Kenya wameruhusiwa na nani kutangaza maambukizi mapya ya madereva wa Tanzania?

Kenya wameruhusiwa na nani kutangaza maambukizi mapya ya madereva wa Tanzania?

Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
Kitu muhi.u kabisa ni hiki.

Wamesema ukweli au uongo?

Kama ni kweli, hakuna shida.

Pia, walipima watu waliotaka kuingia Kenya. Hawakuja Tanzania kupima Watanzania wasiotaka kuingia Kenya.

Mikataba ya kimataifa ya mambo ya afya inazitaka serikali zote kutoficha habari za milipuko ya magonjwa.

Sasa hapa swali la kuuliza si kwa nini Kenya inatoa habari hizi.

Swali ni, kwa nini serikali ya Tanzania inaficha habari hizi?

Kwa nini watu wa Tanzania kugunduliwa inabidi mpaka waende mipakani?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya wapo katika mapambano dhidi ya korona nyie si mnaruka ruka tu hapa,waacheni wenzenu wafanye kile wanachoona ni sahihi

Na zile kelele zenu kwamba tupo kwenye vita ya kiuchumi sasa ndo muda wake.

Tutapigwa kweli kweli kwenye hili maana hatujajitambua na hatujui tunachokisimamia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
Mkinyamaza mawe yatapiga kelele.
 
Mbona hauzungumzii umbeya wetu wa kiherehere chetu cha kutangaza maambukizi nchini mwao wakati yetu tunaficha.
 
kuna muda mbaazi ikikosa kuzaa husingizia jua,

hizi siasa chafu kutafuta mask ya uso kwa wananchi hazitaifikisha nchi popote kwenye mapambano,ndio kwanza ubao unasoma 735.
Hiyo namba ndo iliyo rasmi, japo ukweli ni tofauti sanaaa!. Kuna jamaa yangu wa mkoa flani yupo kwenye kamati ya kupambana na corona ya mkoa huo. Takriban weeks 2 zimepita alinambia kuwa, wakati serekali ikitangaza kuwa kuna wagonjwa 2 wa Corona, idadi sahihi ya wagonjwa walio thibitika kuwa na Corona walikuwa zaidi ya 100.
 
Hiyo namba ndo iliyo rasmi, japo ukweli ni tofauti sanaaa!. Kuna jamaa yangu wa mkoa flani yupo kwenye kamati ya kupambana na corona ya mkoa huo. Takriban weeks 2 zimepita alinambia kuwa, wakati serekali ikitangaza kuwa kuna wagonjwa 2 wa Corona, idadi sahihi ya wagonjwa walio thibitika kuwa na Corona walikuwa zaidi ya 100.
kwahiyo kenya ni sahihi ila tz sio.
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
Kwa kuwa wamewapima wao nchini mwao lazima wawatangaze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!
Suala wa kuwarudisha au kuwatowaruhusu kuingia ndio hoja, na uenda Nchi zimekubaliana kurudishiana wagonjwa kama wafungwa vile!
Na jambo la kutangaza hilo usiwaingilie na hamna kosa lolote, kwani hata sisi tumewahi tangaza waathirika raia wa ujerumani, amerika, n.k.
 
wameambiwa na huyu
download (1).jpg
 

Attachments

  • download (1).jpg
    download (1).jpg
    5.3 KB · Views: 2
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?
Si wameingia nchini kwao? Mbona sisi tunatangaza hata kama akiwa raia wa nchi nyingine? Ni protocol tu
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!

Kenya in nchi huru! Ulidhani Kenya ni moja ya mikoa ya Tanzania Bara?
 
Nimeona tangu juzi kupitia luninga ya ITV naibu waziri wa afya wa Kenya akitangaza maambukizi mapya ya Corona kwa raia wa Tanzania ambao ni madereva.

Msingi wa swali langu ni kwanini Kenya inawatangaza ilhali haiwatibu?

Kwa mfano leo wametangaza kuwapima madereva nane ambao wamekutwa na Corona na kwamba wamerudishwa Tanzania.
Sasa hiyo idadi kwa mujibu wa takwimu za WHO itasomeka kuwa ni maambukizi ya Corona nchini Kenya au Tanzania?

Maendeleo hayana vyama!

Kwani Wewe unavyokuwa ukiwatangaza Wauza Dawa za Kulevya kutoka nje ya nchi huwa unakuwa umeruhusiwa na Nchi zao?
 
Ila mjue Kenya sio rafiki yetu, ni wanafiki tu, hata kwenye vita vya Idi Amin walikimbia na kutuachia,
Una uhakika na hiki ulichoandika? Walikimbia (kwani vita ilikuwa yao?) na kutuachia (kumbe ilikuwa ya kwetu) Amini hakuvamia Kenya hivyo Kenya haikuwahusu. Lakini walisaidia sana hasa kwenye suala la zana kupitia Kenya
 
kuna muda mbaazi ikikosa kuzaa husingizia jua,

hizi siasa chafu kutafuta mask ya uso kwa wananchi hazitaifikisha nchi popote kwenye mapambano,ndio kwanza ubao unasoma 735.

Na hii ina maana gani?

Mnapeleka korona Kenya,Kenya kawarudisha,unatoa dua la kuku hapa!

Dua zako za kuku hazisaidii lolote!

Kama ni GDP ya Kenya imeizunguka TZ twice!

Go learn how kujenga uchumi,baada ya hapo ndio uongee mataputapu hayo!
 
Una uhakika na hiki ulichoandika? Walikimbia (kwani vita ilikuwa yao?) na kutuachia (kumbe ilikuwa ya kwetu) Amini hakuvamia Kenya hivyo Kenya haikuwahusu. Lakini walisaidia sana hasa kwenye suala la zana kupitia Kenya
Kumbe hujui Idi Amin alivamia Kenya pia, wakapigana naye kumuondoa kwao tu, ila wakakataa kwenda Uganda kumuondoa kabisa kwa sababu alitaka kuchukua east Africa yote, mainly nchi tatu Uganda, Kenya na TZ. Jifunze zaidi kutoka kwa sie tuliokuwa tumezaliwa tayari.
 
Back
Top Bottom