Kenya revises SGR revenue downward 44pc to Sh5.7bn

Kenya revises SGR revenue downward 44pc to Sh5.7bn

Kwamba u don't see how loss making is your atcl? Au unataka failure ipi wewe

Soma haya maelezo ya waziri ndio utajua kwanini hadi Leo ATCL na TANESCO zinaonea zinapata hasara, kwasababu faida wanazozalisha zinaenda kulipa Madeni ya nyuma, enzi za PTL, endapo hayo madeni yangekuwa hayapo, yote yangekua yanatengeneza faida. Vipi TTCL iliyoanza juzi, hata bila ya serikali kuwekeza pesa yoyote iwe imetengeneza faida na kuanzia kutoa gawio serikali?, jibu ni kwasababu hawakuwa na madeni ya nyuma.
 

Soma haya maelezo ya waziri ndio utajua kwanini hadi Leo ATCL na TANESCO zinaonea zinapata hasara, kwasababu faida wanazozalisha zinaenda kulipa Madeni ya nyuma, enzi za PTL, endapo hayo madeni yangekuwa hayapo, yote yangekua yanatengeneza faida. Vipi TTCL iliyoanza juzi, hata bila ya serikali kuwekeza pesa yoyote iwe imetengeneza faida na kuanzia kutoa gawio serikali?, jibu ni kwasababu hawakuwa na madeni ya nyuma.

Atcl inalipa madeni gani?
 
The losses are inevitable fool, if and only if u know economics and business.

Ahaaa haaa haaa
Kenya walijenga SGR before doing the viability study. NDIYO MAANA walivyopeleka maombi ya additional financing waChina walisema lazima wafanye study ya mradi mzima, baadaye wakaona haulipi. Basi ikabidi wasitishe hiyo nyongeza.
 
Project of unknown contract sum,upigaji kweli nyie mandezi umewahi ona wapi duniani kunatekelezwa mradi kwa pesa za walipakodi lakini thamani ya mradi haijulikani,only kwa vichwa bogus vya ldc tzn
We unataka kila kitu uambiwe mpaka mtu akivaa chupi akwambie rangi ya chupi??😆😆

Hii ni nchi imetoka kwenye socialism, am sure u know what is socialism

Mradi wa rufiji dam cost yake 3b usd👏👏 na hapo hakuna loan wala harufu ya mkopo
 
Utasikia usafiri wa train ni huduma watu wanafika haraka Dar,kwani shida ya watu ni kufika fasta Dar? Mtakula hasara mpaka mkome
Mpaka leo meter gage inatumika ushawah sikia hio kauli???? Punguza mhemko utapatwa na maradhi bure😆😆😆
 
Utasikia usafiri wa train ni huduma watu wanafika haraka Dar,kwani shida ya watu ni kufika fasta Dar? Mtakula hasara mpaka mkome

bROTHER, you must be like this, Pengine hicho ndiyo kipaji chako.
Watch the video.
 

Attachments

  • kipaji kama ilivyo urefu na ufupi.mp4
    1.2 MB
bROTHER, you must be like this, Pengine hicho ndiyo kipaji chako.
Watch the video.
Maneno meengi na uigizaji wa kuchekesha ndio yamewafikisha hapo mlipo yaliasisiwa na huyu mzee mkawa brainwashed,wait hasara mtabadilisha chorus tuu
 

Soma haya maelezo ya waziri ndio utajua kwanini hadi Leo ATCL na TANESCO zinaonea zinapata hasara, kwasababu faida wanazozalisha zinaenda kulipa Madeni ya nyuma, enzi za PTL, endapo hayo madeni yangekuwa hayapo, yote yangekua yanatengeneza faida. Vipi TTCL iliyoanza juzi, hata bila ya serikali kuwekeza pesa yoyote iwe imetengeneza faida na kuanzia kutoa gawio serikali?, jibu ni kwasababu hawakuwa na madeni ya nyuma.

Mpe hii asome aelewe👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom