ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Watakipimaje? Kwamba watu wawe wanaandikisha jina la Kila unachonunua?View attachment 2882688
Ndugu zangu katika JF tujadili jinsi ya kuanzisha hili vuguvugu ambalo litasababisha mabadiliko ya sheria. Kila mtu aondoke na alichochuma. Hii itasaidia sana kuimarisha ndoa
Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
Sawa lakini haitakiwi kuwa 50/50 Kwa sababu hata angekuwa peke yake angetoka sucrifice.Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
Sheria za asili ndiyo zipi hizo, kila kabila na sheria zake.
Huo ni Uislam kijana. Mali ya mume ni ya mume na ya mke ni ya mke. Simpo.
ilikuwa hakuna urithi hata neno 'urithi' walikuwa hawalijuwi kabla y Uislam.
Halafu hiyo sacrifice ni kwa ajili yake faida yake mwenyewe.Sawa lakini haitakiwi kuwa 50/50 Kwa sababu hata angekuwa peke yake angetoka sucrifice.
Pia kwani mwanaume hatoi hiyo sucrifice on addition to properties?
Tzn ndio wajinga Kwa sababu Ndoa ni urapeli
🤝🤝🤝🤝Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
Wewe kwetu huku neno "urithi" ulkuwa unalijuwa kabla ya Uislam?Sema wewe ulikiwa ujuwi, maneno yapo kabla ya uislam. lugha zilikuwepo kabla ya uislam.
Sana tena, hata Mtume Muhammad (Salla Allahu alayhi wasalaam) alimuoa boss wake, tajiri na mfanya biashara mkuu wa kike Makkah. BI Khadija.Hivi katika uislam mwanamke nae anamiliki mali?.
Sana tena, hata Mtume Muhammad (Salla Allahu alayhi wasalaam) alimuoa boss wake, tajiri na mfanya biashara mkuu wa kike Makkah. BI Khadija.
Wewe kwetu huku neno "urithi" ulkuwa unalijuwa kabla ya Uislam?
Kikwenu "urothi" ni nini? Hilo neno lenyewe la Kiarabu.
Kenya na Tanzania ni tofauti.View attachment 2882688
Ndugu zangu katika JF tujadili jinsi ya kuanzisha hili vuguvugu ambalo litasababisha mabadiliko ya sheria. Kila mtu aondoke na alichochuma. Hii itasaidia sana kuimarisha ndoa
Hata kibiblia ilikuwa hivyoBabu yangu alioa mke wa kaka yake, mila za kwao zilikuwa hivi. mfano kaka mtu akifa na mke bado binti anarithishwa kwa mdogo mtu.
Utelezi ni uleule tena kule unaeza kuwa unapigwaNipo katika mchakato wa kuchukua uraia nikaoe Kenya [emoji125][emoji125][emoji125]
🚮Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
Mkuu maelezo zaidi hapaNa itapunguza kubambikiziwa mimba na mitoto.
Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao
Kama anajinyima na kununua kiwanja siku ya siku si anaondoka nacho yeye au? Tatizo nini?Kenya wajinga hopeless kabisa kisheria
Tanzania tuko vizuri mfano umeoa Mwanamke hafanyi kazi wale wanaitwa golikipa anajinyima anakula ugali na tembele na kutovaa vizuri ili kubana kahela ka mumewe wanunue kiwanja wajenge au kuanzisha biashara
Mchango wake ni hiyo sacrifice yake angeamua kuwa nataka chips kuku Kila siku na mavazi high fashion za Ulaya au marekani na Kila siku mruke viwanja na kula Bata mngepata mafanikio?
Wakenya wajinga pumbavu zao