Lets get this outta way:
Sio “Laila Odinga” ni “Raila Odinga”!
Jifunze Kiswahili sahihi!
Na pia Jifunze kujenga paragraphy na kupangilia sentensi sio unarundika mikojo,mavi,kamasi,etc sehemu moja kama ulivyofanya!
Kila dikteta huku Africa anapenda kuitaja China kama mfano!
China ni concentration slave camp,sio nchi!
Maendeleo ni total well being nje na ndani ya mwili wa mwanadamu!
Huwezi kaaa hapa unaichukulia China kama mfano tunaotakiwa kuufata!
Lazima tuige proper free industrial democracies zilizo prove quality of life all the way through kama Western countries!
Usitetee mavi ya China hapa....unaiga human rights abuser,slave camps operators,tyrannical-autocratic regime ndio mfano sahihi wa kujenga nchi yako karne hii ya 21?
Kenya’s democracy ni more “vibrant” than Tanzania’s today!
Na alieua Tanzania’s democracy ni mawe,thats a FACT!
Uchaguzi wa Kenya kua na mapungufu sio ajabu,hata USA nako uchaguzi hua una contentions nyingi!
Ila sio hapa,state inaua watu wake wakosoaji,mkuu anavamia bunge,mahakama,anavunja katiba anavyotaka bila mtu kuuliza!
Hakuna democrasia 100%!
Kenya yao ni vibrant than ours,thats a FACT!