Ndo ulivyodanganywa kuwa nchi yenye treni ya umeme Africa ni Tanzania pekee?
Morocco umewahi kufika?, Nigeria je? , South Africa je? Algeria ?, Tunisia?
Hizo zote zina treni za umeme kabla hata Tz hamjaota ndoto ya kuwa nayo
Mh, siyo kwamba watakuta wote tumeshatekana na kupotezwa kabisa!Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Hakuna kitu mtaishida Kenya π°πͺ mkuu. Imagine leo exchange rate ya KSH na TZS ni ngapiDemokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Chakademuz wanakuelewa lakini?Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Hata mimi ni miongoni mwa watu wanaoiombea Kenya mabaya na tumeshaanza kuwazidi baadhi ya mambo flan flan ila wa Tz tuna overhype sana mambo ya kijinga kijingaAliyetuambia Morocco ni Africa ametudanganya, hata Morocco wanajua hilo.
Unavyowatuhumu watanzania wewe umefanya nini la maana hapa TanzaniaVitu vilivyojaa kwenye vichwa vya wa Tz
1. Diamond ana mahusiano na mwanamke gani
2. Kucomment umbea kwenye page za mange kimambi hadi mtoto wakiume aandika "Da mange"
3. Kumuita Maulidi kitenge ni usalama wa Taifa kisa anaweka Airpods maskioni.
4. Kuhamasishana maandamano kila mtu anasema yuko tayari kufa ila siku ya maandamano hatokei hata mmoja.
5. Kuwaza ngono 24/7
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππ€£π€£π€£π Hizo ni ndoto.Demokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Tanzania ipiDemokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Huwa nawatia makofi ili wapate akiliUnavyowatuhumu watanzania wewe umefanya nini la maana hapa Tanzania
Aisee unachekesha sanaaaDemokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.
Watatukuta hapa hapa tunajadili draw za CAFDemokrasia itawachelewesha sana Kenya, hawana uchumi unaohimili demokrasia ya mangaribi. Wanataka kumuondoa MAKAMU wao wa RAIS kihuni TU.
Kuna wezi wengi sana Kenya wanakula mali ya umma bila kuchukuliwa hatua kali kama hizi, why Gashagua?
Watutukuta tz tuko siti za mbele sana kimaendeleo.