Kama hamngekua na shobo hamngejaza server za JF Kenyan News section na huu ushuzi . WaTz mpo humu mchana usiku kwa ma mia mkijibizana na waKenya 10 😹😹.Sasa mnaangaika na sisi wa nini mbona sisi hatuna shobo na nyie?
Mwambie Fikile Mbalula Wa South Africa asikubali ATCL ikamatwe Tena na MkulimA.Mwambie macharia afungue njia hiyo chombo kitue nairobi. Anamsingizia kagwe wa nini wakati hamna muda mrefu ofisini ishu ya kemsa itamuondoa?
Mwambie Fikile Mbalula Wa South Africa asikubali ATCL ikamatwe Tena na MkulimA.
Ala! Unawajua hata mawaziri wa Kenya? Uko obsessed Mkuu 🤔Kagwe mnamtimua lini? ATCL inachelewa kuja hapo nairobi...hebu changamkeni bhana.
Ala! Unawajua hata mawaziri wa Kenya? Uko obsessed Mkuu 🤔