sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Daaah hao wote pichani hawapo aiseee, mungu awarehemkidadari Kwa picha kama hii ni ngumu kuwaaminisha watu vinginevyoView attachment 1728534
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah hao wote pichani hawapo aiseee, mungu awarehemkidadari Kwa picha kama hii ni ngumu kuwaaminisha watu vinginevyoView attachment 1728534
Wewe ni tokeo la laana toka kwa wazazi wakoNaona mleta mada ulishakaririshwa unafiki,uzandiki na uongo na Mwendazake. Marehemu hakuwa na jema lolote kwa nchi hii,ukiona kuna jema ujue alilifanya kwa faida zake binafsi. Kuzimu kunamuhusu huyu muuaji.
Duh,hii picha hii,,ina maana wote wameondoka..?kidadari Kwa picha kama hii ni ngumu kuwaaminisha watu vinginevyoView attachment 1728534
Si mlisema wakenya wanatamani magufuli awe rais wao na yule proof zwazwa akatunga msamiati magufulification of afrika.Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.
Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.
Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.
Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Wanjiru... ....Naona mleta mada ulishakaririshwa unafiki,uzandiki na uongo na Mwendazake. Marehemu hakuwa na jema lolote kwa nchi hii,ukiona kuna jema ujue alilifanya kwa faida zake binafsi. Kuzimu kunamuhusu huyu muuaji.
Sio dhambiBasi acha nifuate ukweli
Mkuu, huku kwenye fani yangu kuna kitu tunaita 'legal reasoning' ambayo mara zote ina premises 3, kwa mfano:kidadari Kwa picha kama hii ni ngumu kuwaaminisha watu vinginevyoView attachment 1728534
1.Stiggler's project itakamilika
2. Sgr project itakamilika
3. E.t.c.
MNAOKESHA KUOMBA MABAYA HAMTAKAA MFANIKIWE KUYAONA YANATIMIA.
TANZANIA MBELE KWA MBELE AFE KIPA AFE BEKI CHUMA KISHASHIKA MOTO.
Wana haki maana hawa wa kwetu walikalia news hizo mpaka walipoumbuliwa na kifo..... wataanzaje kutangaza kifo ilhali walikaa kimya juu ya ugonjwa?!!Nimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.
Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.
Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.
Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.
Wewe unajadili kuhusu kudanganywa,mleta mada yeye ana hoja nyingine,duuuh binadamu!!!Kila mtu akale aliko peleka mboga!!
Mambo ya kuficha ficha ndo yameleta yote haya!
Watu wangetangaziwa mapema, wangemuombea huenda angepona!
Waliotakiwa kusema ukweli walitudanganya anachapa kazi, waongo wakasema ukweli anaumwa!
Sasa unazani mkweli ni nani!
Tumwamini yupi?
TUJISAHIHISHE TURUDISHE UMOJA
Kuna uzi mmoja @holNgoja kwanza tuvuke hapa.hayo mengine badae.
usije ukashangaa mabeyo kaingia mtaani.
Kuna uzi mmoja bwana Holy Man aliweka bayana kwamba huweza pewa TPDF yote wala TISS yote wala POLICE FORCE yote.Ngoja kwanza tuvuke hapa.hayo mengine badae.
usije ukashangaa mabeyo kaingia mtaani.
Hawa pimbi sijui tuwafanyaje tuNimeangalia KTN News usiku wa leo, kweli Kenya wanafanya coverage kubwa sana kwenye msiba wa Rais Magufuli usiku kucha.
Wamebase kwenye negative tu za Rais Magufuli kiasi hakuna jema kabisa.
Kwanza wanaaminisha dunia kuwa Magufuli hajafariki kwa ugonjwa wa moyo ila ni Covid-19. Kwa station kubwa namna hii kuuaminisha dunia kuwa kafariki kwa Corona na sio Moyo kama ilivyoripotiwa na Makamu wa Rais sio jambo la kiungwana kabisa tena kwa media kubwa kama KTN.
Mahojiano yao yame-base kwa wale wakosoaji wa serekali tu na sijaona wenye +ve kuhusu serekali. Wanarudia tu speech za Magufuli ambazo zilikua na utata kama vile ng'ombe wa Kenya waliokamatwa Tanzania, mimba kwa watoto wa kike, upinzani na siasa, matumizi ya njia za uzazi wa mpango, idadi ya viongozi waliofariki kwa kuhisiwa corona.
Ikiangalia unaweza kudhani aliyefariki ni Rais wa Kenya na sio wa Tanzania maana coverage ni kubwa Kenya kuliko Tanzania. Kwa Kenya imekua kama vile furaha kwao maana wamepenyeza sana propaganda zao sana.