Kenya tunashinda T.Z katika michezo zote duniani

Kenya tunashinda T.Z katika michezo zote duniani

Wew huna akili timamu yaonekana.
Punguza ulaji wa. Sukuma week kaka.
Kuhusu kuweka records hajitangazi yeye kuku ww anatangazwa ktk medias acha ubishi.
Unaangaliaga mtv base kwanza?!
Kama huangaliagi kalale maana duhduh.
Kama ni jitihada Mbona mpuuzi wenu jaguar hajawahi fanya hivyo?!
Kujua kusoma sio kujua kuelewa...na km n views pia watu hununua siku hz...

Na vile vile...kutoa nymbo nyingi na kupata views nyingi kw mda mchache haikufanyi wewe kuwa mkali, bali ni jitihada na mhusika tu...nadhani umeshanielewa....
 
Kwahiyo kama kutoa views nyingi kwa muda mchache inakufanya ww uonekane nani?!
We jamaa sukuma week zakulemaza.!!!
Ukiona hivyo ujue ww ni fundi mpk unateka attention ya audience in large quantity within short time.
Kujua kusoma sio kujua kuelewa...na km n views pia watu hununua siku hz...

Na vile vile...kutoa nymbo nyingi na kupata views nyingi kw mda mchache haikufanyi wewe kuwa mkali, bali ni jitihada na mhusika tu...nadhani umeshanielewa....
 
Aaaweee!!!views ni part moja ya kuleta umaarufu braza...au hujui we kijana mdogo
Kwahiyo kama kutoa views nyingi kwa muda mchache inakufanya ww uonekane nani?!
We jamaa sukuma week zakulemaza.!!!
Ukiona hivyo ujue ww ni fundi mpk unateka attention ya audience in large quantity within short time.
 
We bwege kweli.
Museven hakuhusika embu acha uongo.
Idd Amin alipigwa Maubutu akarudi madarakani.
Sawa wananchi walikosa uzalendo ila hakuna muasi aliyehusika.
Ilikua waasi wa Idd Amin na jeshi la Tanzania.
Na ww mkenya huna lolote.Kama Alshabab mshindia kubeli na kandoro anakuvamia west gate na kukuchabanga usifikirie kupigan na JWTZ ambao ilimzima m23 wa Congo.
Tena nyie kwenu tunawaleta wale waliotoka depo juzi tu wawachabangeee.
Kama mna umoja na uzalendo Alshabab waliwafanya nn km sio kuwakeketa na ukiangalia hawana ht mafunzo.
Waasi tu wale basi.
Na huko Somalia wajeda wenu wanakeketwa daily.
Mnajisifu mna jeshi?!
Iangalie JWTZ ilipokuwa Comoros na Congo hadi sasa.

Nahisi utakua bado mchanga sana, aidha wewe wa juzi tu kiasi cha kutegemea historia ya shuleni, nenda ukatafute mzee aliyehusika kwenye vita vya Kagera akuelimishe nini kilitendeka haswa na uhusika wa Museveni. Sijui kwanini shuleni huwa mnafichwa baadhi ya hisitoria.
Vita hivyo Idd Amin ilikua lazima apoteze maana
- Waganda walikua wamemchoka, hawakua na uzalendo na walitoa msaada kwa kila hali
- Waasi wa Uganda walikua maelfu kuna kundi liliongozwa na Museveni
- Kundi lingine la waasi liliongozwa na Tito Okello na pia uhusika wa Obote
- Kunao hata makundi ya wapiganaji waliotokea Msumbiji
- Tanzania iliwahusisha hadi polisi na mgambo, yaani wote walilazimika kuhusika

Mwanangu soma historia ujiongeze, wacha kutegemea unacholishwa shuleni. Na ikumbukwe kwenye vita hivyo, Tanzania ndio ilikua mchokozi, wazee wenu walimchokonoa Idd Amin kwa kulea makundi ya waasi dhidi ya Uganda, walikua wanapata mafunzo Tanzania.
Hebu waza leo hii mskie kuna maelfu ya wapiganaji Watanzania wanaopata mafunzo Kenya ili kujiandaa kuipindua Tanzania, ni wazi huo utakua uchokozi uliopitiliza. Mojawapo wa sababu za Tanzania kuwa maskini hadi leo, ni hicho kiherehere cha kupenda kuingilia ugomvi kwenye nchi za watu.

Halafu la M23 huna haja ya kulitaja humu, hao walikua watoto waliokua wanaogopa kufa, kupigana na watu kama hao ni rahisi sana, jaribu mpigane na mashababi bin shetwan ambao huja kwa kujilipua, wasio ogopa kifo, yaani kwao kifo ndio raha yao, hapo ndio mtaelewa nini maana ya vita.
 
Vipo nilivyojifunza kutoka kwako.
But usifananishe KDF wanaopigwa na mgambo wa Alshabab na TPDF mkuu utaumia.Hao wanaowatwanga waliitekaga meli waliona cha mtema kuni mkuu.
Nashangaa nyie mwakandwa daily
Nahisi utakua bado mchanga sana, aidha wewe wa juzi tu kiasi cha kutegemea historia ya shuleni, nenda ukatafute mzee aliyehusika kwenye vita vya Kagera akuelimishe nini kilitendeka haswa na uhusika wa Museveni. Sijui kwanini shuleni huwa mnafichwa baadhi ya hisitoria.
Vita hivyo Idd Amin ilikua lazima apoteze maana
- Waganda walikua wamemchoka, hawakua na uzalendo na walitoa msaada kwa kila hali
- Waasi wa Uganda walikua maelfu kuna kundi liliongozwa na Museveni
- Kundi lingine la waasi liliongozwa na Tito Okello na pia uhusika wa Obote
- Kunao hata makundi ya wapiganaji waliotokea Msumbiji
- Tanzania iliwahusisha hadi polisi na mgambo, yaani wote walilazimika kuhusika

Mwanangu soma historia ujiongeze, wacha kutegemea unacholishwa shuleni. Na ikumbukwe kwenye vita hivyo, Tanzania ndio ilikua mchokozi, wazee wenu walimchokonoa Idd Amin kwa kulea makundi ya waasi dhidi ya Uganda, walikua wanapata mafunzo Tanzania.
Hebu waza leo hii mskie kuna maelfu ya wapiganaji Watanzania wanaopata mafunzo Kenya ili kujiandaa kuipindua Tanzania, ni wazi huo utakua uchokozi uliopitiliza. Mojawapo wa sababu za Tanzania kuwa maskini hadi leo, ni hicho kiherehere cha kupenda kuingilia ugomvi kwenye nchi za watu.

Halafu la M23 huna haja ya kulitaja humu, hao walikua watoto waliokua wanaogopa kufa, kupigana na watu kama hao ni rahisi sana, jaribu mpigane na mashababi bin shetwan ambao huja kwa kujilipua, wasio ogopa kifo, yaani kwao kifo ndio raha yao, hapo ndio mtaelewa nini maana ya vita.
 
M23 duuuh wamekuwa watoto tena?!
Waasi ambao waliisumbua Congo mno kiasi cha kutaka msaada unawaita watoto waogopao kifo?!
Km wasingefukunyuliwa na TPDF wange exist hadi sasa.
Na bado hawa AFD tuwakunyuge
Nahisi utakua bado mchanga sana, aidha wewe wa juzi tu kiasi cha kutegemea historia ya shuleni, nenda ukatafute mzee aliyehusika kwenye vita vya Kagera akuelimishe nini kilitendeka haswa na uhusika wa Museveni. Sijui kwanini shuleni huwa mnafichwa baadhi ya hisitoria.
Vita hivyo Idd Amin ilikua lazima apoteze maana
- Waganda walikua wamemchoka, hawakua na uzalendo na walitoa msaada kwa kila hali
- Waasi wa Uganda walikua maelfu kuna kundi liliongozwa na Museveni
- Kundi lingine la waasi liliongozwa na Tito Okello na pia uhusika wa Obote
- Kunao hata makundi ya wapiganaji waliotokea Msumbiji
- Tanzania iliwahusisha hadi polisi na mgambo, yaani wote walilazimika kuhusika

Mwanangu soma historia ujiongeze, wacha kutegemea unacholishwa shuleni. Na ikumbukwe kwenye vita hivyo, Tanzania ndio ilikua mchokozi, wazee wenu walimchokonoa Idd Amin kwa kulea makundi ya waasi dhidi ya Uganda, walikua wanapata mafunzo Tanzania.
Hebu waza leo hii mskie kuna maelfu ya wapiganaji Watanzania wanaopata mafunzo Kenya ili kujiandaa kuipindua Tanzania, ni wazi huo utakua uchokozi uliopitiliza. Mojawapo wa sababu za Tanzania kuwa maskini hadi leo, ni hicho kiherehere cha kupenda kuingilia ugomvi kwenye nchi za watu.

Halafu la M23 huna haja ya kulitaja humu, hao walikua watoto waliokua wanaogopa kufa, kupigana na watu kama hao ni rahisi sana, jaribu mpigane na mashababi bin shetwan ambao huja kwa kujilipua, wasio ogopa kifo, yaani kwao kifo ndio raha yao, hapo ndio mtaelewa nini maana ya vita.
 
Vipo nilivyojifunza kutoka kwako.
But usifananishe KDF wanaopigwa na mgambo wa Alshabab na TPDF mkuu utaumia.Hao wanaowatwanga waliitekaga meli waliona cha mtema kuni mkuu.
Nashangaa nyie mwakandwa daily

TPDF bado hawajakumbana na vita vya kisasa, vita dhidi ya wafia dini walioaminishwa dhawabu ya kujilipua ni kwenda kugegeda mabikira 72 na pombe isiyoisha, hawa ni aina ya adui ambao hata wamemshinda Marekani, hata Urusi ameshindwa kupambana nao, hivyo kwa taifa maskini kama nyie hamuwezi kutia guu kwenye ugomvi wa hawa watu.
Hebu waza wanywa gongo wa Kitanzania pale msitu wa Amboni walisababisha nchi yote mkaweweseka, je wangekuja mashababi wa kweli, nakumbuka ipo siku mashababi walihojiwa kuhusu taharuki ya Tanzania wakasema sio wao na hawana haja ya kuvuruga Tanzania, hivyo wanaowasumbua huko ni vijana wenu wamelewa gongo tu.

M23 ni wapiganaji waliotuhumiwa kuteka watoto na kuwahusisha kwenye vita, wale walikua wezi wa madini sio wafia dini au wapiganaji wa kweli. Ni watu wa kupigwa mpigo mmoja tu mnawasahau, lakini mashababi ukiwapiga wanaingia uraiani na kuvaa makanzu na kujifanya mashekhe, siku ukizubaa kidogo wanaliamsha na ndio kitu kinaendelea hadi leo.
Wakiteka sehemu ya madukani kama Milimani city, inabidi uwajie kikomando maana humo wanakua tayari kufa, wanajilipua mabomu, hawapigani waishi, ila wapate fursa ya kwenda kuonja mabikira.
 
Bado huna fact ya kuibeza TPDF.
Hao wafia dini waliiteka meli iendayo zenji waliona cha mtema kuni
TPDF bado hawajakumbana na vita vya kisasa, vita dhidi ya wafia dini walioaminishwa dhawabu ya kujilipua ni kwenda kugegeda mabikira 72 na pombe isiyoisha, hawa ni aina ya adui ambao hata wamemshinda Marekani, hata Urusi ameshindwa kupambana nao, hivyo kwa taifa maskini kama nyie hamuwezi kutia guu kwenye ugomvi wa hawa watu.
Hebu waza wanywa gongo wa Kitanzania pale msitu wa Ambani walisababisha nchi yote mkaweweseka, je wangekuja mashababi wa kweli, nakumbuka ipo siku mashababi walihojiwa kuhusu taharuki ya Tanzania wakasema sio wao na hawana haja ya kuvuruga Tanzania, hivyo wanaowasumbua huko ni vijana wenu wamelewa gongo tu.

M23 ni wapiganaji waliotuhumiwa kuteka watoto na kuwahusisha kwenye vita, wale walikua wezi wa madini sio wafia dini au wapiganaji wa kweli. Ni watu wa kupigwa mpigo mmoja tu mnawasahau, lakini mashababi ukiwapiga wanaingia uraiani na kuvaa makanzu na kujifanya mashekhe, siku ukizubaa kidogo wanaliamsha na ndio kitu kinaendelea hadi leo.
Wakiteka sehemu ya madukani kama Milimani city, inabidi uwajie kikomando maana humo wanakua tayari kufa, wanajilipua mabomu, hawapigani waishi, ila wapate fursa ya kwenda kuonja mabikira.
 
Na TPDF inapoenda kulinda amani huwa inaletewa ripoti nzuri daily sio utani.
Ila sioni Hilo kwa KDF.
TPDF bado hawajakumbana na vita vya kisasa, vita dhidi ya wafia dini walioaminishwa dhawabu ya kujilipua ni kwenda kugegeda mabikira 72 na pombe isiyoisha, hawa ni aina ya adui ambao hata wamemshinda Marekani, hata Urusi ameshindwa kupambana nao, hivyo kwa taifa maskini kama nyie hamuwezi kutia guu kwenye ugomvi wa hawa watu.
Hebu waza wanywa gongo wa Kitanzania pale msitu wa Ambani walisababisha nchi yote mkaweweseka, je wangekuja mashababi wa kweli, nakumbuka ipo siku mashababi walihojiwa kuhusu taharuki ya Tanzania wakasema sio wao na hawana haja ya kuvuruga Tanzania, hivyo wanaowasumbua huko ni vijana wenu wamelewa gongo tu.

M23 ni wapiganaji waliotuhumiwa kuteka watoto na kuwahusisha kwenye vita, wale walikua wezi wa madini sio wafia dini au wapiganaji wa kweli. Ni watu wa kupigwa mpigo mmoja tu mnawasahau, lakini mashababi ukiwapiga wanaingia uraiani na kuvaa makanzu na kujifanya mashekhe, siku ukizubaa kidogo wanaliamsha na ndio kitu kinaendelea hadi leo.
Wakiteka sehemu ya madukani kama Milimani city, inabidi uwajie kikomando maana humo wanakua tayari kufa, wanajilipua mabomu, hawapigani waishi, ila wapate fursa ya kwenda kuonja mabikira.
 
Kenya

Njaa.
Usalama mdogo.
Wizi.
Ufisadi.
Ukabila.
Rushwa.

Hizi mambo kenya mnaongoza aiseee...

Ila mlivyo na akili mbovu.. Kila mkija mnakomaa na roads pamoja na highest tower.... Wakati watu wanakufa njaa.

Wapumbavu saana hawa jamaa.
Hata basic needs hawafahamu.

Mnahitaji misaada ya chakula alafu mpo busy na tower.

Kuleni cement.
 
Vipo nilivyojifunza kutoka kwako.
But usifananishe KDF wanaopigwa na mgambo wa Alshabab na TPDF mkuu utaumia.Hao wanaowatwanga waliitekaga meli waliona cha mtema kuni mkuu.
Nashangaa nyie mwakandwa daily

Logistics wise mko zero mna only 70 armoured vehicles for transporting troops .Kenya iko na over 500 .
Helicopters mko na only 4 Kenya tuna more than 80.
Transport aircrafts mko na 6 vs kenyas 19
Iwapo Vita itatokea Kati ya Kenya na Tanzania ( conventional warfare) head to head mtapokea kichapo takatifu.
 
Logistics wise mko zero mna only 70 armoured vehicles for transporting troops .Kenya iko na over 500 .
Helicopters mko na only 4 Kenya tuna more than 80.
Transport aircrafts mko na 6 vs kenyas 19
Iwapo Vita itatokea Kati ya Kenya na Tanzania ( conventional warfare) head to head mtapokea kichapo takatifu.
Acha ujinga wewe!!
Hizo comparison ulizozileta ziko zero kabbisa.
Kama wadhani tz tuna armoured vehicles 70 pole yako.ziko zaidi ya 500 zenu kijana.
Jeshi la. Tz Liko secretive sana huwez faham vitu vyake vingi.
Muulize joyce banda kwann alifumbata makalio ktk mzozo wa lake nyasa.?!
Kuna camp ya JWTZ hapa Temeke.
Toka nianze kujielewav naona annually vifaa vikali vya vita vikiingizwa kambini sijajua mwaka huu maana niko mbali na Temeke.
Usijidanganye Tz ina vifaa baba la baba siku ambayo wanavioneshaga most of time inakua ni maadhimisho ya sherehe za muungano ana uhuru.
Tena vinaoneshwa robo yake yani.
 
Wandugu eeeh..Majirani eeeh!! Hebu turudi kwenye mada husika!!
Michezo :- Kuna mshindi na mshindani!!
Kuna usemi Huu " asiye kibali kushindwa siyo mshindani "
Ukianguka chini paa inuka uendelee na msafara!!
Tazama ulipo jikwaa....ujiulize wapi pakupitia...
After all ....
 
Hakuna mchezo hata mmoja ambao T.Z wanaweza kutushinda. Sio kandanda sio rugby sio riadha sio volleyball sio Safari Rally sio hockey. Jameni mbona mmelala usingizi wa pono?
Ndio maana mabibi zenyu walikimbilia Tz kwa vile hamuwezi kuwatia mimba [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom