Mamba Kinko
Member
- Nov 6, 2018
- 39
- 13
Nakuonea sana huruma kwa namna unavyo fikiliOn the flip side, baadhi ya makampuni 26 ambayo serikali inataka kuuza shares zake ni haya.
Numerical Machining
Kenya Meat Commission
Portland Cement
Development Bank
National Bank
Consolidated Bank
Miwani Sugar
Chemelil Sugar
Haya yote ni makampuni struggling, mismanaged, loss making na full of corruption.
Achana nae abaki na huo upumbavu wake. IQ yake ipo chini sana1) Motive ya kuyauza haya makampuni kwa sasa ni ili kupata pesa ya kufidia bajeti, hata kama mpango huo ulikuwepo, lakini kwa sasa ni ili kupata pesa za bajeti. Wakenya majority wanalijua hili
State to sell 26 companies to finance current budget
2)Sasa hivi zaidi ya asilimia 80% ya umeme wa Kenya huzalishwa na serikali, 20% ndio huzalishwa na private companies na kuuza huo UMEME kwa serikali kwa bei ambayo serikali itakubali kununua, kama bei ni kubwa basi serikali haitonunua, na hawaruhusiwi kuuza kwa wananchi mojakwamoja.
Serikali ikiuza KenGen, maana yake itakua ya watu binafsi, serikali ikikataa mapendekezo ya bei wabayotaka, kuna uwezekano wasizalishe UMEME wa kutosha, au kuzima mitambo Mara kwa Mara wakitoa sababu ya gharama za uendeshaji ziko juu,
Sisi tulishafanya hayo yote katika kipindi cha Mkapa, tulijuta kutokana na yaliyotukuta, acheni kujifanya wajuaji sana, njooni mjifunze makosa yetu ili msijepata matatizo, ndio faida ya kuwa majirani, mbona ninyi mlitangulia kujenga SGR, sisi tumeangalia makosa mliyofanya, tumerekebisha, sasa tunajenga reli bora zaidi kwa pesa kidogo bila loan, why you don't like to learn from others?
$1 = Ksh 101
$1 = Tsh 2,290
Kojoa ulale.
1$ = 1689 Italian lire.1$ = 1035 Korean Won
huna hoja
1) Motive ya kuyauza haya makampuni kwa sasa ni ili kupata pesa ya kufidia bajeti, hata kama mpango huo ulikuwepo, lakini kwa sasa ni ili kupata pesa za bajeti. Wakenya majority wanalijua hili
State to sell 26 companies to finance current budget
2)Sasa hivi zaidi ya asilimia 80% ya umeme wa Kenya huzalishwa na serikali, 20% ndio huzalishwa na private companies na kuuza huo UMEME kwa serikali kwa bei ambayo serikali itakubali kununua, kama bei ni kubwa basi serikali haitonunua, na hawaruhusiwi kuuza kwa wananchi mojakwamoja.
Serikali ikiuza KenGen, maana yake itakua ya watu binafsi, serikali ikikataa mapendekezo ya bei wabayotaka, kuna uwezekano wasizalishe UMEME wa kutosha, au kuzima mitambo Mara kwa Mara wakitoa sababu ya gharama za uendeshaji ziko juu,
Sisi tulishafanya hayo yote katika kipindi cha Mkapa, tulijuta kutokana na yaliyotukuta, acheni kujifanya wajuaji sana, njooni mjifunze makosa yetu ili msijepata matatizo, ndio faida ya kuwa majirani, mbona ninyi mlitangulia kujenga SGR, sisi tumeangalia makosa mliyofanya, tumerekebisha, sasa tunajenga reli bora zaidi kwa pesa kidogo bila loan, why you don't like to learn from others?
Can you say the same thing to the Chinese and India?? Who owns Boeing and Airbus companies ??
Wewe kweli ni Zero Brain. Just let us wait and see after privatization. RVR inaendeleaje?? Yetu macho..
Based on what knowledge?You can say any how! But the truth is privatization is not good at all
Mmmmm mtatembeza bakuli ndio mpate hela za kununuaMagufuli anunue electricity company ya Kenya.
Am a aje melissaaaAchana nae abaki na huo upumbavu wake. IQ yake ipo chini sana
1$ = 1689 Italian lire.
Mmmmm mtatembeza bakuli ndio mpate hela za kununua
Am a aje melissaaa
Mmmmm mtatembeza bakuli ndio mpate hela za kununua
Kwa hiyo hao wakenya wa gazeti la standard, na media zote za Kenya pamoja na wasomi wote wanaosema lengo la kuuza kwa sasa ni ili kupata pesa za bajeti hawajui kitu wewe ndio unajua kila kitu?.1. Number 1 motive ya kuuza ni better management, na freeing up non-performing government shares. Maneno ya pesa za bajeti ni secondary. Process ilianza kitambo, na hata kama zingeuzwa 2008, bado mngesema ni pesa ya bajeti inatafutwa.
2. Sijui kwenye umetoa figure ya 80%, lakini nadhani ulitaka kusema kwamba 80% ya umeme Kenya huzalishwa na KenGen.
Haya makampuni mengine madogo yanazalisha 20%.
Ambacho haujui ni kwamba kwa hii KenGen, serikali iko na shares za 70% sasa hivi, wala si 100%.
Wanataka sasa kupunguza hizo shares, hopefully wauze majority.
Na serikali ina uwezo wa kuregulate industry yoyote, iwe kwenye mikono binafsi au ya serikali.
ERC ya Kenya huregulate mambo yote ya Energy, na ndio maana hata uende petrol station gani, bei ya mafuta ni ile ile.
Privatization policy yenu ya Mkapa labda haikuwa well thought out. Mlichofanya makosa nyinyi ndio mnajua.
Lakini ukweli ni kwamba, majority ya privatized companies huwa zikawa better.
Hii ndio PDF iliyotolewa na Privatization Commision of Kenya.
Soma objectives za privatization ya kila kampuni. Mingi hata shares zitauzwa, na pesa ikuwa re-invested kwa hio kampuni bado, wala sio bajeti kama unavyodai.
View attachment 924906
View attachment 924908
View attachment 924909
Teeeeeeheeeeee!! hiv ni kuite tu jibwa ati serikali yetu imefanyaje.....hahahaha jamani kujeni muone pumba za huyu nyani.Lol. You don't even know your own country.
National Bank of Commerce
National Insurance Corporation (NIC)
Air Tanzania Company Ltd (ATCL)
Tanzania Telecommunication Company Ltd (TTCL)
Hayo ni baadhi ya makampuni 200+ ambayo serikali yenu imefanya wholly or partial privatization.
Out of those only NBC is privatised, TTCL, ATCL are back to GoT. Whereas NIC has never been privatized!Lol. You don't even know your own country.
National Bank of Commerce
National Insurance Corporation (NIC)
Air Tanzania Company Ltd (ATCL)
Tanzania Telecommunication Company Ltd (TTCL)
Hayo ni baadhi ya makampuni 200+ ambayo serikali yenu imefanya wholly or partial privatization.
Kweli? China nayo ni LDC? Embu google COSCO na SINOPEC kwanza kwa kuanziaBy the way, ni nchi LDC tu kama Tanzania unapopata kila kitu kinaendeshwa na serikali.
Nchi zilizo endelea kama US, Japan, UK etc, zilifanya privatization ya karibu kila kitu.
Airlines, Trains, garbage, Airports, electricity, ports etc.. zote ziko in private hands, for profit.
Na ndio maana things run efficiently in those countries.
Isikushangaze kwamba the famous Heathrow Airport is privately owned.
Kweli? China nayo ni LDC? Embu google COSCO na SINOPEC kwanza kwa kuanzia