Wewe ndio useless kabisa. Yaan anakula hela ya mumewe ambayo sio yake, kuimek tu na kujibana kwa pesa isiyo yake ndio sacrifice? Aisee CCM indelee kututawalaKenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
Et anadai ile pesa anayopewa na mumewe akiweza kubana asile chips mkanunua kiwanja ndio sacrifice. CCM tawala hii nchi mpaka tutakapo jitambuaUmeshasema Goal keeper, sasa hela ya kujinyima ili mnunue kiwanja ni ipi?
ilikuwa hakuna urithi hata neno 'urithi' walikuwa hawalijuwi kabla y Uislam.Za kimila kabla ya ujio wa dini
Urithi ulikuwepo.ilikuwa hakuna urithi hata neno 'urithi' walikuwa hawalijuwi kabla y Uislam.
Kama anataka chips afanye kazi ale kwani anaeongoza maendeleo ni mke au mme?Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
View attachment 2882688
Ndugu zangu katika JF tujadili jinsi ya kuanzisha hili vuguvugu ambalo litasababisha mabadiliko ya sheria. Kila mtu aondoke na alichochuma. Hii itasaidia sana kuimarisha ndoa
safi sana, wakiondoa na mahari chap naamia Kenya naoadronedrake kuna habari huku tia neno.
😁 kwa hiyo kwa sasa matumaini ya kuoa yapo kenyasafi sana, wakiondoa na mahari chap naamia Kenya naoa
kwa Bongo haiwezi kuja hii, kuna lundo wa feminist wenye njaa
Fikiria upya.Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
Hakika ni sawa kabisa kabisaView attachment 2882688
Ndugu zangu katika JF tujadili jinsi ya kuanzisha hili vuguvugu ambalo litasababisha mabadiliko ya sheria. Kila mtu aondoke na alichochuma. Hii itasaidia sana kuimarisha ndoa
Kabisa kabisa kabisa😁 kwa hiyo kwa sasa matumaini ya kuoa yapo kenya
wakiondoa na Mahari japo najua ni kipengele😁 kwa hiyo kwa sasa matumaini ya kuoa yapo kenya
Bora wao ila Tanzania tuna double standards ambayo kwa hali ya sasa anayeumia mtu mmoja ambaye ni mwanaume..Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
Chama kitakufa very soon wadau wanakisalitiwakiondoa na Mahari japo najua ni kipengele
la sivyo wacha niendelee kuwa chamani
Very soon yule aliesema anaenda zimbabwe ataenda KenyaKabisa kabisa kabisa
Kenya hawako vizuri moja kwenye ndoa za Kikiristo wawili wakioana wanakuwa mwili mmoja wanahesabika mtu mmoja hivyo Mali hapo inakuwa ya mtu mmoja yaani mke na mume haiwi vipande vipande kusema hii ya mke hii ya mume ni zao woteFikiria upya.
Mimi nilipokuwa mdogo(kufungiwa kwenye box)nilikuwa nawaza kama wewe.Fungua macho.Utaibiwa.Mwili mmoja na mwizi?Kenya hawako vizuri moja kwenye ndoa za Kikiristo wawili wakioana wanakuwa mwili mmoja wanahesabika mtu mmoja hivyo Mali hapo inakuwa ya mtu mmoja yaani mke na mume haiwi vipande vipande kusema hii ya mke hii ya mume ni zao wote
Pili mke hata akiwa mama wa nyumbani hata kama sio ndoa ya Kikiristo Pesa za Mumewe na zake zimo humo sababu mke anapofanya kazi za nyumbani ni sawa na mfanyakazi wa ndani hivyo Kwa hiyo anastahili kulipwa mshahara kila mwezi Kwa kazi hizo za ndani anazofanya hivyo kama kukitokea talaka meanamke ana haki ya kudai malipo ya misharara ya muda wote alikaa Kwa huyo Mwanaume na riba juu kama alikuwa hamlipi mshahara kila mwezi na kiinua mgongo wanapoachana.Hiyo Sheria inataka kumfanya mwanamke mfano huyo anayeitwa golikipa kuwa Hana chochote anachofanya humo ndani wanasahau kuwa huyo ni mfanyakazi wa ndani domestic worker .Hivyo hiyo tafsiri ya kusema alichochuma ndicho apewe haiko sawa.Mishahara yake kashika Mwanaume kama ni kujenga nyumba Kuna Pesa zake za mishahara yake ambayo alipaswa kulipwa kama mfanyakazi wa ndani ambayo mume hakumlipa na mke hakuiidai ili nyumba ijengwe au biashara zifunguliwe au magari yanunuliwe.Hivyo kwenye Kila mali ambayo mume anayo mke ambaye ni golikipa full time housewife ana hisa kupitia mshahara wake ambayo la sacrifice Kwa kutolipwa ili ufanye maendeleo
Hiyo Sheria ya Kenya hopeless haijazingatia Sheria za kazi yaani labour laws kutafsiri role ya mke mfano full time housewife ni Nini kwenye nyumba anamfanya kazi Gani na stahiki zake ni zipo kama mfanyakazi wa ndani
Nipo katika mchakato wa kuchukua uraia nikaoe Kenya [emoji125][emoji125][emoji125][emoji16] kwa hiyo kwa sasa matumaini ya kuoa yapo kenya
Wanawake wao wakorofi.Jiandae kutibiwa kwa vipigo.Nipo katika mchakato wa kuchukua uraia nikaoe Kenya [emoji125][emoji125][emoji125]