jibu zuri sanaMbona wewe hujachafuka hayo mawazo?
Hahaaaa. Na kweli aisee rafiki.Huu uzi upelekwe kwenye jukwaa la Mashetani
Itakuwa wanaoana KANISANI tu,,hakuna namnaWanaenda kuoana wapi? Kanisani , msikitini au serikalini?
naskia kenyata katangaza anatambua uwepo wa hawa jamaa
usituletee mambo ya kishoga bwana, kwani hizo sprite haziwi exported? Huu ushoga uishie huko huko kenya, Pumbavu sana wakenya.sprite ya Kenya muundo wa chupa yake ni tofauti na tz
Huo Uhuru haupo!Mapenzi mubashara! kila mtu ana uhuru wake binafsi kuamua awe vip!
Jambo la muhimu ni kuwalea wanao vyema na ikitokea akabadilika ukubwani wewe nawa tu mikono maana ni mtu mzima tayari
Alaf wakifa eti "rest in peace"naona mashoga mnapromoti ushoga wenu kwa nguvu zote.
Wewe ni shoga unapromoti ushoga humu, mods ban hii ng'ombe inanitia kinyaa.Ni haki yao kabisa!
Kwanza ni watu wazima,
Pili hawajalazimishwa na yeyote,
Tatu ni kwamba hawaingilii uhuru wa mwingine.
Hakuna dhambi ndogo hata wewe ni shahidi.
Jambazi anatenda dhambi ya wizi kitu ambacho kinaacha makovu dhidi ya aliyeibiwa!
Hawa wao wanafanya mapenzi ya jinsia moja kitu ambacho hakimdhuru mwingine.
Kwanini sasa mlaumu watu ambao hawana affect yoyote kwenu ilihali kuna mengi yanayoidhuru jamii?
JARIBU KUHESHIMU UHURU WA MWENZAKO IKIWA UHURU HUO HAUNA AFFECT KWAKO.
mwili hajatumia wakwako!
hajaingilia uhuru wako!
hajakuharibia chochote!
Kwanini basi ikuume?
Uhuru wa mtu ikiwa haukudhuru usijaribu kuuingilia.
msikitini hakuna huduma km hii na adhabu ya mlawiti ni mawe mpaka wafeWanaenda kuoana wapi? Kanisani , msikitini au serikalini?
Mambo mazito hayo rafikiHahaaaa. Na kweli aisee rafiki.
manyang,au niaq manyang'au tuVijana hao wawili kutoka nchini kenya wameamua kuweka wazi mahusiano yao ya kimapenzi na kuvishana pete za uchumba...wakitarajia kuwa mke na mume hiv karibuni.
daaah dunia imeamua kuvaa bikini sasa
Yani huyo jamaa ambaye ndo anaolewa mpaka analia kwa kufurah kulikozidi jamani.View attachment 754445View attachment 754446View attachment 754447
Fuatilia vzr mkuu wengi ni style ya james delicious,mashoga wachache sana wenye muonekano wa u gentleman!
Sasa hata usiposema hiyo rest in peace inabadilisha nini??Alaf wakifa eti "rest in peace"
PUMBAVU KABISA
Uhuru upo, si umeona wanaoana hapo!!Huo Uhuru haupo!
Kenyatta aliongea lugha rahisi kabisa alipozungumza na obama pale palace.Mbona unamsingizia Kenyatta aisee...
Ngoja nikutafutie interview aliyofanya na mwanadada mmoja wa CNN.