Kenya vs Tanzania: Mbona Kuna Chuki?

Kenya vs Tanzania: Mbona Kuna Chuki?

Sitaki kuamini kama hapa ndio umemaliza, hapa ndio mwisho wa uwezo wako wa kulewa biashara za kinchi na kikanda. Kinacho nishangaza ni hili neno Ushindani, mnashindana na nani, wateja wenu? Nani mnunuzi wa bidhaa za Kenya na nani mnunuzi wa bidhaa za Tanzania, nani mnunuzi wa bidhaa za Uganda au Rwanda? Hivi kama Marekani ingeamuwa kushindana na bara la Ulaya baada ya vita ya pili ya Dunia, wangeweza kufanya biashara kama wanayoifanya hii leo? Badala ya kukaa meza moja na wateja au washiriki wenu wa kibiashara, nyinyi mnaazisha ushidani kama ule wa CoW. Hizo mbio mnazokimbia kusikojulikana mnategemea kupata nini mwisho wake?

Kwa jinsi unavyotapatapa naona umeishiwa na hoja, sasa umekwenda kwa mambo ya ushindani kitu ambacho sijakitaja, sasa tushindane na nyie kwa lipi wakati nyote mko nyuma yetu kwa kila kitu. Kama ni suala la ushindani, labda tukashindane na walio mbele yetu, lakini tukianza kupoteza muda na kugeuza ili tushindane na walio nyuma yetu tutaachwa.

Tungekua tunaendesha nchi kimihemko kama mfanyavyo, leo hii tungekua nyuma sana, kumbuka nchi yetu ni ndogo, nusu yake kame tupu na hatuna madini kama nyie, raslimali ni chache, lakini pamoja na hayo tunajituma balaa na kutawala ukanda wote huu kwa kila kitu, kielimu, kiuchumi n.k.

Sisi hatushindani, tunapambana kuiboresha nchi yetu kwa ajili ya watu wake, tunatafuta masoko Afrika yote, na kama ilivyo kawaida ya biashara, kuna kupoteza na kupata, unaweza ukapoteza soko upande mmoja lakini kama ukiwa na akili utabuni masoko kwengine. Leo hii kama nilivyotaja hapo awali, tumeanza kufungua fursa kwa Waarabu wa Sudan na Libya, kumbuka tumeanza kuingia Ethiopia ambayo ilikua haiingiliki

Ninachofahamu, mataifa yote yaliyotuzunguka ipo siku wataboresha viwanda vyao na kupunguza utegemezi wa bidhaa zetu, ambapo ni jambo nzuri maana kwa njia moja au nyingine jirani akipaa kiuchumi hata wewe utafaidika, lakini pia kadiri majirani zetu wanainuka na sisi pia tunabuni mikakati mipya ya kibiashara na kusonga mbele, Kenya ya leo sio iliyokuwepo miaka 20 iliyopita.
 
Kwa jinsi unavyotapatapa naona umeishiwa na hoja, sasa umekwenda kwa mambo ya ushindani kitu ambacho sijakitaja, sasa tushindane na nyie kwa lipi wakati nyote mko nyuma yetu kwa kila kitu. Kama ni suala la ushindani, labda tukashindane na walio mbele yetu, lakini tukianza kupoteza muda na kugeuza ili tushindane na walio nyuma yetu tutaachwa.

Tungekua tunaendesha nchi kimihemko kama mfanyavyo, leo hii tungekua nyuma sana, kumbuka nchi yetu ni ndogo, nusu yake kame tupu na hatuna madini kama nyie, raslimali ni chache, lakini pamoja na hayo tunajituma balaa na kutawala ukanda wote huu kwa kila kitu, kielimu, kiuchumi n.k.

Sisi hatushindani, tunapambana kuiboresha nchi yetu kwa ajili ya watu wake, tunatafuta masoko Afrika yote, na kama ilivyo kawaida ya biashara, kuna kupoteza na kupata, unaweza ukapoteza soko upande mmoja lakini kama ukiwa na akili utabuni masoko kwengine. Leo hii kama nilivyotaja hapo awali, tumeanza kufungua fursa kwa Waarabu wa Sudan na Libya, kumbuka tumeanza kuingia Ethiopia ambayo ilikua haiingiliki

Ninachofahamu, mataifa yote yaliyotuzunguka ipo siku wataboresha viwanda vyao na kupunguza utegemezi wa bidhaa zetu, ambapo ni jambo nzuri maana kwa njia moja au nyingine jirani akipaa kiuchumi hata wewe utafaidika, lakini pia kadiri majirani zetu wanainuka na sisi pia tunabuni mikakati mipya ya kibiashara na kusonga mbele, Kenya ya leo sio iliyokuwepo miaka 20 iliyopita.

Chaajabu bado mko nyuma na mbio zote mlizo zilombiza miaka 50 ya Uhuru na kufuata sera za kibepari. Hakuna haki kwa kila raia, hakuna fursa sawa kwa kila raia, hakuna usalama kwa kila raia, kukubwa zaidi hakuna chakula cha kutosha kwa kula raia. Mkisema mko mbele sijuwi mbele ya nani ikiwa nchi kama Ethiopia iliyokuwa na njaa kali miaka ya 90s leo inawaacha.

Ikiwa mnaona hizi nchi ziko chini sana kwenu (ni kichekesho) sasa mnafanya nini kwemye soko la EAC? Si muende kule mnakoona ni wa level yenu? Kifupi ni kwamba Kenya haiwezi kupumua hata pumzi moja bila EAC, tena Kenya haiwezi kupumua bila hata Somalia kama unaelewa nasema nini.
 
Tanzania nimepaishi miaka kadhaa, na nimekatiza mikoa mingi na wilaya nyingi, nimeingia maeneo mengi sana huko na kuhititmisha kwamba kuna aina tofauti tofauti za Watanzania.
- Kunao ambao walikaririshwa mambo fulani fulani dhidi ya Wakenya tangu enzi za ujamaa, hawa hata ufungue nyuzi ngapi humu hawatabadilisha mawazo na mitazamo yao, ni wazee wazee na cha kuhuzunisha walipokeza mitazamo ya kihivyo kwa watoto wao. Hawa walikaririshwa kwamba Kenya ilijengwa na mzungu na ndio sababu imewashinda kiuchumi hadi leo.

- Kuna wale japo huiskia Kenya, lakini ukimuuliza iko upande gani kwenye ramani hawana habari, hawa hujifanya wajuzi sana wa masuala ya Kenya, na wapo hata humu JF. Sampuli ya hawa utawakuta vijiweni Tanzania wakiijadili Kenya, nilikua nakaa pembeni kuwaskliza hadi naishia kicheko.

- Kuna ambao kwa kweli wanaipenda Kenya, hawa aidha wamewahi kuishi na kusomea Kenya maana kila nikijadili nao walikua wanaonekana kuwa na habari za Kenya hadi za hivi punde. Unakuta Mtanzania anawajua wabunge wetu hata kunizidi, anaweza akaongea siasa za maeneo kama Nyandarua, Trans Nzoia n.k. yaani maeneo ambayo hata mimi binafsi sina habari nini kinaendelea huko, wa hivi nilikua na urafiki nao sana na mpaka leo huwa tunapigiana simu.

- Kuna wengine japo wamewahi kuishi Kenya, lakini kuna kituko kiliwatendekea wakaishia kulea chuki dhidi ya Kenya, aidha alinyang'anywa bidhaa, au kiwanja au fursa fulani, kuanzia hapo akaanza kuishi full majungu na machungu dhidi ya Kenya, na wapo humu.

- Kuna sampuli ya wengine ambao walizembea kazini kwao huko halafu Wakenya wakaalikwa na kuajiriwa kwenye hizo nafasi, unakuta mwajiri Mtanzania ameamua kumlipia Mkenya au Mhindi gharama zote za usafiri, makazi, vibali vyote ilihali ameacha Watanzania wenzake. Sasa hapa jamaa wanaishia kulea chuki na hawawezi kubadilika hata ufanye nini.

- Kuna wengine ambao hutuchukia kwa ajili ya uwezo wetu wa kuongea kingereza ilhali wao wamehangaika kwa muda mrefu, unakuta tukiingia vikao ambavyo kingereza ndicho kinatumika, inakua rahisi kuwajua Wakenya humo ndani maana wanaonekana kujiamini na waongeaji ilhali Watanzania kimyaaa. Vikao vya namna hii nilivihudhuria sana, Watanzania walikua wanalea chuki japo kimya kimya.

- Lakini pia humu JF kuna wale ambao ni mamluki wa CCM, hawa hukesha humu wakiponda Kenya, wao hawana chuki lakini wapo kikazi zaidi. Awali nilikua najadili nao lakini nilipogundua kwamba ni kama robots, yaani kazi yake haimruhusu kuwa na mtazamo tofauti, hivyo hata kama uko sahihi kivipi hatokubali hata kama uzi utaishia kwenye kurasa ishirini, ikabidi niwe nawakwepa.

Zaidi ya yote, kuna Watanzania wazuri tu, mnahusiana nao vizuri hawana chuki wala nini, tena wachapa kazi nimefanya nao kazi, wana uzalendo wa Kiafrika, yaani wao hupenda kuona maendeleo kwenye nchi yoyote ya Afrika. Na hutawakuta wakichangia kwa chuki, wao hutoa hongera wanapokumbana na hatua zozote chanya zitakazoikomba Afrika kiuchumi. Wapo wa hivi humu lakini wachache sana.
 
Ipo siku nitakuwa kiongozi wa Taifa(Raisi) afu nitaifanya Afrika kuwa moja kimabavu iwe kwa damu au chuma, yeyote atakae leta fyokofyoko ataenda kupuliza moto wa Jehanamu.
I like that! your avatar carries gun to symbolize your wish. Kudos
 
Hakuna chuki kati ya Mtu Mweusi wa Tanzania na Mtu Mweusi wa Kenya. Amini, nachokuambia Wananchi wa Tanzania na Kenya tunapendana sana kwasababu sisi ni ndugu wa Kiafrika hata Mungu wetu analitambua hilo. Ukweli mchungu ni kwamba kuna mishenzi/mipumbavu mikubwa yenye maslahi binafsi ndiyo inasababisha huo upumbavu. Unachokisema kuhusu threads za kufananisha/kulinganisha kati ya hizi nchi mbili(Tanzania & Kenya) ni kweli kabisa zipo humu JamiiForums na huwa inashishangaza sana.

1:Kwa nini Tanzania na Kenya?
2:Kwa nini isiwe Afrika Kusini na Nigeria au Tanzania na Uganda au Kenya na Kongo?
3:Kwa nini Dar es Salaam na Nairobi na isiwe Nairobi na Maputo au Dar es Salaam na Ouagadougou au Bamako?
4:Ipo siku nitakuwa kiongozi wa Taifa(Raisi) afu nitaifanya Afrika kuwa moja kimabavu iwe kwa damu au chuma, yeyote atakae leta fyokofyoko ataenda kupuliza moto wa Jehanamu.
Kweli kabisa unganisha afrika kwa lazima maana mijitu mijinga sio ya kuipa nafasi kwenye maamuzi ya msingi.
 
Kuna mijitu inawasema eti wakenya wana roho mbaya. Kwani watanzania tuna roho nzuri?? Nchi imejaa wivu, majungu na unyanyasaji wa kisiasa kila kona. Ona chaguz zetu haki zinavyominywa. Watu wanaokotwa coco beach wamewekwa virobani. Wengine wamepigwa risasi na wengine wamepotea hadi leo kisa siasa. Kibiti pale watu karibia 40 wamepoteza maisha kiutatanishi. Tunachoma moto wezi kisa simu za elfu 50.
Sijaona ubaya wa wakenya mimi unaofanya tuwaseme vibaya. Waafrika tupendane tusonge mbele kimaendeleo. Kuchukiana hakutisaidii.
 
Chaajabu bado mko nyuma na mbio zote mlizo zilombiza miaka 50 ya Uhuru na kufuata sera za kibepari. Hakuna haki kwa kila raia, hakuna fursa sawa kwa kila raia, hakuna usalama kwa kila raia, kukubwa zaidi hakuna chakula cha kutosha kwa kula raia. Mkisema mko mbele sijuwi mbele ya nani ikiwa nchi kama Ethiopia iliyokuwa na njaa kali miaka ya 90s leo inawaacha.

Ikiwa mnaona hizi nchi ziko chini sana kwenu (ni kichekesho) sasa mnafanya nini kwemye soko la EAC? Si muende kule mnakoona ni wa level yenu? Kifupi ni kwamba Kenya haiwezi kupumua hata pumzi moja bila EAC, tena Kenya haiwezi kupumua bila hata Somalia kama unaelewa nasema nini.

Hehehe!! Punguza povu maana zinafanya ushindwe kufikiria kabla ya kuandika....

Hakuna taifa lolote dunia hii lenye usawa, hata mataifa yanayoongoza dunia kiuchumi, huko utakuta baadhi ya raia wao hawapo nafuu.
Hata mataifa ya kiujamaa kwa mfano nchi yenu huwa tunaona jinsi huo mfumo uliwaharibia nchi, leo hii mlifaa kuwa viongozi wa Afrika, ni aibu sana kwa liinchi lote hilo lenye kila aina ya raslimali lakini bado linatajwa ndani ya mataifa maskini, haileti picha kabisa.

Kenya haiwezi ikachoka na majirani wake, sisi ni wafanya biashara na kama kawaida mwanabiashara hawezi akachoka na wateja, hata kama wateja wenyewe wana hulka za kizezeta. Kila mteja ni muhimu na lazima ubembeleze, hata wakati mnajitoa ufahamu na kutia moto viranga kisa wamenunuliwa kutoka Kenya, bado tutaendelea kuwafanya muhisi kuwa nyie ni wafalme.

Tunahitaji kila shilingi, hata kama itabidi tukwepe mabomu Somalia, Sudani ya Kusini, au tuvumilie chuki zenu tutakuja tu na kufanya biashara. Mkenya ni mtu mvumilivu na hujituma sana, utamkuta hata vijijini Malawi, Msumbiji, Zambia n.k. akisaka fursa za kibiashara. Kuna maeneo huwa nakutana na Wakenya nabaki kinywa wazi, hivyo nawaambia muamini msiamini siri ya kuwafikia Wakenya ipo kwenye kujituma, ila kwa nyie kulea chuki, machungu na majungu havitawasaidia, mtaendelea kuumia bure.
 
Mimi ni mkenya, na nimejiunga na hii forum kwa sababu hivi karibuni nitahamia kuishi TZ kwa miezi 5 hivi. Ila nimehuzunishwa na ushindani kati ya +255 na +254 niliouona hapa. Nina swali kwa ndugu zangu waTZ, mbona mnachuki dhidi ya Kenya hivi? Hii sehemu inaitwa; Kenya News and Politics. Ila mada zilizojaa hapa nyingi ni za kuonesha maendeleo ya Tanzania (ili kuonyesha mko juu ya kenya) na mada za kuiponda Kenya tu.

Explain to me what you gain from comparing the two countries? Kama mnaona Tanzania imeshinda Kenya kimaendeleo, mbona poa tu! Mbona hamjilinganishi na UG, RW ama Malawi? Kenya tu ndio wayaumisha kichwa! Ina inawafaidi nini kuiponda Kenya? Mnafurahia Kenya ikianguka ama ni vipi? Mara ooh SGR haitafika malaba, mara ohh tumewapokonya pipeline ya UG, RW SGR itapitia Tz, mara ohh lapset project itaanguka! Mara ohh wakenya wanaishi kwa slums, mnasahau dar ina Mbagala na tandale slums. Hata S.A most developed country in Africa ina slum; Soweto.

Mimi sina kinyongo nikiona Tz ikiendelea, na wakenya wenzangu 40 million hakuna atakaepandwa na presha Tz ikipita kenya. Sasa mbona nyinyi inaonekana ni kama mnataka Kenya ianguke. Sijui neno la kiswahili ila wazungu watasema you have inferiority complex. Tembeleeni Forums za Kenya kama; JamiiForums.com, Wazua Forum. Hutaona hata mada moja inayoongelea TZ. Hata hakuna sehemu ya "Tanzania News and Politics

Nchi EAC zina watu jumla zaidi 170 million, tukiungana kufanya biashara na maendeleo itafaidi Nchi zote tufike kiwango cha Nigeria, SA na Egypt. Ila waTz nyie mnaona kushindana na kenya tu. Niambieni mnafadi nini kulinganisha Kenya na Tz, wakati hata kenya hatujali?

Kwa hayo mengi nangoja kwa hamu kuja TZ.

Poleni kwa waliopata wakati mgumu kuelewa kiswahili changu.
Usiogope kijana.
Ni ushindani wenye afya tu, hauliwi mtu. Wakenya wapo huku bongo tunaishi nao kwa upendo kabisa.
 
Kuna mijitu inawasema eti wakenya wana roho mbaya. Kwani watanzania tuna roho nzuri?? Nchi imejaa wivu, majungu na unyanyasaji wa kisiasa kila kona. Ona chaguz zetu haki zinavyominywa. Watu wanaokotwa coco beach wamewekwa virobani. Wengine wamepigwa risasi na wengine wamepotea hadi leo kisa siasa. Kibiti pale watu karibia 40 wamepoteza maisha kiutatanishi. Tunachoma moto wezi kisa simu za elfu 50.
Sijaona ubaya wa wakenya mimi unaofanya tuwaseme vibaya. Waafrika tupendane tusonge mbele kimaendeleo. Kuchukiana hakutisaidii.
Nikimkuta mwizi anachomwa na kama kweli kaiba hiyo simu ya elfu 50, nitaimba afe tu na akaliwe na atupwe mtoni awe chakula cha mamba, huku Tz tuna zero tolerance na wezi ndio maana mjini unapita kwa amani na mwizi akionekana ni kila mtu anamshambulia.
Kenya tomboya street unakabwa na vibaka ila wapita njia wanakuangalia tu kama kideo.
 
Hehehe!! Punguza povu maana zinafanya ushindwe kufikiria kabla ya kuandika....

Hakuna taifa lolote dunia hii lenye usawa, hata mataifa yanayoongoza dunia kiuchumi, huko utakuta baadhi ya raia wao hawapo nafuu.
Hata mataifa ya kiujamaa kwa mfano nchi yenu huwa tunaona jinsi huo mfumo uliwaharibia nchi, leo hii mlifaa kuwa viongozi wa Afrika, ni aibu sana kwa liinchi lote hilo lenye kila aina ya raslimali lakini bado linatajwa ndani ya mataifa maskini, haileti picha kabisa.

Kenya haiwezi ikachoka na majirani wake, sisi ni wafanya biashara na kama kawaida mwanabiashara hawezi akachoka na wateja, hata kama wateja wenyewe wana hulka za kizezeta. Kila mteja ni muhimu na lazima ubembeleze, hata wakati mnajitoa ufahamu na kutia moto viranga kisa wamenunuliwa kutoka Kenya, bado tutaendelea kuwafanya muhisi kuwa nyie ni wafalme.

Tunahitaji kila shilingi, hata kama itabidi tukwepe mabomu Somalia, Sudani ya Kusini, au tuvumilie chuki zenu tutakuja tu na kufanya biashara. Mkenya ni mtu mvumilivu na hujituma sana, utamkuta hata vijijini Malawi, Msumbiji, Zambia n.k. akisaka fursa za kibiashara. Kuna maeneo huwa nakutana na Wakenya nabaki kinywa wazi, hivyo nawaambia muamini msiamini siri ya kuwafikia Wakenya ipo kwenye kujituma, ila kwa nyie kulea chuki, machungu na majungu havitawasaidia, mtaendelea kuumia bure.

Huwa nacheka sana watu wakisema Kenya ni nchi ya kibepari, Kenya sio nchi ya kibepari wala ya wafanyabiashara. Kenya ni nchi ya "Mabwana na Watwana", ni nchi iliyogawanyika vipande-vipande. Nchi zote kubwa za kibepari zimefanikisha kupunguza kero za wananchi wao kwa asilimia 90%. Nyumba, maji safi, umeme, usalama wa raia, magonjwa, usafirishaji, elimu, kazi nk. Tena wala sio nchi zilizo anza zamani kama Marekani au bara la Ulaya. Nchi kama Malaysia, South Korea, Argentina, Israel, Singapore nk, ambazo miaka 60 zilikuwa na changamoto sawa za Kenya, na walipewa fursa za masoko makubwa kama vile Kenya ilipewa. Tatizo lenu ni wizi ndio umewapoteza, wakubwa wachache wanawaibia wadogo walio wengi. Badala ya kuingiza hiyo hela kwenye mzunguko, wakubwa wanajiwekea wao na familia zao. Halafu mnaleta maneno mengi hapa JF kutuambia Kenya iko juu, iko juu ya nani ikiwa nnashidwa hata kulipa madeni yenu? Alfred Mutua ameongea maneno ya maana sana kwa wakenya kwamba urais si wa watu wachache ni wa kila Mkenya. (Anzia 4:14)

 
Mimi ni mkenya, na nimejiunga na hii forum kwa sababu hivi karibuni nitahamia kuishi TZ kwa miezi 5 hivi. Ila nimehuzunishwa na ushindani kati ya +255 na +254 niliouona hapa. Nina swali kwa ndugu zangu waTZ, mbona mnachuki dhidi ya Kenya hivi? Hii sehemu inaitwa; Kenya News and Politics. Ila mada zilizojaa hapa nyingi ni za kuonesha maendeleo ya Tanzania (ili kuonyesha mko juu ya kenya) na mada za kuiponda Kenya tu.

Explain to me what you gain from comparing the two countries? Kama mnaona Tanzania imeshinda Kenya kimaendeleo, mbona poa tu! Mbona hamjilinganishi na UG, RW ama Malawi? Kenya tu ndio wayaumisha kichwa! Ina inawafaidi nini kuiponda Kenya? Mnafurahia Kenya ikianguka ama ni vipi? Mara ooh SGR haitafika malaba, mara ohh tumewapokonya pipeline ya UG, RW SGR itapitia Tz, mara ohh lapset project itaanguka! Mara ohh wakenya wanaishi kwa slums, mnasahau dar ina Mbagala na tandale slums. Hata S.A most developed country in Africa ina slum; Soweto.

Mimi sina kinyongo nikiona Tz ikiendelea, na wakenya wenzangu 40 million hakuna atakaepandwa na presha Tz ikipita kenya. Sasa mbona nyinyi inaonekana ni kama mnataka Kenya ianguke. Sijui neno la kiswahili ila wazungu watasema you have inferiority complex. Tembeleeni Forums za Kenya kama; JamiiForums.com, Wazua Forum. Hutaona hata mada moja inayoongelea TZ. Hata hakuna sehemu ya "Tanzania News and Politics

Nchi EAC zina watu jumla zaidi 170 million, tukiungana kufanya biashara na maendeleo itafaidi Nchi zote tufike kiwango cha Nigeria, SA na Egypt. Ila waTz nyie mnaona kushindana na kenya tu. Niambieni mnafadi nini kulinganisha Kenya na Tz, wakati hata kenya hatujali?

Kwa hayo mengi nangoja kwa hamu kuja TZ.

Poleni kwa waliopata wakati mgumu kuelewa kiswahili changu.

Not all are the same...Some are decent and very open minded...In both countries...
 
Unahangaika wakenya ambao hata hiyo nchi tunaweza kufanya koloni letu pambafu kabisa hamjui kipindi cha ukoloni tz ikukuwaga mashamba na wakoloni wakimaliza kulima wanakuja kenya kutumia pesa williamson muanzili wa mwadui alikuwaga anakuja kunywa tea kwa ndege nairobi anarudi kuchimba hamuoni aibu kushindana na kushidwa na manamba wenu kipindi cha ukoloni
sasa hapo tuwasifu wakoloni au wakenya
 
wakenya na wa tz wanamaudugu na maingiliano kuzidi nchi yeyote EAC, huwez ni twins hivyo tarajia hayo but all in all Kenya is a country Tanzanian love than any in the world
 
Tatizo huku kwetu tokea mlipovunja EAC 1977 na Kenya mkanufaika na investment kubwa zilizokuwa za pamoja especially rasilimali za ndege,, wa TZ tunakuwa makini sana kwa kila kitu ili lisije likajirudia tena,, waswahili tunasema ukiishaumwa na nyoka ukiguswa na jani unadhtuka sana
 
most kenyan ni show off san,wabaguzi hata wenyew kwa mwenyew na tabia hiyo amuachagi hata mkija nchi za watu,mkenya ndio anajifanya amestaarabika kuliko waafrica wengine wageni n watalii wakija utasikia peoples from tz wako vile au hivi kwa maendeleo mliofikia had hapo mnajion kma vile mpo bara la ulaya na sio africa ni machache tu hayo lakin yapo mengi
note:sio wakenya wote wapo ivyo..ni hyo tuu
 
namaanisha kenya imeanza kujegwa kitambo kiasi kwamba tz haikuwa na mazingira rafiki kwa mabwanyenye sasa sisi tumeamka mda si mrefu na tunapambana nao ila wenyewe kenya yao imejengwa kitambo
Acha utoto basi rafiki kuanza kitu ndo kushinda mwisho ,walipajenga sio kama makazi ya kudumu bali banda la shambani ,don find any pride in being colonised,ni sawa na vilema wawili kujisifia huyu aligongwa na mercedes ya 2014 huyu aligongwa na carina ya 1999 ,grow up eti unajisifia mkeo kuwa na bwana mwenye hela
 
Huyu jamaa profile yake inaonyesha yumo jf tangu mwaka 2012 ili jamaa ni jambazii kabisa
 
Back
Top Bottom