joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
WaTz labda utupe mtindi (yogurt) na hapo ni wa kula na ugali...
Ila tamaduni ya kunywa maziwa fresh ni kama hakuna na sio kutokana na kipato ila ni DESTURI kama ulivyosema... najua wajua kuwa kila soko lina tabia zake na hiyo ndo tabia ya Tz ... by the way karibu tule senene na hayo maziwa utanywea Kenya [emoji4][emoji4][emoji4]
Upo on point mzee wa kuipenda moro..Senene wanaliwa sana kwenye mkoa wa magharibi huku kwetu, kabila la shemeji zangu Waluhya wana undugu na Wanyambo na Wahaya wa huko Tanzania, nilishangaa sana tamaduni na desturi zao zinaendana hata lugha zinafanana sana.
Upo on point mzee wa kuipenda moro..
Mipaka ilichorwa na mzungu tu ila vipi waluhya hawana show off na elimu karee au huko ligi ni mluo na mkikuyu tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nshomire mpaka form six but no job [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. wazee wa lugha tatuHehehe! Inshomire hiyo ipo tu kwa Wahaya (Tz) na Wajaluo (Ke)....
....A luo does not just hear and understand; A Luo deciphers meaning from contexts
Kwanini nyinyi msitumie ubongo kufuga ng'ombe wenu wakawatosheleza? Oh nimesahau hata chakula hamjitoshelezi ndio maana Turkana kuna njaa inaua watu. Tumieni akili zenu mzalishe vyakula vya kuwatoshaNdio nilichokua nakuambua kwenye uzi mwengine, sababu kuu za umaskini kwenu ni uzembe na chuki, maana kwa mfano hapa sisi pamoja na kainchi ketu kadogo na nusu yake kame tupu, tunazalisha maziwa kuwazidi nyie, sasa imetokea tunahitaji zaidi hivyo inatubidi tusake kutoka kwa majirani, sasa nyie mna nchi kubwa yenye rotuba kila mahali badala ya kutumia ubongo muwekeze kwenye ukulima na kuwa bread basket wa Afrika, mumekalia uzembe na kauli za chuki eti sijui mara Tanga freshi mara nini.
Umaskini utawatesa sana kwa muda mrefu huku mkiangalia raslimali na macho hamjui mufanye nini.
Unabisha kwamba huwa hamnywi maziwa? Hao unaowaambia wafuge ng'ombe wanafuga, wanazalisha, wanaprocess na kuyanywa maziwa zaidi yenu. Hiyo hoja yako haina mashiko. Nina uhakika wakulima wenu wangefaidi mno na bei nafuu zaidi kwa mazao yao kama wangekuwa huru kuchangamkia fursa kama hizi. Sema mzee wenu wa mikwara huwa anawaza tu kuonekana mbabe mbabe kwenye kila jambo.Endelea kusikia,juzi kati hapa Kiwanda cha Tanga fresh walikua wanatangaza masoko yaani wanapata maziwa machache ,kiwanda chao kina uwezo mkubwa zaidi. ..Lakini ni uongo mpate maziwa ghafi kutoka Tz ...Serikal hii haitaki kuuza vitu ghafi tena, mkishauziwa nyie mnayaongezea thaman alafu mtuuzie tena...iyo haiwezekan utawala huu...Nimewaambia fugeni ng'ombe naona hamuelewi ....Sio kwamba tunawaonea wivu hapana,hakuna haja ya kufanya hivyo hata huku kun viwanda vingi vya kuchakata maziwa
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hawa wenzetu huwa hawanywi maziwa na wala hawajui umuhimu wa maziwa sanasana kwa watoto ambao bado wanakua. Nawaonea huruma watoto wa kitanzania ambao huwa wananyweshwa Azam Energy Drink badala ya maziwa. [emoji1]Halafu hii desturi ya wao kutokupenda kunywa maziwa niliishangaa sana, siku zote nilikua najua ni Dar tu maana kule ni pwani, lakini niliikuta hata kule mikoani.
Hahahahaha, tuliwaambia kwamba hii vita ya Kenya na Tanzania itaathiri zaidi uchumi wa Kenya kuliko Tanzania kwasababu Kenya inaitegemea Tanzania katika maeneo mengi sana. Tunaanza na raw materials ya viwanda vyenu, viwanda vinavyofuatia kuathirika ni viwanda vya nguo, soon tunapiga marufuku kuwauzia pamba.Unabisha kwamba huwa hamnywi maziwa? Hao unaowaambia wafuge ng'ombe wanafuga, wanazalisha, wanaprocess na kuyanywa maziwa zaidi yenu. Hiyo hoja yako haina mashiko. Nina uhakika wakulima wenu wangefaidi mno na bei nafuu zaidi kwa mazao yao kama wangekuwa huru kuchangamkia fursa kama hizi. Sema mzee wenu wa mikwara huwa anawaza tu kuonekana mbabe mbabe kwenye kila jambo.
Kwahivyo huwa hamnywi maziwa kwasababu ya mila au ni dini ndio hazikubali? Maanake mkisha nyweshana sumu huwa hamsahau maziwa. Mbona naona kama huo ni uhuni flani tu, eti wa kubana matumizi? πHahahaha kunywa maziwa iko kwenye damu ni gene zetu hatunywi maziwa na sio peke yetu wapo wengi duniani hawatumii maziwa kwa maisha yao
Hebu jipe mda kidogo usome
Nyie mnakunywa sana maziwa lakini sisi mwili haulazimishwi
Hata China hawanywi maziwa hivyo na wasomali bila maziwa haishi haha
Tunaogopa tukinywa maziwa tutaanza kubaguana kutokana na makabila yetu, hatutaki ukabila. Soon tunapiga marufuku kuwauzia pamba, 80% ya pamba inayotumika katika viwanda vya Kenya hutokea Tanzania.Kwahivyo huwa hamnywi maziwa kwasababu ya mila au ni dini ndio hazikubali? Maanake mkisha nyweshana sumu huwa hamsahau maziwa. Mbona naona kama huo ni uhuni flani tu, eti wa kubana matumizi? π
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahivyo huwa hamnywi maziwa kwasababu ya mila au ni dini ndio hazikubali? Maanake mkisha nyweshana sumu huwa hamsahau maziwa. Mbona naona kama huo ni uhuni flani tu, eti wa kubana matumizi? π
Hawa wenzetu huwa hawanywi maziwa na wala hawajui umuhimu wa maziwa sanasana kwa watoto ambao bado wanakua. Nawaonea huruma watoto wa kitanzania ambao huwa wananyweshwa Azam Energy Drink badala ya maziwa. [emoji1]
Failed state. Hahahahaha, hahahahahajoto la jiwe Kenya ni kama Israel, tunakuza na kununua toka kwa nchi kama tz na ndio sababu kuuuu tuko level moja na Morocco,Algeria,Egypt,SA na Nigeria...mkifikia Ghana tafadhali tag us.
Usilete ujuaji wako hapa nimewataja wapi infants au substitute? Umesema mwenyewe kwamba kuna Calcium kwenye maziwa. Sasa sielewi ubishi mwingi ni wa nini.Cow milk is not recommend food substitute for infants. Acha kujitia ujuaji boss,
Even for toddlers there is nothing special apart from Calcium that they need from whole milk,
Get some basics ..
Hata baniani naye pia huwa anasema kwamba ana allergy ya bidhaa flani kama bei yake haijampendeza. [emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sio hivyo mkuu, ukisoma genetics of lactose intolerance utaelewa nina maana gani na wala haihusiani na dini wala mila
Utashangaa hata Europeans walifundishwa na Russians kunywa maziwa just 4000 years ago walikuwa hawajui kunywa maziwa ya ng'ombe
Wapo watu wengi sana wanakunywa maziwa au kupewa maziwa na mama wakiwa wadogo tu lakini wanapokuwa huacha kabisa
Hii ni kama wanyama wanakunywa wakiwa wadogo tu na wakikuwa hawanywi tena (hii nimechomekea ok)
Lakini ukibukua kidogo utaona mengi sana na nyie jirani mmefundishwa kunywa maziwa na mmekuwa wakubwa na kuendelea kunywa
Kwetu ukiuliza hata humu mtu amekunywa maziwa lita ngapi kwa wiki utashangaa majibu yetu
Sio hatumudu hapana bali sio mazoea kwa wengi mbali na wafugaji
Lakini mimi nakunywa kiasi ingawa sio mpenzi hivyo