Kazi yako wewe ni kuspam International forum yote na malalamiko yako ya kitoto, kwani kuna haja gani ya kurudi rudia thread zenye ujumbe ule ule??? levies, levies, levies kila baada ya dakika tano....:hat:Nilikwambia afadhali usijishughulishe kujibu, sina wakati wa kujaribu poteza wakati mabishano ya kiupuzi na ya kiuwanawali. Nenda kwa JF gossip tafadhali. Leave this posts and forum thread to those who are not faint-hearted.
Wewe afadhali ukapumzike, there is nothing you know. Hamna hata hoja, ni ignorance tu. Vikwazo zenu hazituumizi sisi, ni nyie wapuzi hamwezi hata kajisaidia bali Kulalamika tu na takwimu za uongo, eeti CIA. This is not your area uende uchunge mifugo za mzee, ikiwa umekosa kazi. You act as though wewe ni msomi bali ni mjuaji. Kwanini hata unajishughulisha kujibu hapa? Umesoma hii thread umeona nani anatupa tupa mdomo hapa kama wewe. Uchumi wa Tanzania una potential kubwa na hauta endeshwa na nyangau, lakini pia haitendeshwa na watu wenye fikra kama yako ifaulu, :angry:. this is an open forum for constructive criticsm.
Kazi yako wewe ni kuspam International forum yote na malalamiko yako ya kitoto, kwani kuna haja gani ya kurudi rudia thread zenye ujumbe ule ule??? levies, levies, levies kila baada ya dakika tano....:hat:
https://www.jamiiforums.com/interna...evies-nightmare-at-kenya-tanzania-border.html
Tutaendelea kukubana hivihivi mpaka ubadilike....:A S-coffee:
Mzalendo542 said:By Mzalendo452
Wewe afadhali ukapumzike, there is nothing you know. Hamna hata hoja, ni ignorance tu. Vikwazo zenu hazituumizi sisi, ni nyie wapuzi hamwezi hata kajisaidia bali Kulalamika tu na takwimu za uongo, eeti CIA. This is not your area uende uchunge mifugo za mzee, ikiwa umekosa kazi. You act as though wewe ni msomi bali ni mjuaji. Kwanini hata unajishughulisha kujibu hapa? Umesoma hii thread umeona nani anatupa tupa mdomo hapa kama wewe. Uchumi wa Tanzania una potential kubwa na hauta endeshwa na nyangau, lakini pia haitendeshwa na watu wenye fikra kama yako ifaulu, . this is an open forum for constructive criticsm.
whaaat CIA facts ni takwimu za Uongo? basi ulete takwimu za CBK hapa unazoziamini! The statistics that were proven cooked in 2002 when they claimed ur economy grew while shrank actually!
Tukishirikiana kiuchumi na kibiashara wote tutafaidi, ndio maana tunakazana kuwa one strong economical block EAC!!! Wenzetu ulaya EU wameendelea lakini wanashirikiana kunyanyuana kiuchumi!!!!! Tukiwa na fikra za aina hii kwenye uchumi sijui tunamkomoa nani, kwanza ukiblock entry ya magari kwa levy kubwa unasababisha rushwa kwa upande mwingine!!! Pata historia ya mahindi serikali ilipozui kupeleka Kenya, Polisi, Costoms with other law enforcers wakafanya mladi wakatajirika!!!! Nadhani Mawaziri wa EAC, Mambo ya ndani, na wote wahusika wa mipaka kuna haja ya kukaa pamoja na kuelekeza local Governments nini maana ya Costoms Union na Common Markets!!!!!Uchumi wa Tanzania wewe unakuhusu nini, kwanini usiende ukasaidie uchumi wa Kenya, kila siku uko humu tu kazi kupiga domo juu ya issues za Tanzania wakati watanzania hawakutaki, Kwani huoni aibu???:A S-coffee:
Norway is doing much better than EU..... so is England.Tukishirikiana kiuchumi na kibiashara wote tutafaidi, ndio maana tunakazana kuwa one strong economical block EAC!!! Wenzetu ulaya EU wameendelea lakini wanashirikiana kunyanyuana kiuchumi!!!!! Tukiwa na fikra za aina hii kwenye uchumi sijui tunamkomoa nani, kwanza ukiblock entry ya magari kwa levy kubwa unasababisha rushwa kwa upande mwingine!!! Pata historia ya mahindi serikali ilipozui kupeleka Kenya, Polisi, Costoms with other law enforcers wakafanya mladi wakatajirika!!!! Nadhani Mawaziri wa EAC, Mambo ya ndani, na wote wahusika wa mipaka kuna haja ya kukaa pamoja na kuelekeza local Governments nini maana ya Costoms Union na Common Markets!!!!!
Mkuu kobello inaonekana mna bad blood with our fellow neighbors, jamani tujifunze kuwa wavumilivu kwa majirani zetu!!!! Unaweza kuchagua rafiki lakini jirani yupo pale karibu yako coincidentally there is no way you can run away from him!!!!!Norway is doing much better than EU..... so is England.
So is China compared to ASEAN.
Trade agrements shouldn't be limited to geographical blocks. We can have trade agreements with Mozambique, Angola, China, South Korea etc.... not necessarily our neighbors.
Matter of fact, we don't have a lot in common with kenyans and Rwandese. I prefer Ugandans, Congolese and Burundians .
Norway is doing much better than EU..... so is England.
So is China compared to ASEAN.
Trade agrements shouldn't be limited to geographical blocks. We can have trade agreements with Mozambique, Angola, China, South Korea etc.... not necessarily our neighbors.
Matter of fact, we don't have a lot in common with kenyans and Rwandese. I prefer Ugandans, Congolese and Burundians .
Mkuu kobello inaonekana mna bad blood with our fellow neighbors, jamani tujifunze kuwa wavumilivu kwa majirani zetu!!!! Unaweza kuchagua rafiki lakini jirani yupo pale karibu yako coincidentally there is no way you can run away from him!!!!!
I can Imagine .............
Ndugu zangu, hebu tuache politics zisizo na msaada kila nchi inamhitaji mwenzake ili kuwa na maendeleo endelevu na pale linapotokea tatizo busara ni kukaa chini na kuongea ili kutatua tatizo lililopo halafu maisha ya uhusiano mwema yasonge mbele.Hopeless analyst! who told you we scare kenyans? who said its inferiority complex? You better say we suffer from superiority complex. For your info we share nothing with kenyans except kiswahili.
It seems you are very poor in analysis and conclusions how can you rely on your kigoma policeman with his son in kenya and conclude that there is inter-marriage btn kenyans and Tanzanians. Refering to extended family I have a reasonable number of relatives in Zambia and they are zambians by birth but I can't draw a conclusion that zambians and Tanzanians are inter-marrying so we should become much closer nationalwise and if it is so, then Tanzania is inter-marrying with every country in the world.
When i look at kenyan flag on Mzalendo452's avatar, i feel like throwing up..ie vomiting!
ref above! considering what they do to non kenyans, eg recent arusha namanga road incident