Kenya won’t compromise health to resume flights to Dar, says Transport Minister

Kenya won’t compromise health to resume flights to Dar, says Transport Minister

Sasa mnaangaika na sisi wa nini mbona sisi hatuna shobo na nyie?
Kama hamngekua na shobo hamngejaza server za JF Kenyan News section na huu ushuzi . WaTz mpo humu mchana usiku kwa ma mia mkijibizana na waKenya 10 😹😹.

Wacheni udaku/umbea na UJINGA
 
Mwambie macharia afungue njia hiyo chombo kitue nairobi. Anamsingizia kagwe wa nini wakati hamna muda mrefu ofisini ishu ya kemsa itamuondoa?
Mwambie Fikile Mbalula Wa South Africa asikubali ATCL ikamatwe Tena na MkulimA.
 
Ala! Unawajua hata mawaziri wa Kenya? Uko obsessed Mkuu 🤔

Hahaha nasikia ame hepa flying coffins leo huko kericho..akatumia gari..ina kaa ni timu ruto eh?

Yule mama ex CS wa katiba kagongelea msumari anataka matumizi yawekwe wazi ya pesa ya covid...kazi mnayo.

Mna tuchelewesha wekeni waziri mpya hapo azindue route ya ATCL chap hapo naii..
 
Back
Top Bottom