Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Kenya nimewapongeza tu, niliowaongelea ni Tanzania.kenya unaijua....kukubwa, je tatizo la rushwa litaisha kwa mfumo huu? kule wanaita tkk-toa kiti kidogo, siyo rahisi kma hata katiba walibadilisha lkn bdo mfumo wa rushwa uko pale pale mkuu.
Hahahahahaha hawa ni waudumu wa hotelini au madobi??!!%
Force means armyWameachana na Jungle Uniforms ili kuleta maana halisi ya Police Service.
By the way nawapongeza sana. Kwa miaka mingi nimekuwa nikilipigia kelele suala hilo huko nchini Tanzania kwamba Jeshi letu la Polisi libadirike kutoka Police Force kwenda Police Service lakini wapi na siku waliposikia ndiyo eti wakaja na Polisi Jamii.
Kwa mazingira ya mchi yetu bado tunahitaji sana kiwa na Police force kwa kuwa tayari tuna Field Force Unit hiyo ingetosha ma haya maeneo mengine yangebaki kutoa services tu. Just imagine hadi trffic ni Police Force, ugomvi wa mke kutukanana na mume majirani wanaripoti Polisi inakuja defender imejaa Polisi wenye silaha za moto hasa....huu si ukichaa huu?
Tunapoongelea kuwa na Police Service haimaanishi renaming. JWTZ ni Force na Polisi nao ni Force lakini wana misingi na majukumu tofauti. Hivyo tunapoongelea Police Service maana yake tunaongelea mabadiriko kuanzia kwenye elimu, utendaji na uendeshwaji wake siyo just renaming.Force means army
The force against offenses and offenders hata ikiwa service kama ni nature ya police wa Tanzania kua brutal ndio on the spot the situation will reverse 🔀 in the notch of name or what?
And thus you should stick into, sababu ukisema tu hatutaki force in front of the police while mentioning it ni useless tu sababu maana ya force ni jeshi labda tubadilishe tusiite jeshi la police tuite huduma ya police vile vile sasa hapo sijui jambazi mwenye AK 47 mwenye njaa ya kumwaga damu za watu anahitaji huduma gani kutoka kwa policeTunapoongelea kuwa na Police Service haimaanishi renaming. JWTZ ni Force na Polisi nao ni Force lakini wana misingi na majukumu tofauti. Hivyo tunapoongelea Police Service maana yake tunaongelea mabadiriko kuanzia kwenye elimu, utendaji na uendeshwaji wake siyo just renaming.
And thus you should stick into, sababu ukisema tu hatutaki force in front of the police while mentioning it ni useless tu sababu maana ya force ni jeshi labda tubadilishe tusiite jeshi la police tuite huduma ya police vile vile sasa hapo sijui jambazi mwenye AK 47 mwenye njaa ya kumwaga damu za watu anahitaji huduma gani kutoka kwa police
Mbona hizo nguo mbaya hivyo
Hata mbadili nguo na manenoo lakini kama viongozi wenu hawajui kujali utu na watu masikini haina haja ya hayoo yotee. Rushwa haishii kwa kuvaa na kubadili manenoo ya juu ya police. Ombeni kiongozi boraaaSerikali ya Kenyà imebadili muundo wa Jeshi la Polisi ambapo sasa vyeo vya kipolisi vimebadilika na hata sare za jeshi hilo zimebadilishwa. Jeshi limebadilishwa kutoka Kenya Police Force na kuwa Kenya Police Service.
Mabadiliko hayo yamekuja ili kulifanya jeshi liwahudumie wananchi tofauti na ilivyokuwa awali.
Jezi safi kabsa, mm naona tuige haya ila wa kwetu wavae rangi ya njano ( yellow)
Unamchonganisha sasa aiseekuliko nani?
Kwa nini tuige?Jezi safi kabsa, mm naona tuige haya ila wa kwetu wavae rangi ya njano ( yellow)