Kenya wazindua treni za kisasa

Kenya wazindua treni za kisasa

Unajitekenya kisha unacheka.
Mnaokota picha mitandaoni kisha mna claim vya kwenu.
Accept what you have bro.
Yeah, I have accepted what we have...

Here is the same model in Kenya railwys colors.
Persenger train
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_proxy.jpg



Now its time for you to accept what you have... Which is nothing! So shut the F up..

Mizigo yote ambayo iko kwa que pale Mombasa tutaihamisha yote kwa wiki moja, kuwe hakuna hata contena zimepangwa pale port...kutakua hakuna hata delay, kontena ikiingia asubuhi ikifika jioni iko Nairobi,Kisumu,kampala inakaguliwa Na mwenyewe..wakati huko kwenu kontena hio hio itakua inachukua siku tatu za kwanza ikingojea kontena zengine zimaliziwe ndo nayo angalau ishughulikiwe alafu ipandishwe kwa lorry ndo ianze safari ya siku kadhaa...baada ya wiki mbili ndo inamfikia mmiliki wa mzigo
 
ETHIOPIA WALIPATA View attachment 458940
KENYA WAKAPATA
View attachment 458943
NIGERIA WAKAPATA
train%2Bin%2Bnigeria.jpg

ANGOLA WAKAPATA
0,b95b3417-c06b-4cf6-b009-5d238a1980d7--r--NjQweDM0Mw==.jpg

WAPUMBAVU BONGOLALA WANASUBIRI ETI WATAPATA
Bullet-Train.jpg

JAMANI WATANZANIA KUMBE MNA AKILI NDOGO KIASI HIKI??????? KAMA ETHIOPIA NA KENYA, NCHI ZENYE ECONOMY KUBWA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI NA KATI ZIMEOATA TRENI ZA AINA HIZI KUTOKA UCHINA, NANYI MNASUBURI TRNI ZIPI?????😀😀😀😀😀MSITUFANYE WAKENYA TUCHEKE TUVUNJE MBAVU!!!! ENDELEENI KUZIITA SCANIA ILA MKUMBUKE THAT KENYA IS THE COUNTRY THAT WILL ALWAYS BE AHEAD OF YOU..LIKE IT OR NOT...
Msubiri nasi tutajenga za kwetu za kisas sio hizo fiati mnazopigia kelele
 
Hivyo vichwa vya train kama vya first world war huko Sarajevo
 
Na mwaka huu, tunapiga, bun mahindi yetu kuvuka kenya
Tuone
Nanimesikia kenye wametangaza, balaa, la njaa
 
Na mwaka huu, tunapiga, bun mahindi yetu kuvuka kenya
Tuone
Nanimesikia kenye wametangaza, balaa, la njaa


Impressive, glad to see progress on this!
beer.gif



Galana Kulalu Food security Project on the 10,000Acre model farm



CmbVzvtWgAAB6oZ.jpg:large


The automatic self cleaning filtration system that filters approx 5000cubic meters per hour now working

CmbY23kWgAAlcST.jpg:large


CmbY24NXEAAQfU2.jpg:large



2000 acres under Maize and with addition of pumps & centre pivots will achieve greater acreage

CmbeL2SXYAAhT5-.jpg:large


CmbeNg3WAAAK1oQ.jpg:large


CmbeMCfWAAAXTjS.jpg:large


Inspecting the one week old maize crop under production

CmbgmjUWIAA05E-.jpg:large


CmbgnEqWcAAOk2f.jpg:large


CmbgpEFWAAA9nWN.jpg:large


Inspecting the 3 weeks old maize under production

CmbkWkUWIAAqWeK.jpg:large


CmbkWlDXgAAzOjW.jpg:large


CmbkYQ2WgAAbwtT.jpg:large


Fresh planted maize under production & clearing of stones by locals

CmbmSc0WAAASniw.jpg:large


CmbmSniXYAAKUzW.jpg:large


CmbmSiIWIAARnaw.jpg:large


Impressed with Punda Milia seed variety that promises better yield harvest

Cmbt0vqWIAAVrOG.jpg:large


Cmbt0zpWEAABkJw.jpg:large


CmbybHjWgAAci1K.jpg:large


CmbyaOFWEAAidL9.jpg:large
 
Aisee mi nina wivu wamaendeleo..Kenya apo mmefanya jambo zuri sana..Hongereni..huo ndio usafir wa watu wa chini...hyo n challenge kwetu tutaifanyia kazi
 
Kenya leo leo wamezindua rasmi usafiribwa treni za kisasa mradi utakao gharimu Ksh 4bil umezinduliwa huko Mombasa.

Kwa kuanza mrafi huo utahusisha treni zipatazo 26 na utanufaisha nci za Afrika Mashariki.

View attachment 458398View attachment 458400View attachment 458401View attachment 458402View attachment 458403
Mleta uzi ni kama umeharakisha kuleta huu Uzi. Usahihi ungesema Kenya wapo kwenye ujenzi wa reli ya standard gage. Uzinduzi wake najua utafanyika mwaka huu kabla ya uchaguzi na wala haujaisha. Reli inatakiwa kuanzia MBS hadi nchi Jirani Uganda na lengo ni kupunguza msongamano wa malori kwenye barabara ya MBS
 
ETHIOPIA WALIPATA View attachment 458940
KENYA WAKAPATA
View attachment 458943
NIGERIA WAKAPATA
train%2Bin%2Bnigeria.jpg

ANGOLA WAKAPATA
0,b95b3417-c06b-4cf6-b009-5d238a1980d7--r--NjQweDM0Mw==.jpg

WAPUMBAVU BONGOLALA WANASUBIRI ETI WATAPATA
Bullet-Train.jpg

JAMANI WATANZANIA KUMBE MNA AKILI NDOGO KIASI HIKI??????? KAMA ETHIOPIA NA KENYA, NCHI ZENYE ECONOMY KUBWA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI NA KATI ZIMEOATA TRENI ZA AINA HIZI KUTOKA UCHINA, NANYI MNASUBURI TRNI ZIPI?????😀😀😀😀😀MSITUFANYE WAKENYA TUCHEKE TUVUNJE MBAVU!!!! ENDELEENI KUZIITA SCANIA ILA MKUMBUKE THAT KENYA IS THE COUNTRY THAT WILL ALWAYS BE AHEAD OF YOU..LIKE IT OR NOT...
Sisi tuna akili ndogo au wewe ulie andika haya una akili ndogo??? labda nikuulize, kati ya hizo nchi hapo, kuna hata moja imewah nunua ndege kwa cash? mbuna zote sita tumetoa cash?? kupanga ni kuchagua, hatufanani
 
Na mwaka huu, tunapiga, bun mahindi yetu kuvuka kenya
Tuone
Nanimesikia kenye wametangaza, balaa, la njaa

Halafu nyie mi wana ccm msipende kubeba mawazo yetu wa tz wote,

Jamani Wakenya huku kwetu sehemu kibao zina njaa kali ila rais amewakataza wakuu wa mikoa na wilaya kutangaza kuwa wana njaa, pia kasema serikali haitatoa msaada wa chakula kwa yeyote, maana serikali sio iliyoleta njaa na anasema ni propaganda za wanasiasa na matajiri wamenunua vyombo vya habari ili kumkosoa...

Ila ukweli Tz kuna ukame na sehem kibao wana njaa kali ila viongozi wanamuogopa Rais ambaye mkali kama pilipili..

No freedom of speech hapa Tz , wasijisifu chochote ccm , hata mabehewa waliyonunua badala ya mapya waliuziwa ya zamani tena mabovu na aliyehusika saivi ni waziri wa sheria , hajagilushwa!
 
Back
Top Bottom