Kenya wazindua treni za kisasa



RIFT VALLEY!..sio LIFT VALLEY, halafu ndio maana kumejengwa TUNNELS PAMOJA NA SUPER HIGH BRIDGES KILA MAHALI kwa hela nyingi mno.....kuondoa gradient effect, so basically TAMBARARE KOTEKOTE.
Ushauri wako kawapelekee CCM.
 
MNA NJAA ,SERIKALI YAKO YA KIKOMUNISTI CHINI YA DIKTETA WENU HUYO INALIFICHA SWALA HILI LAKINI DUNIA NZIMA YAJUA MNA NJAA KALI HADI MNAWALA VIWAVI!....😀😀😀
Hivi we unaijua dunia au ? Unaandika tu ? Au bado hujapona mtindio wa ubongo
 
Hizo za kichina zitadumu kweli maana wao uangalia kupata hela tu sio kuzalisha vitu bora wanavipamba Kwa nje uonekana vizuri tu kukuvutia
 
tatizo humu wote mnajadili kuhusu muonekano wa hzo tren but you forget to discus about their qualities, awa wachina ni wajanja wajanja tu, WAKENYA mmeibiwa na WATANZANIA siku si nying tunaenda kuibiwa pia,
 
Usitudanganye nani ka kwambia tren za mizigo zina sura mbaya.... any relationship btn the look and type of cargo/passengers. Nenda Germany na Sweden ndo utaona nini maana ya matreni. huku kote tunajaribu tu.
 

Mimi sijakuelewa hiyo aina ya akili uliyonayo......
sasa unavyowaambia wakenya kuwa Tanzania kuna njaa, kuna siku wakenya waliwahi kuleta Tanzania msaada wowote kwa ajili ya kunusuru baa la njaa.

Halafu nani kakuambia kuwa muda au msimu huo huo mvua zikichelewa miezi hiyo hiyo kunakuwa na njaa..... kwa taarifa yako mvua zisiponyesha mfano mwezi desemba madhara yake huonekana kuanzia miezi mitano, sita na kuendelea. Hivyo kuchelewa kwa mvua za vuli miezi ya oktoba, novemba na desemba (mwaka jana 2016) madhara yake tutayaona mwezi Mei, Juni, Julai (mwaka huu 2017) na kuendelea... Hiyo njaa mnayoipigia kelele kipindi hiki ni mwelekeo wa kuathirika kiakili (psychological effect created by fear of unknown/unexisted/unidentified parameters). Maana utasemaje kuna njaa wakati kipindi hiki si cha mavuno?? Nimetoka mikoa ya Songwe, Mbeya, Katavi, Rukwa, Njombe na Iringa (The food basket) hakuna wanakovuna..... maeneo yote haya wakulima wako kwenye palizi. Huo ukame umeathirije mavuno au upatikanaji wa chakula kwa sasa??? Msipende kuaminishwa na kuchukuliwa huku na huku kama wimbi na watu wasio na nia njema kwa taifa letu.

Siku zote uwe unafikiri kabla ya kutamka a kuandika..
 
hivi vichwa vya treni,pamoja na kwamba vimetengenezwa zaidi ya miaka 12 iliyopita nia ni kukimbizana na uchaguzi unaokuja,Raila asichukue nchi
 
China wanasaidia kwenye miundo mbinu kama reli,madaraja,majengo,barabara,

USA yeye anasaidia vyandarua,ARVs ,chanjo,condoms
Umesahau mafuta ya kina vishimo kwenye mashavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…