Kenya Tanzania Love Connect Thread

Hahahahahaha lol! Shukrani kwa kunitaarifu πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

Si nimekumiss hadi nimenuna.

Taarifa hizi muhimu zimfikie BAK na dota popote walipo.

Hivi Kaboom nawe mnaijeria? Maana hizi sifa zako naona zinatajwa sana humu.
 
Na siye wenye accent ya kule kwetu Cameroun, tunaingia kundi lipi Kui? La Wacongo na Wanaija au la wa Afrika Mashariki? I am just asking loud and clear πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

...haha, wanaija na ile accent yao, na wa Congo na kile kilingala chao, mnazidiwa kete...lol
 
Na siye wenye accent ya kule kwetu Cameroun, tunaingia kundi lipi Kui? La Wacongo na Wanaija au la wa Afrika Mashariki? I am just asking loud and clear πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
Eti nyie mna vichunusi[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Nataka manzi ako kasimama kila idara wa kenya....ajitokeze ebu
 
Ndiyo nishakwambia hivyo mie na vichunusi mbali mbali eti vinadai ngozi yangu haivipendi lol! kwa hiyo vimegoma kupiga kambiπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

Weeeh usiniambie!! Sasa nitathibitishaje?[emoji85]
 
Ndiyo nishakwambia hivyo mie na vichunusi mbali mbali eti vinadai ngozi yangu haivipendi lol! kwa hiyo vimegoma kupiga kambiπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
Hayo maneno matupu hivi hivi jamani!! Hebu nithibitishie maana kui kishasema nyie mna vichunusi.
 
lol! najua unaenda wapi na huu uthibitisho uutakao, ila nimebaki na tabasamu tu Mwalimu.
Hahaaaa!! Mie siendi popote nipo hapahapa jamani.[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
MK254 Sasa nyinyi kaka zangu, mlivyoona wazungu wanavaa pichu na suit mkaona wale wanaovaa matenge na makanzu hawajastaarabika, siri ni kubana hizo kitu mpaka vinabaki vichunusi vikijitahidi ni vibamia.

Aisei kuna kaukweli, maana kuna siku niliona picha fulani ya Waafrika wasiovaa suruali mbugani, yaani vifaa vinaning'inia tu bila kubanwa. Vifaa vyenyewe utadhani vya punda.
Kuanzia leo sitavaa hivyo vibukta vya wazungu, napiga kaptula ndani basi....hehehehe
 
Si nimekumiss hadi nimenuna.

Taarifa hizi muhimu zimfikie BAK na dota popote walipo.

Hivi Kaboom nawe mnaijeria? Maana hizi sifa zako naona zinatajwa sana humu.


Awww!, hunishindi mimi dear. [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Na siye wenye accent ya kule kwetu Cameroun, tunaingia kundi lipi Kui? La Wacongo na Wanaija au la wa Afrika Mashariki? I am just asking loud and clear πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚

Tehe!,..Cameroun iko karibu na Congo kwa hiyo lazima mmefanana fulani..
Halafu hivi karibuni si mlitunukiwa ushindi na kunyakua kombe la kuwa viumbe bora duniani kwa kuwa na mibaraka mikubwa mikubwa?

atoto asione hii coz mh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…