Kenya wamewezaje kuwa na giants kuliko mataifa yote Afrika Mashariki!?

Nchi nyingime kama Tanzania zina idadi kubwa ya Raia wasiojitambua, issue ya kifala kama kesi ya Mbowe ilitosha kuwafanya maccm waache mambo ya kingese lakini mi wananchi ilivyo lala.

Mkuu umefeli sana. Tz. Tuko vizuri sana kama wananchi. Tunajitambua ndo mana unatuona maisha. Bata. Zinaendelea. Tunajua aina ya watu wajinga na wapumbavu kama wewe na malengo yenu. Unawaza siasa hata katika mambo yako ya msingi. Kenya wana maisha Yao. Ila ukabila ndo unajenga Siasa zao na maelekeo yao. So Mtoa hoja hana kazi na wewe ndo umeingia mkenge directly. Unajua kwa Nini. Unaumwaaaaa. Na ugonjwa wako Ni wa kupandikizwa. Huna akili yako. Unawaza CCM tu.
 

Bosi unapoanza kuandika uzi wako unawaza kichwa cha habari au content.
 
Uncle umeandika ulodilodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…