz lakini hujatoa hata moja!
Anataka machafuko ili apate nusu mkateHuyu jamaa haeleweki anataka nini
hlafu huko kwimgine nani atatawala? raisi ni mmoja tu na yeye ndiye mwenye funguo wa hazina sasa mkikaa kusema hatumtambui uhuru nani mwingine atawaletea maendeleo?Kenya haitatawalika tena,
Uhuru atatawala kwa wakikuyu
na wakalenjin tu, naiona kenya
ikipasuka
Kaka subiri uone mchezo I feel very sory for UKhlafu huko kwimgine nani atatawala? raisi ni mmoja tu na yeye ndiye mwenye funguo wa hazina sasa mkikaa kusema hatumtambui uhuru nani mwingine atawaletea maendeleo?
Maalim Sefu ajifunze kwa Raila jinsi alivyoweka mpira kwapaniAna point, huwezi shiriki tena uchaguzi wakati wale waliounajisi bado kwa nafasi zao, ukifanya hivyo utakuwa dhaifu mno, ni bora utoke.
Hujui lolote lile wewe akili mgando.. Raila ndo alitaka sana uchaguzi urudiwe sasa hivi yeye anachomoa na aliyoyata asilimia kubwa yamefanywa. Sasa huoni hizi bilioni 12 ambazo zingeweza kutumika kufanya mambo mengine. Yeye angekataa toka mwanzo?Tanua ubongo wako japo kidogo uone yaliyomo
usikubali ubongo wako uwe kama bumunda.
Raila anafanya vurugu tu, kwa vyovyote hawezi shinda uchaguz Kenya yote labda kwao Kaunti ya KisumuAliposhindwa alienda mahakamani na akashinda kesi na uchaguzi ukaamuliwa urudiwe.Hilo ni jambo la kidemokrasia na nililipenda
N
Kilichonichosha ni kitendo cha yeye kutangaza kujitoa kupitia media na kuitisha maandamano
Najiuliza:
+Sasa kama amejitoa si anabaki kuwa raia Wa kawaida , sasa anaandamana kama nani?!
+Watu Wa tume wako kwa mujibu Wa sheria,sasa watabadikishwaje ghafla hivi bila vikao vya bunge?!
Najaribu tu kuwaza
HAPANA, Raila Odinga ameishategua Kitendawili " No Reform No Election"Huyu mzee anataka watu wapasuane
Sidhani kama umewahi hata kupitia machapisho ya kuanzishwa ICC. Kujitoa kunahusikaje na ICCHuyo mahakama ya ICC inamuita
Vyama vya upinzani kama vingesusa chaguzi zote tangu hiyo 1995, unafikiri ingesaidia kukuza demokrasia ya nchi yetu.Kama hana imani na tume basi kafanya jambo jema [kama habari ni ya kweli].
Huku kwetu CHADEMA huwa wanashiriki chaguzi za NEC halafu wakishindwa wanaanza kudai tume haiko huru.
Aje kushiriki tucta mwezi ujao kama huo autakiKama hana imani na tume basi kafanya jambo jema [kama habari ni ya kweli].
Huku kwetu CHADEMA huwa wanashiriki chaguzi za NEC halafu wakishindwa wanaanza kudai tume haiko huru.
UK kama namuona vile anavyomchukia Le Dokta Vijembe wetu maana ni kama RAO anapata kiburi toka sehem fulan nchinSubiri maandamano yake sasa,aliyeitwa Baba wa demokrasia anaenda kuipaka mavi CV yake kwa kutumia polisi.
Jamaa kachungulia kaona atapigwa tena mchana kweupe!Raila Odinga ajiondoa kugombea urais wa Kenya, kwenye uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26, 2017
Miongoni mwa sababu kubwa za kujitoa ni;
- Wamehisi kuwa IEBC haina nia ya kuhakikisha yale makosa yaliyosababishwa kufutiliwa mbali matokeo ya urais Augost 8 kuwa hayatajirudia tena.
- Pia wameona wapianzani wa Jubilee wataka kufanyia Katiba mapinduzi na kurudisha udikteta, wanaona kuwa Jubilee wanataka tu kuwe na uchaguzi ila wao wanataka uchaguzi bora
- Pia IEBC kutokufuata masharti waliyotoa ambayo yangeakikisha kuwepo kwa uchaguzi bora na wa haki
Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari amesema;
“Kwenye demokrasia ya Kikatiba, hatakiwi kulumbana kuhusu uchaguzi huru na wa haki. Tulitakiwa tushirikiane kwa kufanya kazi pamoja kuhakikisha tunashikilia maadili haya ambayo sio tu maadili ya taifa letu bali pia ni msingi wa mfumo wa uchaguzi wa kuaminika”
"Tumeshinda vita ya demokrasia ya vyama vingi na ya Katiba mpya. Tutashinda vita ya uchaguzi huru na wa haki"
Wakati huo huo, Raila Odinga amewataka wafuasi wake nchi nzima kuandamana kesho kupinga kitendo cha Tume ya Uchaguzi kugoma kubadili uongozi wake.
Baada ya Tamko hilo, Mbuge Ndindi Nyoro amesema;
Kwanza mimi nafurahi sana vile amejiondoa kwa sababu ni kuonyesha wakenya ya kwamba vile tumekuwa tukisema kama watu wa Jubilee, NASA haijawahi kuwa ready kwa elections. Tulianza 8 august even before that walikuwa wanashinda kortini kulalamika huko.
Hii ni kwa sababu hawa-take any chance ya ku-face wakenya.
Maoni yangu ni kumuapisha rais wetu Uhuru, kwa sababu hatuwezi kuwa na mtu mmoja kwa sababu ya greedy yake ya kuongoza watu anazungusha nchi yetu kila siku
Uhuru Kenyatta amemjibu Raila kwa kusema hivi
===============================================================================
Tamko la NASA kujiondoa katika kinyang'anyiro cha uchaguzi, 26 Oktoba 2017
Kalonzo wanamuita WATER MELON (nje kijani, ndani nyekundu) nadhani devil approaches zifuatazo zaweza tumika.A very wise decision. But I thought they would have designated another one rather than the unpopular Kalonzo. There isn't much time enough to popularize Kalonzo. So, Uhuruto are back, me thinks.