Kenya won’t compromise health to resume flights to Dar, says Transport Minister

Kenya won’t compromise health to resume flights to Dar, says Transport Minister

But at the same time American government told by their citizen that Tanzania is a safe place. I think Kenyan's are fool.
But the same Magufuli who said his son had corona is the same one who says corona doesn't exist.
Magufuli is fool.
 
If you read the article its not written anywhere he was jailed for insulting Uhuru. That's click bait for ignorant people like you

Hapo aliyetukanwa ni nan?
👇👇👇
A Kenyan student has been sentenced to a year in jail for insulting President Uhuru Kenyatta on social media.
 
Wakenya wana akili nyingi sana, angalia uwezo wao wa kuzungumza Kiingereza, yaani wanalingana na Waingereza kabisa, au kuwashinda hata Waingereza wenyewe.
Sisi Watanzania tunakwama wapi ?
Natamani kuomba uraia wa Kenya.
 
s
Ktk iyo 100 b ukumbuke na mikopo ya watu eh usisahau .... Ila sie sasa. Eiiiiiiiiiiiiiiii. Zero mkopoo
Mkopo bado ni pesa yetu. Ama ukikopa pesa sio yako?
Bora ni ulipe usiwe kama Tanzania na yule Mkulima South Afrika.
Na Tanzania mna deni tena kubwa sana wacha kujitekenya.
 
Kazeni vichwa wapuuzi nyie KQ itafirisika na tutaichukua kwa bei ndogo sana.
 
Mkopo bado ni pesa yetu. Ama ukikopa pesa sio yako?
Bora ni ulipe usiwe kama Tanzania na yule Mkulima South Afrika.
Na Tanzania mna deni tena kubwa sana wacha kujitekenya.
Mfano Yaan uwe na sh.100 mfukoni umeona embw ukataman ununue ila gafla unakutana na mdai wako anataka pesa yake Je utakula tena embe? Ukiweza kujibu ili bac ndio utajua 100 b ni zenu au za mwwnye deni.
 
Wakenya mko obsessed sana na Tanzania, kila leo Tanzania this,Tz that, Magufuli hapa, Magufuli pale, corona pima,corona data, wala hamsikii media ya Tanzania ikiwataja! Hii mambo ya KQ Kenya mnapiga domo kila leo, Tanzania kimyaaa! Sasa hapo ndio mjiulize yupi anaweweseka juu ya mwenzie.
 
[emoji23][emoji23] Hiyo america yako labda ni ya kijiweni View attachment 1531502
Hili ni hapisho la geto kwako au ? Press release gani haina tarehe, hiv unajua sifa yaa press release ww ? Makuuliza uaitumbue mi macho kama tura? Sisi tusha waambia we are free feom covid 19 iweje mnang'ang'ania mtupe liugonjwa ambalo nyie wenyewe lina washimda na mnajidanganya kupambana nalo.
 
“We met virtually with my brother (Tanzania Transport Minister Isack Kamwelwe) and agreed on everything, including travel issues but, being a health-related issue, it requires concurrence with the respective Health ministers on both sides,” Mr Macharia said.

Naona wana anza kutapa tapa! Watulie dawa iwaingie.
Tuzuie na watu wao na basi zao na roli zao kuingia.
 
If you read the article its not written anywhere he was jailed for insulting Uhuru. That's click bait for ignorant people like you
Screenshot_20200808-230259.jpg
 
Rais Uhuru popote alipo ajue tutamhukumu vibaya sana akitanguliza maslahi ya uchumi mbele ya afya zetu, hili la Watanzania asilegeze chochote, kila Mtanzania anayekuja hapa lazima apanue mdogo na kutumbukizwa kifaa kupima corona, haijalishi wazuie mindege watakavyo lakini msimamo wetu ubaki ule ule.

Museveni ameweka jeshi kabisa kuzuia Watanzania, Kagame kule naye naskia huwa mkali sana dhidi ya Watanzania, Zambia na majirani wote wa Tanzania wote wana misimamo mikali, sisi tusilegeze pia, tuhakikishe usalama wa afya yetu ni kipau mbele.

Hawa Watanzania walijichokea na kushindwa kwenye juhudi dhidi ya corona, kwao huko imekua gonjwa la aibu, ukiumwa inabidi uhangaike ndani kwa ndani na kuifanya siri majirani wasijue maana utanyanyapaliwa sana, tangu ile siku namba zao zilipandisha ghafla na kuwa 509 kisha rais akawa mkali, waliufyata wote.
 
Rais Uhuru popote alipo ajue tutamhukumu vibaya sana akitanguliza maslahi ya uchumi mbele ya afya zetu, hili la Watanzania asilegeze chochote, kila Mtanzania anayekuja hapa lazima apanue mdogo na kutumbukizwa kifaa kupima corona, haijalishi wazuie mindege watakavyo lakini msimamo wetu ubaki ule ule.

Museveni ameweka jeshi kabisa kuzuia Watanzania, Kagame kule naye naskia huwa mkali sana dhidi ya Watanzania, Zambia na majirani wote wa Tanzania wote wana misimamo mikali, sisi tusilegeze pia, tuhakikishe usalama wa afya yetu ni kipau mbele.

Hawa Watanzania walijichokea na kushindwa kwenye juhudi dhidi ya corona, kwao huko imekua gonjwa la aibu, ukiumwa inabidi uhangaike ndani kwa ndani na kuifanya siri majirani wasijue maana utanyanyapaliwa sana, tangu ile siku namba zao zilipandisha ghafla na kuwa 509 kisha rais akawa mkali, waliufyata wote.
Sisi hatuna mpango na nyinyi endeleeni kufa na corona tu nyinyi nyang'ao. Hatuhitaji KQ kuja kwetu.
 
Back
Top Bottom