Kenya yaja na muundo mpya wa Jeshi la Polisi

Kenya yaja na muundo mpya wa Jeshi la Polisi

kenya unaijua....kukubwa, je tatizo la rushwa litaisha kwa mfumo huu? kule wanaita tkk-toa kiti kidogo, siyo rahisi kma hata katiba walibadilisha lkn bdo mfumo wa rushwa uko pale pale mkuu.
Kenya nimewapongeza tu, niliowaongelea ni Tanzania.
 
Wameachana na Jungle Uniforms ili kuleta maana halisi ya Police Service.
By the way nawapongeza sana. Kwa miaka mingi nimekuwa nikilipigia kelele suala hilo huko nchini Tanzania kwamba Jeshi letu la Polisi libadirike kutoka Police Force kwenda Police Service lakini wapi na siku waliposikia ndiyo eti wakaja na Polisi Jamii.
Kwa mazingira ya mchi yetu bado tunahitaji sana kiwa na Police force kwa kuwa tayari tuna Field Force Unit hiyo ingetosha ma haya maeneo mengine yangebaki kutoa services tu. Just imagine hadi trffic ni Police Force, ugomvi wa mke kutukanana na mume majirani wanaripoti Polisi inakuja defender imejaa Polisi wenye silaha za moto hasa....huu si ukichaa huu?
Force means army
The force against offenses and offenders hata ikiwa service kama ni nature ya police wa Tanzania kua brutal ndio on the spot the situation will reverse 🔀 in the notch of name or what?
 
Force means army
The force against offenses and offenders hata ikiwa service kama ni nature ya police wa Tanzania kua brutal ndio on the spot the situation will reverse 🔀 in the notch of name or what?
Tunapoongelea kuwa na Police Service haimaanishi renaming. JWTZ ni Force na Polisi nao ni Force lakini wana misingi na majukumu tofauti. Hivyo tunapoongelea Police Service maana yake tunaongelea mabadiriko kuanzia kwenye elimu, utendaji na uendeshwaji wake siyo just renaming.
 
Tunapoongelea kuwa na Police Service haimaanishi renaming. JWTZ ni Force na Polisi nao ni Force lakini wana misingi na majukumu tofauti. Hivyo tunapoongelea Police Service maana yake tunaongelea mabadiriko kuanzia kwenye elimu, utendaji na uendeshwaji wake siyo just renaming.
And thus you should stick into, sababu ukisema tu hatutaki force in front of the police while mentioning it ni useless tu sababu maana ya force ni jeshi labda tubadilishe tusiite jeshi la police tuite huduma ya police vile vile sasa hapo sijui jambazi mwenye AK 47 mwenye njaa ya kumwaga damu za watu anahitaji huduma gani kutoka kwa police
 
Ahaaa haaa haaa
ukisema police is synonymous to force.
 
And thus you should stick into, sababu ukisema tu hatutaki force in front of the police while mentioning it ni useless tu sababu maana ya force ni jeshi labda tubadilishe tusiite jeshi la police tuite huduma ya police vile vile sasa hapo sijui jambazi mwenye AK 47 mwenye njaa ya kumwaga damu za watu anahitaji huduma gani kutoka kwa police

Hapana, Force ni lazima iendelee ku exists ndiyo maana katika comment yangu nikaigusia Field Force Unit (FFU).
Kwa historia, tabia, mazingira na hata uchumi wa Mwaafrika na maeneo mengi duniani bado Police Force inahitajika kuliko maelezo.
 
Tenda ya sare hiyo hakuna kingine
Wangesema wamefanikiwa na kupambana na rushwa hapo ningeelewa.

Hizi zingine ni upigaji tu wa hela
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Wakenya wamesema hizo sare ni mbovu kupindukia. Nimependa walivyotupilia mbali vile vitengo tofauti vya A.P(Polisi wa Utawala) na Kenya Police. Sasa wote watakuwa chini ya kitengo kimoja na watafanya kazi kwa pamoja.
 
Kenyan Monkeys hawamuelewi kabisa Uhuruto uko Twitter
Screenshot_2018-09-15-21-51-07.jpg
Screenshot_2018-09-15-21-50-33.jpg
Screenshot_2018-09-15-21-53-18.jpg
Screenshot_2018-09-15-21-53-27.jpg
 
Serikali ya Kenyà imebadili muundo wa Jeshi la Polisi ambapo sasa vyeo vya kipolisi vimebadilika na hata sare za jeshi hilo zimebadilishwa. Jeshi limebadilishwa kutoka Kenya Police Force na kuwa Kenya Police Service.

Mabadiliko hayo yamekuja ili kulifanya jeshi liwahudumie wananchi tofauti na ilivyokuwa awali.
Hata mbadili nguo na manenoo lakini kama viongozi wenu hawajui kujali utu na watu masikini haina haja ya hayoo yotee. Rushwa haishii kwa kuvaa na kubadili manenoo ya juu ya police. Ombeni kiongozi boraaa
 
Back
Top Bottom