Kenya: Wanaume wavishana pete ya uchumba

Kenya: Wanaume wavishana pete ya uchumba

Ni haki yao kabisa!
Kwanza ni watu wazima,
Pili hawajalazimishwa na yeyote,
Tatu ni kwamba hawaingilii uhuru wa mwingine.
Hakuna dhambi ndogo hata wewe ni shahidi.
Jambazi anatenda dhambi ya wizi kitu ambacho kinaacha makovu dhidi ya aliyeibiwa!
Hawa wao wanafanya mapenzi ya jinsia moja kitu ambacho hakimdhuru mwingine.

Kwanini sasa mlaumu watu ambao hawana affect yoyote kwenu ilihali kuna mengi yanayoidhuru jamii?

JARIBU KUHESHIMU UHURU WA MWENZAKO IKIWA UHURU HUO HAUNA AFFECT KWAKO.

mwili hajatumia wakwako!
hajaingilia uhuru wako!
hajakuharibia chochote!
Kwanini basi ikuume?

Uhuru wa mtu ikiwa haukudhuru usijaribu kuuingilia.
Wewe ni shoga unapromoti ushoga humu, mods ban hii ng'ombe inanitia kinyaa.
 
Hawa jamaa wana tabia kama wale kuku wa Nyeri au kondoo wa Kiambu
 
Wakenya KISWAHILI CHAO TU KINAONESHA DHAHIRI KUWA NI MASHOGA
HATA HAO WANAOVISHANA PETE WOTE NI MASHOGA
UKITAKA KUAMINI NENDA COAST
MOMBASA
MALINDI
LAMU
HUKO MWANAUME AKIONGEA TU na anavyoitikisa vidole Utajua tu kuwa NI PILAU YA KUKU[emoji1321]
 
Fuatilia vzr mkuu wengi ni style ya james delicious,mashoga wachache sana wenye muonekano wa u gentleman!

Unajidanganya. Mashoga wengi Wa huku Ulaya na Marekani ni Body builders with looks of real Men It’s really bad. Huko ndo labda wanaonekana wajinga
 
Mbona unamsingizia Kenyatta aisee...

Ngoja nikutafutie interview aliyofanya na mwanadada mmoja wa CNN.
Kenyatta aliongea lugha rahisi kabisa alipozungumza na obama pale palace.

Kwamba Kenya ina mambo mengi ya kushughulika nayo kuinua uchumi na maendeleo ya nchi, hivyo anaona ushoga ni swala ambalo halihitaji kipaumbele au Kujadiliwa.

Kwa lugha rahisi kwako ewe slow learner ni kuwa, ushoga ni privacy ya watu wawili ambayo haihitaji attention ya taifa.
 
Back
Top Bottom