Kenya: Walimu 3 wa Garrisa wameuawa mapema leo na watu wanaoaminiwa kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabaab

Kenya: Walimu 3 wa Garrisa wameuawa mapema leo na watu wanaoaminiwa kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabaab

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Habari za punde zinasema watu 3; wote walimu wamauawa mapema leo kufuatia uvamizi watu wanaoaminiwa kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabaab.

Tukio hilo lilitokea 3 am Jumatatu, Januari 13 katika Kamuthe Resource Centre mjini Garissa. Katika shambulizi hilo mnara wa kampuni ya mawasiliano ya Safaricom uliharibiwa.

Pia gari la polisi liliharibiwa kwa kuteketezwa moto. Maafisa wa polisi wanafuata nyayo za wavamizi hao huku kukiripotiwa huenda wanamgambo ao wamefukia ardhini vilipuzi ambvyo huenda vikatatiza polisi wanaowafuata.

Chanzo: TUKO
 
This is a never ending nightmare.
Poleni sana wafiwa. Poleni sana jirani zetu.
 
Hivi Africa nzima tumeshindwa kuyatokomeza makundi ya kigaidi ya Al Shabaab na Boko Haram?
Mbaya zaidi magaidi yanaua watu wetu weusi.
 
Kenya wamesha-shauliwa sana waondoe wanajeshi wao somalia lakini wapi ukaidi. mpaka kura ya maoni ilifanyika na 60+% hawataki kuona wanajeshi wao wakiwa wanaendelea kuwa somalia angalia sasa watu wanavyoumia.
 
eti wakenya wenzao na wakati KDF ime deploy forces kukabiliana na Al-Shabab uko Somalia
kiufupi hawa wanamgambo hawaitaki KDF iwe uko,
Mkuu....
wanaoenda kushambulia Kenya ni Wakenya. ulifatilia shambulizi la kigaidi la Hotel DusitD2 Nairobi. magaidi walikua Wakenya!!
1578900917124.png
 
Waviziaji hawa ndio iran ilitaka iwatumie kulipiza kisasi, hahaha bora walisanuka mapema



It's Scars
 
Back
Top Bottom