Kenya wakimaliza kuvurumishana, wataikuta Tanzania imerusha satellite yake anga za juu

Aliyetuambia Morocco ni Africa ametudanganya, hata Morocco wanajua hilo.
Ndo ulivyodanganywa kuwa nchi yenye treni ya umeme Africa ni Tanzania pekee?
Morocco umewahi kufika?, Nigeria je? , South Africa je? Algeria ?, Tunisia?

Hizo zote zina treni za umeme kabla hata Tz hamjaota ndoto ya kuwa nayo
 
Mh, siyo kwamba watakuta wote tumeshatekana na kupotezwa kabisa!
 
Daladala zao na boda zinabumbwa Kenya tena zote za umeme
Sisi tuulizane una bet nini leo ukija fungua macho miaka 10 imepita
πŸ›° πŸ“‘ πŸ˜† πŸ˜‚ πŸ˜† πŸ˜‚ ya mchongo
Wenzetu wamefungua macho zamani usingesema ya sisi kuwapita maana ni aibu
 
Hakuna kitu mtaishida Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ mkuu. Imagine leo exchange rate ya KSH na TZS ni ngapi
 
Chakademuz wanakuelewa lakini?
 
Aliyetuambia Morocco ni Africa ametudanganya, hata Morocco wanajua hilo.
Hata mimi ni miongoni mwa watu wanaoiombea Kenya mabaya na tumeshaanza kuwazidi baadhi ya mambo flan flan ila wa Tz tuna overhype sana mambo ya kijinga kijinga
 
Unavyowatuhumu watanzania wewe umefanya nini la maana hapa Tanzania
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚ Hizo ni ndoto.
 
Hakuna kitu mtaishida Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ mkuu. Imagine leo exchange rate ya KSH na TZS ni ngapi
Kwahiyo exchange rate kubwa ndo nn? Exchange rate ndogo inavutia watalii na wawekezaji wengi sana.
 
Tanzania ipi
 
Aisee unachekesha sanaaa
 
Watatukuta hapa hapa tunajadili draw za CAF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…