Kenya yaagiza treni 56 kwa ajili ya SGR

Haha!Samm999,no spoiler for me.Hold the door!I woke up at 5.30am just to download the 5th episode.Ilibidi nimeiwatch pia,at 6 in the morning!Damn GOT!
 

Kwa hiyo majivuno yote hayo unajivunia Lugha ambayo mwenyewe ni Muingereza na wewe ulikuwa mtumwa wake....
 

shunt
vt,vi 1 (of railway wagons) chepua/geuza njia. ~ing-yard n uwanja wa kugeuzia gari moshi. 2 (of a train) peleka njia nyingine. 3 (fig, colloq) kwepa, ahirisha. 4 (fig of a project) weka pembeni. ~er n mgeuzaji reli

Shunt lipo mzee, wewe tu hukuhangaika vya kutosha.
 
Hehehe hebu nipe nomino yake. Ama itakua mchepuko.
Halafu hebu nipe jina la kichwa cha treni kwa kiswahili, yaani locomotive.
 
Nina uelewa wa ndani kwenye masuala ya reli, hivyo sijajichanganya kwa kusema treni 56.
Mabehewa yalioagizwa ni 1,620, hivyo muache ujuha wa Kibongo.


Kaka sifa zingine za kijinga hazifai, Train 56 halafu unajifanya sio mjinga kwa kulazimisha eti haujakosea,, yani hata wakenya wenzako wanakushangaa kwa jinsi ulivyowazidi uongo kupita kiasi, Hata Uingereza hawana Train 56 zaidi ni Train zinazotumika kwenye njia kuu tuu pengine ni mabus yaendayo kasi kwenye njia maalumu kama bongo,
Bro punguza uongo wa kitoto
 

Nipe neno ninalofaa kutumia kuita vichwa vya treni.
 
Wana wa East Africa tuige mfano wa Algeria wameingia ubia na kampuni ya nje wanatengeneza vichwa na mabehewa yao wenyewe... kununua nunua kwa wachina sio sifa ni ujinga mkuu... Tanzania nao watafuata mfumo huo huo wa kunuua,Rwanda na Uganda vile vile... Miafrica ndio tulivyo... tumekalia Siasa tu...
 
Nipe neno ninalofaa kutumia kuita vichwa vya treni.
Mzeiya lengana na hawa mamwere,kama kilami ni 56 trains na swa itakuwa?Treni 56,ngori iko piwa?Nijeiya anaku mraaya hata mjamo anakuchapia loco kwa swa itaitwaje?
 
Hehehe hebu nipe nomino yake. Ama itakua mchepuko.
Halafu hebu nipe jina la kichwa cha treni kwa kiswahili, yaani locomotive.

Locomotive ni adjective - enye nguvu ya kwenda, pia ni noun-kichwa cha garimoshi. Ila sisi tunaita treni, neno sahihi ni garimoshi. Kiswahili kipo wide sana, tatizo maneno mengi hatuyatumii sana, tunatohoa ya kizungu. Hahaha

Lugha nyingi zipo namna hii, sometimes unakosa neno moja kutafsiri neno kutoka lugha nyingine (hasa Kizungu).
 
Tungoje tuone.. ila kila la kheri majirani.. hatua mliyofikia siyo ya kubeza.. kwa nchi za Africa kuungana ni jambo jema zaidi ya kutengana.

I hope uwekezaji mnaoufanya utaleta faida na kuweza kulipa deni.
 

Garimoshi ni jina lililokua linatumika zamani, wakati wazee wetu walikua wanaona kigari kinapita huku kikitoa moshi. Kipindi cha steam engines. Nilitumia hilo jina garimoshi huko Bongo, Watanzania wakanicheka kwamba sio sahihi.

Inafaa ufahamu kwenye taaluma ya reli au railway industry, kuna mambo muhimu ya kuelewa kama
- Garimoshi - Hii ni full train composition, yaani ina kichwa na dereva, halafu ina haya ambayo sio ya lazima, konda, mlinzi, na mabehewa, hapo ndipo inaitwa Garimoshi.
- Kichwa cha gari moshi hakina neno mbadala kwa Kiswahili, nimetafuta sana na kwa muda mrefu. Hii nilifanya nikiwa kwenye mradi uliohusu kufanya system analysis ya kampuni ya reli, na nilihitajika kuandika taarifa/ripoti kwa Kingereza na Kiswahili. Nilihangaika sana maana hata kwa matumizi ya kamusi na Google na kila sehemu, kuna maneno ilibidi nichakachue na kutumia ya Kingereza.
 
Tungoje tuone.. ila kila la kheri majirani.. hatua mliyofikia siyo ya kubeza.. kwa nchi za Africa kuungana ni jambo jema zaidi ya kutengana.

I hope uwekezaji mnaoufanya utaleta faida na kuweza kulipa deni.

Dah! Asante bana, yaani inabidi uzi ufikie kurasa kadhaa ndio tukutane na mtu anayetoa hongera. Mijitu imekazania kukosoa neno moja. Hii Afrika ni laana tupu.
 
Mzeiya lengana na hawa mamwere,kama kilami ni 56 trains na swa itakuwa?Treni 56,ngori iko piwa?Nijeiya anaku mraaya hata mjamo anakuchapia loco kwa swa itaitwaje?

Nimenyita mzeiya.
 
That show is great AF
You are damn right bro,but when the fudge will I see my favourite GoT character Khaleesi (since they murdered my other favourite,King Geoffrey) do her thing with no interuptions,am tired of waiting man!Damn,if I were a character in GoT illd follow Khaleesi to the moon and back!Haha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…