KENYA: Raila Odinga(NASA) ajitoa kugombea urais wa Kenya uliokuwa ufanyike 26 Oktoba, 2017

Bora astaafu siasa kwa heshima maana kushinda uchaguzi wa marudio ni ndoto!
Muache aende zake Kenya is bigger than him.Huyu jamaa amekuwa akifikiri ataiteka nyara Kenya kila wakati hadi apate chake.Tumechoka na uchaguzi usio na mwisho ,uharibifu wa mali ,maandamano na kuhujumu uchumi ili tu mtu mmoja apate mamlaka.Go home and never come back Fake Joshua.
 
Vyama vya upinzani kama vingesusa chaguzi zote tangu hiyo 1995, unafikiri ingesaidia kukuza demokrasia ya nchi yetu.

Hususi tu bila sababu.

Unasusa kwa sababu ya/za msingi ili kumulika kasoro kwa lengo la kutanabahisha umma na kutia shinikizo la mabadiliko au marekebisho.
 
Kama hana imani na tume basi kafanya jambo jema [kama habari ni ya kweli].

Huku kwetu CHADEMA huwa wanashiriki chaguzi za NEC halafu wakishindwa wanaanza kudai tume haiko huru.
Kila jambo kuhusisha chadema ni sawa na kichaa , ukabila usikupumbaze kiasi hicho mkuu , iko siku utakuja kutuomba radhi mjomba .
 
Wengine mnamwita kibaraka, wengine mnasema amerahisisha kumpa ushindi Kenyatta. Kwa wale msiong'amua mambo iko hivi: Kwa mujibu wa sheria yao ya uchaguzi (Kenya) kifungu 138 (8) (b) kilichofanyiwa marekebisho mwaka 2013, kujiondoa kwake (Raila) kunamaanisha uchaguzi wote unarudiwa. Yaani they are going to start from afresh.
 
Ni siku chache tu tangu mahakama ya juu ya nchini kenya ilipotengua (kufuta) matokeo yaliyompa rais uhuru kenyatta nafasi ya kuiongoza kenya. Hii ni kutokana na muungano wa upinzani nchini humo kupeleka mahakamani shauri lao la kupinga matokeo dhidi ya IEBC na kushinda.hatua hiyo ilifanya kutangazwa kufanyika kwa uchaguzi wa marudio nchini humo.. Kipindi wakiwa katika harakati za kampeni cha ajabu sana nimeona leo raila odinga katangaza kujitoa kwenye kinyang'anyiro..
Hili limekaaje?????
 
Raila Odinga pulls out of repeat presidential election

Page 2 of 2

“We have come to the conclusion that there is no intention on the part of the IEBC to undertake any changes to its operations and personnel to ensure that the “illegalities and irregularities” that led to the invalidation of the 8th August, 2008 do not happen again.

WORSE

“All indications are that the election scheduled for 26 October will be worse than the previous one,” he said.

He took a swipe at President Uhuru Kenyatta-led Jubilee Party for pushing for election laws changes saying the move shows that it had no intention of competition on a level playing field.

“The only election Jubilee administration is interested in is one that it must win, even unlawfully,” he said.

He accused President Kenyatta and his Deputy William Ruto of boasting of having majority in the National Assembly and Senate, saying the two leaders “intend to overthrow our new constitutional order and re-install the old order.”

The Nasa leader also accused some "international actors" of siding with Jubilee.

"It is unfortunate that international actors who have supported Kenyans in their quest for democracy and good governance are now on the side of appeasing dictatorship in the mistaken belief that it will maintain stability," he said.

Raila quits repeat poll - VIDEO
 
Uamuzi mzuri. African elections ni nadra kuwa free and fair. Ni nchi chache tu; mathalani Ghana na Botswana are the best examples kwa kuwa na chaguzi za haki.
 



Kweli siasa za majirani zimenichanganya....hii nayo ni historia...

 
Umesoma vizuri lakini alichosema Odinga, amehamasisha pia wafuasi wake waandamane unajua
Kuandamana kunampeleka mtu ICC? In fact hayo maandamano hayana nguvu....ni sehem ndogo ya Kibera, kisumu na mombasa.
 
Hususi tu bila sababu.

Unasusa kwa sababu ya/za msingi ili kumulika kasoro kwa lengo la kutanabahisha umma na kutia shinikizo la mabadiliko au marekebisho.
Kaka upo sahihi kabisa, lakini senario hii kwa nchi yetu bado saana, CDM kwa namna yoyote siwashauri wasisuse uchaguzi wowote ule hata huu ujao wa 2020, kwa mazingira yetu ni bora ushiriki upate utakachopata then ulalamike. Ukisusa CCM wanakomba mboga zote na hutaenda kushitaki popote.
 
sijui hapo itakuaje tena, mwaka huu tena mgogoro unaweza zuka kama 2oo7
 
Raila yupo sahihi,huwezi ukafanya jambo lilelile kwa mbinu zile zile ukitegemea matokeo tofauti.

Mwenyekiti wa tume ndio alieshiriki kifanya udukuzi na kumsaidia Kenyata.

Leo mtu alievuruga uchaguzi apewe tena avuruge na kumbeba atakae mlinda?
 
Alichofanya ni sahihi kabisa kama hana imani na tume ya uchaguzi.

Jambo ambalo nimekuwa nikiwashauri wapinzani wa Tanzania kwa muda mrefu.

Kwa nini mtu ushiriki uchaguzi unaoendeshwa na tume ambayo huna imani nayo?
Wewe humjui huyu jamaaa.Kila kitu kwake ni malalmiko,kuanza vitisho na kuchochea.Hakuwa na imani na tume ya uchaguzi ,hana imani na KDF ,hana iamani na jeshi la polisi ,hana imani na chochote serikali inachofanya na hii tume mpya ndiye alifanya ichaguliwe juzi ati sababu hakuwa na imani na ile tume ilyovunjwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…