Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Habari za punde zinasema watu 3; wote walimu wamauawa mapema leo kufuatia uvamizi watu wanaoaminiwa kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabaab.
Tukio hilo lilitokea 3 am Jumatatu, Januari 13 katika Kamuthe Resource Centre mjini Garissa. Katika shambulizi hilo mnara wa kampuni ya mawasiliano ya Safaricom uliharibiwa.
Pia gari la polisi liliharibiwa kwa kuteketezwa moto. Maafisa wa polisi wanafuata nyayo za wavamizi hao huku kukiripotiwa huenda wanamgambo ao wamefukia ardhini vilipuzi ambvyo huenda vikatatiza polisi wanaowafuata.
Chanzo: TUKO
Tukio hilo lilitokea 3 am Jumatatu, Januari 13 katika Kamuthe Resource Centre mjini Garissa. Katika shambulizi hilo mnara wa kampuni ya mawasiliano ya Safaricom uliharibiwa.
Pia gari la polisi liliharibiwa kwa kuteketezwa moto. Maafisa wa polisi wanafuata nyayo za wavamizi hao huku kukiripotiwa huenda wanamgambo ao wamefukia ardhini vilipuzi ambvyo huenda vikatatiza polisi wanaowafuata.
Chanzo: TUKO