joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Akili ndogo ndio zinaona loss kwasababu hata knowledge ndogo ya Bookkeeping haipoKwamba u don't see how loss making is your atcl? Au unataka failure ipi wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili ndogo ndio zinaona loss kwasababu hata knowledge ndogo ya Bookkeeping haipoKwamba u don't see how loss making is your atcl? Au unataka failure ipi wewe
Kwamba u don't see how loss making is your atcl? Au unataka failure ipi wewe
Soma haya maelezo ya waziri ndio utajua kwanini hadi Leo ATCL na TANESCO zinaonea zinapata hasara, kwasababu faida wanazozalisha zinaenda kulipa Madeni ya nyuma, enzi za PTL, endapo hayo madeni yangekuwa hayapo, yote yangekua yanatengeneza faida. Vipi TTCL iliyoanza juzi, hata bila ya serikali kuwekeza pesa yoyote iwe imetengeneza faida na kuanzia kutoa gawio serikali?, jibu ni kwasababu hawakuwa na madeni ya nyuma.
The losses are inevitable fool, if and only if u know economics and business.Kwamba u don't see how loss making is your atcl? Au unataka failure ipi wewe
Inailipa South Africa Airways their parting ways came with obligations!Atcl inalipa madeni gani?
Wewe jifariji na ujuaji wakati hadi sasa TRC wanakula hasara sijui mtakua mnasafirisha dagaa au vp
The losses are inevitable fool, if and only if u know economics and business.
Utasikia usafiri wa train ni huduma watu wanafika haraka Dar,kwani shida ya watu ni kufika fasta Dar? Mtakula hasara mpaka mkomeHizo kauli za kinyonge peleka kwenye vikao vya kahawa.
nyie hata kufika polepole mmekula hasara! Inaitwa planning in advance!Utasikia usafiri wa train ni huduma watu wanafika haraka Dar,kwani shida ya watu ni kufika fasta Dar? Mtakula hasara mpaka mkome
We unataka kila kitu uambiwe mpaka mtu akivaa chupi akwambie rangi ya chupi??😆😆Project of unknown contract sum,upigaji kweli nyie mandezi umewahi ona wapi duniani kunatekelezwa mradi kwa pesa za walipakodi lakini thamani ya mradi haijulikani,only kwa vichwa bogus vya ldc tzn
Loss ya wapi 😆😆😆 mngeanza kumtafuta mchawi kwenye fake SGR ambayo mchina kazikata makende yenu bila huruma na huku kq ikipumulia mirija ya mikojo miaka 7 mfululizo bila nafuu😆😆😆Loss ikianza ndio utaona hoja saizi unajipaka mafuta ya matumaini hewa
Yaonesha ATCL inakunyima usingizi😆😆Kwamba u don't see how loss making is your atcl? Au unataka failure ipi wewe
Hujui inalipa madeni gani ilikua na deni nyuma ya almost 70 to 80b tshAtcl inalipa madeni gani?
Mpaka leo meter gage inatumika ushawah sikia hio kauli???? Punguza mhemko utapatwa na maradhi bure😆😆😆Utasikia usafiri wa train ni huduma watu wanafika haraka Dar,kwani shida ya watu ni kufika fasta Dar? Mtakula hasara mpaka mkome
Utasikia usafiri wa train ni huduma watu wanafika haraka Dar,kwani shida ya watu ni kufika fasta Dar? Mtakula hasara mpaka mkome
Maneno meengi na uigizaji wa kuchekesha ndio yamewafikisha hapo mlipo yaliasisiwa na huyu mzee mkawa brainwashed,wait hasara mtabadilisha chorus tuubROTHER, you must be like this, Pengine hicho ndiyo kipaji chako.
Watch the video.
Maneno meengi na uigizaji wa kuchekesha ndio yamewafikisha hapo mlipo yaliasisiwa na huyu mzee mkawa brainwashed,wait hasara mtabadilisha chorus tuu
Soma haya maelezo ya waziri ndio utajua kwanini hadi Leo ATCL na TANESCO zinaonea zinapata hasara, kwasababu faida wanazozalisha zinaenda kulipa Madeni ya nyuma, enzi za PTL, endapo hayo madeni yangekuwa hayapo, yote yangekua yanatengeneza faida. Vipi TTCL iliyoanza juzi, hata bila ya serikali kuwekeza pesa yoyote iwe imetengeneza faida na kuanzia kutoa gawio serikali?, jibu ni kwasababu hawakuwa na madeni ya nyuma.