Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Cheki makalio dah! Kitoweo cha pweza si 'mucheso'
Huyo askari hapo katika picha alihukumiwa kifungo cha miaka 15 jela, kwa uzembe uliosababisha kifo cha mtu mmoja https://zakwetuinfo.blogspot.com/2016/07/askari-aliyemuua-mwangosi-afungwa-miaka.html?m=1
Yaishe.Kama wewe sio masikini weka picha au idhibati yoyote uliyonayo bila kuanika sura yako.
Duh hiyo ni yako.Mzizi wa neno 'ako' ni -ko. Jifunze Kiswahili wee bwege.
'km'Duh hiyo ni yako.
Hakuna kitu km hiko aiseee.
Hiyo kiswahili cha nyang'au.
Ila kiswahili sanifu hakipo hvyo.
Embu onganisha hilo neno na kitenzi.
Aii unapinga km wachina hawawaendeshi???!!!!Unadhani sisi ni bongolala tuendeshwe na Chinese kama nyinyi?
Km ni ufupisho wa kama na hapa tunachat aisee.'km'
'onganisha'
'hvyo'
'kiswahili' x2
'Embu'
Sentensi nne fupi pekee zina makosa sita na hapa unajifanya kutufunza Kiswahili? Akili yako timamu?
Unapinga kama kila mtu hamuendeshi? Sii Wachina, sii wahindi, sii Wakenya, sii Waarabu, sii wazungu?Aii unapinga km wachina hawawaendeshi???!!!!
Vile wanavyowafanyia ubaguzi ktk reli yenu wenyewe.
Hivi embu ni ufupisho wa nini?Km ni ufupisho wa kama na hapa tunachat aisee.
Hvyo ni kifupisho cha hivyo.
Kiswahili iko sahihi,au inaandikwaje swahili ama???!!!!
Inategemea wapi unaandika hilo neno.Hivi embu ni ufupisho wa nini?
Kiswahili unaandika ukianza na herufi ndogo?
Kaende shule ya chekechea kwanza ndio uje kujifanya gwiji wa lugha hapa.
Umeongea nini hapa embu rekebisha sentensi.Unapinga kama kila mtu hamuendeshi? Sii Wachina, sii wahindi, sii Wakenya, sii Waarabu, sii wazungu?
Huwa wanasema kwenye ndoa kama hamuelewani basi muwachane mara moja. Hakuna haja ya kuishi na adui yako kwenye nyumba moja.
Hiko sio kiswahili sanifu. Inastahili kuwa neno "hicho"Duh hiyo ni yako.
Hakuna kitu km hiko aiseee.
Hiyo kiswahili cha nyang'au.
Ila kiswahili sanifu hakipo hvyo.
Embu onganisha hilo neno na kitenzi.
Embu sio kiswahili sanifu. Inastahili kuwa "Ebu".Duh hiyo ni yako.
Hakuna kitu km hiko aiseee.
Hiyo kiswahili cha nyang'au.
Ila kiswahili sanifu hakipo hvyo.
Embu onganisha hilo neno na kitenzi.
Isome sentensi vema.Hiko sio kiswahili sanifu. Inastahili kuwa neno "hicho"
Hivi wewe umeenda shule ama shule yako ni JF? Sioni haja ya kubishana na mtu ambaye haelewi chochote huku akijifanya gwiji. Kaende ujifunze aina za nomino na namna zinavyotumika ndio uje tuongee.Inategemea wapi unaandika hilo neno.
Hata neno embe ukianza mwanzo wa sentensi utaanza kwa herufi kubwa.
Vivyo hivyo katika "kiswahili" ukianza mwanzo wa sentensi utaandika kwa kuanzia herufi kubwa "Kiswahili".
Umeona utofauti hapo???
Kwahiyo kisa ni neno kiswahili popote waliandika kwa herufi ndogo??
Je ukianza mwanzo mwa sentensi napo utaandika kwa herufi ndogo???
Na siyo kaende sema nenda kasome shule ya chekechea.
Neno "kaende" umelitumia vibaya ndio msamiati gani???
'Embu' ndio nini hicho? Wewe ni kama akili yako sio timamu. Sioni haja ya kujadili chochote nawe.Umeongea nini hapa embu rekebisha sentensi.
Jamaa wakenya hujifanya wajuaji sana.Hivi wewe umeenda shule ama shule yako ni JF? Sioni haja ya kubishana na mtu ambaye haelewi chochote huku akijifanya gwiji. Kaende ujifunze aina za nomino na namna zinavyotumika ndio uje tuongee.
IPITIE SENTENSI ULIYONIULIZA THEN JIULIZE HT WW INAELEWEKA????'Embu' ndio nini hicho? Wewe ni kama akili yako sio timamu. Sioni haja ya kujadili chochote nawe.
& you say Tanzanians are not tribal. Huu si ukabila unaendekeza hapa? Nani kakwambia nipo Nairobi?