Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Wanatuonea wivu Sana WATANZANIA ila BAVICHA hawajui hilo
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi km unaandika vitu hapa kaa ukifanya research kwanza uache kukurupukaSijui hata habari gani unaongelea achilia mbali kuwa zilikua feki.
Really!? Kuna msanii popular wa kimarekan ana hilo jina;unamjua? Or it isn't ur cup of tea
we unakalia
Jina km hilo kw mwanaume labda nickname...Really!? Kuna msanii popular wa kimarekan ana hilo jina;unamjua? Or it isn't ur cup of tea
Chakula kibao nyinyi mnaagiza Tz, iyo dola flour yenyewe bila shaka wanachukua mahindi bongo.Hakuna chakula chochote kimetolewa bongo sistee. Dola flour is a Kenyan brand.
Unadhani He anaweza ji-nickname jina la she....Huku kitaa Nelson tunafupisha tunaita NellyJina km hilo kw mwanaume labda nickname...
View attachment 1428321
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sio ya bure, inanunuliwa. Ina maana hata hata mkiikwamilia bado tunaweza ipata kwenginekoChakula kibao nyinyi mnaagiza Tz, iyo dola flour yenyewe bila shaka wanachukua mahindi bongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huoni km umerudi pale pale kwangu, wacha nikufungue macho kwanza..Unadhani He anaweza ji-nickname jina la she....Huku kitaa Nelson tunafupisha tunaita Nelly
Nayo ni bila shaka kweli, tanzania ccm iunze mahindi alafu msitangaze...kiki mtapata wapi za kuwekwa front pageChakula kibao nyinyi mnaagiza Tz, iyo dola flour yenyewe bila shaka wanachukua mahindi bongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa...japo sijawahi sikia...wewe ushakutana na hiyo case huku kwetuSasa huoni km umerudi pale pale kwangu, wacha nikufungue macho kwanza..
We unafikiria ni mzazi gani atamuita mtoto wake wa kiume nelly..View attachment 1428377View attachment 1428378
Sent using Jamii Forums mobile app