Kenya wameruhusiwa na nani kutangaza maambukizi mapya ya madereva wa Tanzania?

Kenya wameruhusiwa na nani kutangaza maambukizi mapya ya madereva wa Tanzania?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
 
Wanaweka database sawa.

Total number of tests lazima i-tally na entries zingine.

Kama kwenye maabara yao wamepima samples 1500, wakakuta 30 ziko positive, lazima waclarify kwamba wakenya wapo may be 12 hao ndio wanaingia kwenye total number of cases kwenye data base yao.

Then hao wengine waliobaki pia lazima waclarify ni wa nchi gani. Hawawezi wakaacha data zinazohang.
Unforgetable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi wapimwe tena Tanzania kutuhakikishia kama wanayo, na mashine hazina itilafu. Ila mjue Kenya sio rafiki yetu, ni wanafiki tu, hata kwenye vita vya Idi Amin walikimbia na kutuachia, hawapendi maendeleo yetu kwa sababu ni kipimo cha maendeleo yao, kwa ujinga wao kutuzidi sisi ndiyo maendeleo yao.

Wanajua ya kwetu kuliko ya kwao, wanafuatilia siasa zetu kuliko za kwao wakati siye hata majina ya viongozi wao hatuyajui wala hatuna haja ya kuyajua wala kumjua Rais wao wala kumfuatilia. Kwa kifupi wakenya wanawashwa matako bila kuifuatilia TZ.
 
Wanaweka database sawa.

Total number of tests lazima i-tally na entries zingine.

Kama kwenye maabara yao wamepima samples 1500, wakakuta 30 ziko positive, lazima waclarify kwamba wakenya wapo may be 12 hao ndio wanaingia kwenye total number of cases kwenye data base yao.

Then hao wengine waliobaki pia lazima waclarify ni wa nchi gani. Hawawezi wakaacha data zinazohang.
Unforgetable

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa maendeleo ya hao wa nchi nyingine wanayafuatiliaje?!
 
Nani alikudanganya kama wanahitaji ruhusa ya yeyote? Wanailinda nchi yao na wananchi wake hivyo wana haki ya kuweka hadharani sababu husika za kutowaruhusu Watanzania kuingia Nchini mwao.
 
Inabidi wapimwe tena Tanzania kutuhakikishia kama wanayo, na mashine hazina itilafu. Ila mjue Kenya sio rafiki yetu, ni wanafiki tu, hata kwenye vita vya Idi Amin walikimbia na kutuachia, hawapendi maendeleo yetu kwa sababu ni kipimo cha maendeleo yao, kwa ujinga wao kutuzidi sisi ndiyo maendeleo yao.

Wanajua ya kwetu kuliko ya kwao, wanafuatilia siasa zetu kuliko za kwao wakati siye hata majina ya viongozi wao hatuyajui wala hatuna haja ya kuyajua wala kumjua Rais wao wala kumfuatilia. Kwa kifupi wakenya wanawashwa matako bila kuifuatilia TZ.
Kwani pale Namanga Tanzania hatuna kipimo?
 
Nani alikudanganya kama wanahitaji ruhusa ya yeyote? Wanailinda nchi yao na wananchi wake hivyo wana haki ya kuweka hadharani sababu husika za kutowaruhusu Watanzania kuingia Nchini mwao.
Kumbe!
 
Aliyewaruhusu kuwapima ndiye aliyewaruhusu kutangaza. Kwa taarifa yako sio kutangaza tu hata kuwarudisha walioambukizwa!!
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
Wewe unafikiri wenzetu wana uzembe wa kuficha mambo kama anavyofanya mtu wa chattle.
 
Nani alikudanganya kama wanahitaji ruhusa ya yeyote? Wanailinda nchi yao na wananchi wake hivyo wana haki ya kuweka hadharani sababu husika za kutowaruhusu Watanzania kuingia Nchini mwao.
kama kweli kenya wanalinda nchi yao si bora wafunge mipaka yao na TZ period safari hii hakuna kugawana mali kama EAC ya 1977 ilipovunjika tupo makini tunajua walichotumwa na Triump
 
Kwakweli inaonekana hali ya maambukizi Tanzania ni mbaya,sema tunateketea na tai shingoni!
 
Huwezi kuwalazimisha wafanye wasichokitaka kwani wanaleta bidhaa Nchini na pia kununua. Umeshasikia Tanzania kuwakatalia Wakenya kuingia? Kwa sababu tuna Serikali isiyojali afya za raia wake hivyo wanaingia tu bila kuangaliwa afya zao lakini Kenya, Uganda, Zambia na Rwanda serikali zao ziko makini kuwalinda raia wao.

kama kweli kenya wanalinda nchi yao si bora wafunge mipaka yao na TZ period safari hii hakuna kugawana mali kama EAC ya 1977 ilipovunjika tupo makini tunajua walichotumwa na Triump
 
Back
Top Bottom