Kenya yafuta 50/50 baada ya talaka, unachukua ulichochangia

View attachment 2882688

Ndugu zangu katika JF tujadili jinsi ya kuanzisha hili vuguvugu ambalo litasababisha mabadiliko ya sheria. Kila mtu aondoke na alichochuma. Hii itasaidia sana kuimarisha ndoa
Watakipimaje? Kwamba watu wawe wanaandikisha jina la Kila unachonunua?

Huu ni ujinga,ila Tzn tuwe na 65% Men Kwa 35% Women bila kujalisha walichochangia
 

Wewe ujaelewa hapo. kuna mali ya pamoja na mali binafsi.

Mfano kama kuna mali tulitengenezs pamoja hiyo kila mtu atachukua 50 zake lakini kama kuna mali ulinikuta nazo hizo sio za familia.

Hiyo inasaidia sana, mfano wamarekani wanatseka sana na hizo sheria. yaan mtu unaoa leo kesho mke anataka talaka ili mkawane mali, ndomana watu wengi marekani hawaoi wanaishi tu kuwa wapenzi
 
Sawa lakini haitakiwi kuwa 50/50 Kwa sababu hata angekuwa peke yake angetoka sucrifice.

Pia kwani mwanaume hatoi hiyo sucrifice on addition to properties?

Tzn ndio wajinga Kwa sababu Ndoa ni urapeli
 
🤝🤝🤝🤝
 
Sema wewe ulikiwa ujuwi, maneno yapo kabla ya uislam. lugha zilikuwepo kabla ya uislam.
Wewe kwetu huku neno "urithi" ulkuwa unalijuwa kabla ya Uislam?

Kikwenu "urothi" ni nini? Hilo neno lenyewe la Kiarabu.
 
Sana tena, hata Mtume Muhammad (Salla Allahu alayhi wasalaam) alimuoa boss wake, tajiri na mfanya biashara mkuu wa kike Makkah. BI Khadija.

Alikuwa tajiri kabla ya kuwa muislam. nimeona familia nyingi urithi ni kwa watoto wa kiume, alafu mwanamke katika uislam ni kama vile mfanyakazi wa ndani. wanawake hawana haki au sauti
 
View attachment 2882688

Ndugu zangu katika JF tujadili jinsi ya kuanzisha hili vuguvugu ambalo litasababisha mabadiliko ya sheria. Kila mtu aondoke na alichochuma. Hii itasaidia sana kuimarisha ndoa
Kenya na Tanzania ni tofauti.
Kenya wanandoa wote wanajibika kwa malezi sawasawa lkn bongo Mwanamke anawajibika kwa malezi atazalisha saa ngapi?
 
🚮
 

Kwa nini Mwanamke asifanye kazi?
 
Kama anajinyima na kununua kiwanja siku ya siku si anaondoka nacho yeye au? Tatizo nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…