Kenya wazindua treni za kisasa

Unajitekenya kisha unacheka.
Mnaokota picha mitandaoni kisha mna claim vya kwenu.
Accept what you have bro.
Yeah, I have accepted what we have...

Here is the same model in Kenya railwys colors.
Persenger train



Now its time for you to accept what you have... Which is nothing! So shut the F up..

Mizigo yote ambayo iko kwa que pale Mombasa tutaihamisha yote kwa wiki moja, kuwe hakuna hata contena zimepangwa pale port...kutakua hakuna hata delay, kontena ikiingia asubuhi ikifika jioni iko Nairobi,Kisumu,kampala inakaguliwa Na mwenyewe..wakati huko kwenu kontena hio hio itakua inachukua siku tatu za kwanza ikingojea kontena zengine zimaliziwe ndo nayo angalau ishughulikiwe alafu ipandishwe kwa lorry ndo ianze safari ya siku kadhaa...baada ya wiki mbili ndo inamfikia mmiliki wa mzigo
 
Msubiri nasi tutajenga za kwetu za kisas sio hizo fiati mnazopigia kelele
 
Hivyo vichwa vya train kama vya first world war huko Sarajevo
 
Na mwaka huu, tunapiga, bun mahindi yetu kuvuka kenya
Tuone
Nanimesikia kenye wametangaza, balaa, la njaa
 
Na mwaka huu, tunapiga, bun mahindi yetu kuvuka kenya
Tuone
Nanimesikia kenye wametangaza, balaa, la njaa


Impressive, glad to see progress on this!


Galana Kulalu Food security Project on the 10,000Acre model farm





The automatic self cleaning filtration system that filters approx 5000cubic meters per hour now working






2000 acres under Maize and with addition of pumps & centre pivots will achieve greater acreage







Inspecting the one week old maize crop under production







Inspecting the 3 weeks old maize under production







Fresh planted maize under production & clearing of stones by locals







Impressed with Punda Milia seed variety that promises better yield harvest







 
Aisee mi nina wivu wamaendeleo..Kenya apo mmefanya jambo zuri sana..Hongereni..huo ndio usafir wa watu wa chini...hyo n challenge kwetu tutaifanyia kazi
 
Na mwaka huu, tunapiga, bun mahindi yetu kuvuka kenya
Tuone
Nanimesikia kenye wametangaza, balaa, la njaa

Baa la njaa inawamaliza kule Vijijini na Yohana wenu tu amenyamaza.... Duh!!
 
Mleta uzi ni kama umeharakisha kuleta huu Uzi. Usahihi ungesema Kenya wapo kwenye ujenzi wa reli ya standard gage. Uzinduzi wake najua utafanyika mwaka huu kabla ya uchaguzi na wala haujaisha. Reli inatakiwa kuanzia MBS hadi nchi Jirani Uganda na lengo ni kupunguza msongamano wa malori kwenye barabara ya MBS
 
Sisi tuna akili ndogo au wewe ulie andika haya una akili ndogo??? labda nikuulize, kati ya hizo nchi hapo, kuna hata moja imewah nunua ndege kwa cash? mbuna zote sita tumetoa cash?? kupanga ni kuchagua, hatufanani
 
Na mwaka huu, tunapiga, bun mahindi yetu kuvuka kenya
Tuone
Nanimesikia kenye wametangaza, balaa, la njaa

Halafu nyie mi wana ccm msipende kubeba mawazo yetu wa tz wote,

Jamani Wakenya huku kwetu sehemu kibao zina njaa kali ila rais amewakataza wakuu wa mikoa na wilaya kutangaza kuwa wana njaa, pia kasema serikali haitatoa msaada wa chakula kwa yeyote, maana serikali sio iliyoleta njaa na anasema ni propaganda za wanasiasa na matajiri wamenunua vyombo vya habari ili kumkosoa...

Ila ukweli Tz kuna ukame na sehem kibao wana njaa kali ila viongozi wanamuogopa Rais ambaye mkali kama pilipili..

No freedom of speech hapa Tz , wasijisifu chochote ccm , hata mabehewa waliyonunua badala ya mapya waliuziwa ya zamani tena mabovu na aliyehusika saivi ni waziri wa sheria , hajagilushwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…