Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiherehere cha kuwaiga waNew York.Kenya inashughulikiwa kila upande na majanga tofauti, njaa imeshaanza kuwang'ata huku Corona ikiwapuliza na locust wakiwapetipeti π π π π
View attachment 1427088
Kiherehere cha kuwaiga waNew York.
Mzee wa kajiado mnyuko wa njaa unaendeleaje hapo chini ya lockdown?Naona 'dona katrii' pia hamuogopi kufa kwa corona zaidi ya mnavyoiogopa lock down kama ukoma, kisa eti mtakufa wote kwasababu ya njaa. Coronavirus: Tanzania bila lockdown tutakufa tuishe - JamiiForums
Wakati jpm anatuambia tuendelee kulima mashambani, walikuwa wanatucheka kwamba tutakufa kama nzi na Corona
Kwani kuna sehemu yeyote nchini Kenya ambapo kuna lockdown? Hizo ndio pumba na propaganda ambazo mnatumia kujiliwaza huko kwenu Manzese kwenye vijiwe vyenu vya kahawa, kuhusu 'kaugonjwa kadogo ka corona'? Gatuzi tano tu Kenya kati ya 47, Mandera imeongezwa leo hii, ndio zipo chini ya 'travel restrictions' za kuingia na kutoka. Nairobi Metro, Kilifi, Mombasa na Kiambu. Tena hiyo haijawabana wale ambao wapo kwenye shughuli 'essential' za kiuchumi na huduma za kiserikali.Mzee wa kajiado mnyuko wa njaa unaendeleaje hapo chini ya lockdown?
You completely lost it the moment you inserted laughing emojis at the end of your post, sadist!..Kenya inashughulikiwa kila upande na majanga tofauti, njaa imeshaanza kuwang'ata huku Corona ikiwapuliza na locust wakiwapetipeti π π π π
View attachment 1427088
Naona 'dona katrii' pia hamuogopi kufa kwa corona zaidi ya mnavyoiogopa lock down kama ukoma, kisa eti mtakufa wote kwasababu ya njaa. Coronavirus: Tanzania bila lockdown tutakufa tuishe - JamiiForums
[emoji1][emoji1][emoji1] Umenikanganya Numbi, anyway tuache na hizi ligi zetu za kilofa humu. Sisteh, huu ni wakati wa kujiburudisha sio malumbano na stress za ovyo. Nitapitia pitia kule kwenye zile nyuzi zetu stress free za amani nione mapya mazuri uliyotuandalia.Kiswahili kigumu mkuu. Mleta mada ni team lockdown hapo kwenye uzi anapigia debe lockdown