Kenya wanafanya propaganda chafu kwenye msiba wa Rais Magufuli

Wanatumiwa na mabeberu
 
NTV, ambao ndio walitoa taarifa za kwanza kwamba Magufuli anaugua wanafanya 'coverage' ya heshima sana. Bonyeza kidude acha kulialia, ukitegemea serikali ya Kenya ifanye jambo kuhusu media za Kenya kwenye tukio ambalo limetokea nchi jirani utangoja sana. Media za Kenya huwa hazimtambui hata rais wao jombaa.
 
Mungekuwa wawazi kutangaza hali halisi ya rais wenu, wala hakuna mtu angeshugulika. Lakini kwa sababu vyombo vyenu vya habari zimelemazwa, it's our responsibility as your neighbours to inform you. If it wasn't for Nation Media Group, a Kenyan media house, hamgejua hata kwamba magufuli alikuwa mgonjwa. You should thank us
 
Relativity n Similarity topics
 
Positive zake ni zipi?
 
Jema lake ni lipi? Kuwafunga na kuwatesa Wapinzani wake?
 
Hat bbc Leo asubuhi ni hovyo kabisa hawa jamaa walipata mbinyo wa nguvu ndio Mana wanaponda kila kitu
 
Wakenya nawapenda sana walitusomesha mchezo kuanzia dakika 90 kwamba mpaka hapa tulipo tupo chaliiii saa mingi
 
taarifa ya kwelii wewe huna haki yakuipata maana ulistahili kuipata akiwa mgojwa yupo hospitalini na kisha taarifa za msiba. Sasa ukiona vitu 2 umevikosa jua utawala huu huna haki kupata izo taarifa
 
dunia imevaa bukta mazeeee dah.....dkt bashiru tunakuaminiaaa
 
Naona mleta mada ulishakaririshwa unafiki,uzandiki na uongo na Mwendazake. Marehemu hakuwa na jema lolote kwa nchi hii,ukiona kuna jema ujue alilifanya kwa faida zake binafsi. Kuzimu kunamuhusu huyu muuaji.

Je ni nani aliyekupa wewe mamlaka ya kuhukumu!!!?
 
Dont kill the messenger, we as kenyans had nothing to do with your presidents death, poleni lakini
Its not your problem. But your media interviewing gays to talk about straight man.
 
Ujuha ndiyo Nini ? Wewe mjinga na mpumbavu na mshenzi kabisa...sisi tuko kwenye majonzi halafu unasema eti tutafakari tuliteguka wapi?! Kawaulize wazazi wako swali Hilo...waulize nyie baba na mama mliteguka wapi?
 
Ujuha ndiyo Nini ? Wewe mjinga na mpumbavu na mshenzi kabisa...sisi tuko kwenye majonzi halafu unasema eti tutafakari tuliteguka wapi?! Kawaulize wazazi wako swali Hilo...waulize nyie baba na mama mliteguka wapi?

Ujuha ni zaidi ya ujinga, najaribu kuwaza hapa eti nitafute sijui ITV (zingine hata sizikumbuki) ya kwenu ili kufahamishwa kinachoendelea Nairobi hapa, halafu nianze kulalamika nikiona hawatoi taarifa nitakavyo mimi....hehehehe.
Lakini pia msilaumu media maana wenyewe mlichanganya Watanzania, mara mnawaambia rais anachapa kazi ni mzima ni kwamba tu yuko busy sana ndio maana hajitokezi, mara sijui ametuma salamu...yaani halafu leo mnalaumu vyombo vya habari.
 
They're a a confused gullible bunch. These are the same idiots that believed there was no coronavirus in tanzania because they prayed. It's really mind boggling how they never question whatever their govt tells them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…